Baada ya Siwa kutoka idara ya Usalama, Rais Samia ututolee mawaziri wafuatao

Baada ya Siwa kutoka idara ya Usalama, Rais Samia ututolee mawaziri wafuatao

Hao ni Watanganyika.

Hao ndio wanaoendesha Tanganyika kwa sasa baada ya PM kuwekewa kizingiti cha Naibu ili ashindwe kufanya kazi ya kudhibiti mafisadi na kuzima umaarufu wake .

Lakini utamuondoaje Dr. Mwigulu msomi wa uchumi na Mtanganyika halisi umwache Mwizi Bashe Msomali original aliyepaswa kuwa gerezani kama sio chuki binafsi.

CCM iko Mikononi mwa Makamba na Nape. Sio yule Mzanzibari.

2025 mgombea yeyote wa CCM ni lazima awe anaungwa mkono na Nape na January.

Hawa vijana wawili wakimkataa yeyote(YEYOTE) ndani ya CCM hawezi kupita wala kushinda uchaguzi.

Bwashee na Kimwana na Rostarm wapo kwa ajili ya kununua Urais na kuuweka Ikulu kwa pesa. Hawana nguvu ya kubadili upepo wa Wajumbe zaidi ya kutumia Masanduku ya Pesa badala ya kura

Nchi imeuzwa.

CCM must go!
Hakika
 
Wala hata sio tatizo hao tatizo ni mfumo wa kumpa mtu kazi wakati Hana hata dira ya kumsimamia rasilimali watu ana fedha kwakuwa ni mbunge anapewa tu nafikili katiba ibadilishwe aiseee.

Hawa watu wapite katika paneli na usaili tena iwe ni tv live mtu apigwe maswali na aeleze ataenda kufanya nn Kwa hiyo wizara na asipofika nusu ya malengo within 2.5 Year ajiuzulu na kuwajibishwa yaan naapa nchi ingekibia Kwa kazi ya ajabu na sio hao tu idara zote za serikali.

Vyeo vya kupewa avitatufikisha popote pale hapa nchini
 
Binafsi nina Imani sana na Mombo Suleiman, baada ya uteuzi huu Rais Samia tutolee mawaziri wafuatao na Nchi itakwenda tu bila hawa :-


2.Mwigulu Mchemba
Huyu Mwigulu ana pesa ndefu sana. Anahusishwa kuwa ni mmiliki wa mabasi ya Esther, mmiliki wa Singida Big Stars. Vile vile ni mfadhili wa Yanga kwa kuwalipia gharama ndogo ndogo kama mishahara ya Feisal au Mbrazil Gomez enzi hizo ambaye anamhamisha kutoka Singida Big Stars kwenda Yanga
 
Binafsi nina Imani sana na Mombo Suleiman, baada ya uteuzi huu Rais Samia tutolee mawaziri wafuatao na Nchi itakwenda tu bila hawa :-

1 . January Makamba
Kitendo cha kufungulia bwawa la Mtera maji yaende ambayo ilipelekea mgao hadi leo unalitesa taifa ni kosa kubwa mno

Kitendo cha kusaini kukodisha App kutoka India kwa bilioni 70 kwa ajili ya Tanesco ni kosa kubwa na wizi mbaya sana

Matrilioni ya ukarabati yaliyoliwa

Matrilioni ya REA yaliyoliwa

Matrilioni ya Kufumua grid yaliyoliwa

Mabilioni ya vifaa kama luku, mitambo, nk yaliyotafunwa

Bado madudu ya siri ya kushirikiana na taifa gesi,makampuni ya kuagiza mafuta, na majenereta kwakweli ni balaa

Januari Makamba alipaswa kunyongwa na siyo kuhamishwa Wizara. Ila iko siku yake atakuja kujibu alikopeleka Matrilioni ya fedha aliyopewa na Samia kwa ajili ya ukarabati mara alipoingia wizara ya nishati mwaka 2021
 
Unaandika ili ionekane ulitabiri watatolewa... Hili mbona kinafahamika akitoka katavi mikeka ya wakuu wa wilaya na mawaziri wawili hapo watatolewa Nape na january
 
Watanzania tunaojielewa tunataka aondoke kizimkazi.Maana yeye ndiyo chanzo Cha mambo ya hovyo yanayofanyika nchini.Hovyo sana huyu mama.Aondoke mara Moja kabla hatujaanza kuandamana kama generation z kule kenya
Nenda huko mikoani uone anayoyafanya kwenye maisha yao ya kila siku. Kero kwangu ni moja tu kuendelea kuwa na mshamba Mwigulu kwenye nafasi ya waziri wa fedha.
 
Kitendo cha kufungulia bwawa la Mtera maji yaende ambayo ilipelekea mgao hadi leo unalitesa taifa ni kosa kubwa mno

Kitendo cha kusaini kukodisha App kutoka India kwa bilioni 70 kwa ajili ya Tanesco ni kosa kubwa na wizi mbaya sana

Matrilioni ya ukarabati yaliyoliwa

Matrilioni ya REA yaliyoliwa

Matrilioni ya Kufumua grid yaliyoliwa

Mabilioni ya vifaa kama luku, mitambo, nk yaliyotafunwa

Bado madudu ya siri ya kushirikiana na taifa gesi,makampuni ya kuagiza mafuta, na majenereta kwakweli ni balaa

Januari Makamba alipaswa kunyongwa na siyo kuhamishwa Wizara. Ila iko siku yake atakuja kujibu alikopeleka Matrilioni ya fedha aliyopewa na Samia kwa ajili ya ukarabati mara alipoingia wizara ya nishati mwaka 2021
Adhabu kali mno hiyo
 
Sikio la kufa halisikiagi dawa.

Ushauri maridhawa kama huu hawezi kuufanyia kazi hata siku moja, kwa mantiki kwamba, atapoteza maslahi yake binafsi mengi.

Ni muda sana waTz washapaza sauti zao juu ya kuwaondoa kwa vyovyote hao viongozi vimeo lakini kaziba masikio, siyo kwamba hasikii, anasikia sana.

Hadi hapo wananchi watakapoweza, kuongea lugha moja na kutumia demokrasia yao iliyomo hata kwenye katiba hii mbovu ya viraka iliyopo bado inayotabua mamlaka ya wananchi!

Generation zinabadilika viongozi bado wamekariri akili za raia wa kizazi kilichopita, lakini ipo siku hawataamini kama ambavyo Ruto wa Kenya hakuamini, leo kalazimika kuamini kwa lazima na kuchukua hatua madhubuti ambazo hakutarajia kuzichukua kwa hiari yake, kalazimika kazichukua kwa mashinikizo toka kwa wananchi wenye mamlaka kikatiba.

Nasi ndiko tunakoelekea,
one day yes!
Umenena mkuu. Mfumo mbovu unazaa atunda mabovu.
 
Back
Top Bottom