Baada ya Siwa kutoka idara ya Usalama, Rais Samia ututolee mawaziri wafuatao

Baada ya Siwa kutoka idara ya Usalama, Rais Samia ututolee mawaziri wafuatao

Hao ni Watanganyika.

Hao ndio wanaoendesha Tanganyika kwa sasa baada ya PM kuwekewa kizingiti cha Naibu ili ashindwe kufanya kazi ya kudhibiti mafisadi na kuzima umaarufu wake .

Lakini utamuondoaje Dr. Mwigulu msomi wa uchumi na Mtanganyika halisi umwache Mwizi Bashe Msomali original aliyepaswa kuwa gerezani kama sio chuki binafsi.

CCM iko Mikononi mwa Makamba na Nape. Sio yule Mzanzibari.

2025 mgombea yeyote wa CCM ni lazima awe anaungwa mkono na Nape na January.

Hawa vijana wawili wakimkataa yeyote(YEYOTE) ndani ya CCM hawezi kupita wala kushinda uchaguzi.

Bwashee na Kimwana na Rostarm wapo kwa ajili ya kununua Urais na kuuweka Ikulu kwa pesa. Hawana nguvu ya kubadili upepo wa Wajumbe zaidi ya kutumia Masanduku ya Pesa badala ya kura

Nchi imeuzwa.

CCM must go!
 
Sikio la kufa halisikiagi dawa.

Ushauri maridhawa kama huu hawezi kuufanyia kazi hata siku moja, kwa mantiki kwamba, atapoteza maslahi yake binafsi mengi.

Ni muda sana waTz washapaza sauti zao juu ya kuwaondoa kwa vyovyote hao viongozi vimeo lakini kaziba masikio, siyo kwamba hasikii, anasikia sana.

Hadi hapo wananchi watakapoweza kuongea lugha moja na kutumia demokrasia yao iliyomo hata kwenye katiba hii mbovu ya viraka ambayo hatahivyo bado inautambua ukuu wa mamlaka ya wananchi!

Generation zinabadilika viongozi bado wamekariri akili za raia wa kizazi kilichopita, lakini ipo siku hawataamini kama ambavyo Ruto wa Kenya hakuamini, leo kalazimika kuamini kwa lazima na kuchukua hatua madhubuti ambazo hakutarajia kuzichukua kwa hiari yake, kalazimika kazichukua kwa mashinikizo toka kwa wananchi wenye mamlaka kikatiba.

Nasi ndiko tunakoelekea,
one day yes!
 
Kama huyo NAPE na swala la bando ujue anaongeza umasikini kwa kuuza bando bei ya juu maana ulimwengu wa kidigital vijana wengi wanafelishwa ni hili jambo

Nape hawezi kufanya jambo la namna hiyo bila ruhusa ya Raisi. Katika nchi yetu hakuna jambo linafanywa na serikali bila ridhaa ya Raisi. Kama wananchi wanalalamika shida, na hatua hazichukuliwa, anayepaswa kuwajibishwa ni Raisi, hao wateule wake watafuatia.
 
Tungekuwa na Gen Z inayonielewa kama Kenya hao wahuni wote wangefurushwa mapema kabisa...hata akina Makonda na Hapi wala wasingepewa tena nafasi za kiuongozi mara ya pili kana kwamba nchi yetu ina uhaba wa wasomi kupewa nafasi hizo....ni upuuzi tu wa mteuzi!!.
 
Back
Top Bottom