Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye hela za kuchota ndo wapi huko?Hapo utaangalia wewe kama ameshuka au aMepanda kwenda kwenye hela za kuchota na kubaki kwenye kulipwa mshahara
Hapo Arusha hatakuwa na ubavu wa kuwabwekea mawaziri na viongozi wengine tena!...jibu unalo.Kutoka kwenye Ukatibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi mpaka kuwa Mkuu wa Mkoa Arusha. Je cheo cha Paul Makonda hapo kimepanda au kimeshuka?
Kutoka kwenye Ukatibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi mpaka kuwa Mkuu wa Mkoa Arusha. Je cheo cha Paul Makonda hapo kimepanda au kimeshuka?
Kupanda au kushuka Cheo,Kwenye hela za kuchota ndo wapi huko?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Amesogezwa karibu na yule Mzee wa watu Ole Sendeka hivi yule Babu atapata usingizi kweli?[emoji38]
Ni mjumbe wa kamati ya siasa ya mkoa,na pia ni mlezi wa ccm mkoa.Kwa upande wa Serikali amepanda maana alikuwa hana cheo chochote, ila kwa ulimbekeni wake, na ujinga wa watendaji wa Serikali alionekana yupo juu ya viongozi wa Serikali.
Kwa upande wa chama, amedondoka sana kwa sababu kwa sasa hana cheo chochote, yupo chini ya mwenyekiti wa tawi.
Muuaji huyuKwa nini usimuulize mwenyewe? Bahati nzuri tupo naye humu jukwaani.
Comrade Paul Makonda, karibu tafadhali kwa ufafanuzi. Naona hawa vijana wa bavicha wameamua kukukalia kooni baada ya tu ya kupata uteuzi mpya.
Ndio supastaa namba 1 wa siasa za Tanzania.kwanza why tukae kumjadili Makonda?
yamkini maana huyu Makonda akisimama tu zinashushwa nyuzi mfululizo,,😁Ndio supastaa namba 1 wa siasa za Tanzania.