Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza ujinga hakuna mkoa wa Moshi ndani ya JMTKama hamjui kwa sasa Mheshimiwa Makonda ni Mkuu wa Mikoa yote.
Ni Mkuu wa Wakuu wa Mikoa.
Subirini mtaona anaenda kumkagua Mkuu wa Mkoa wa Moshi, Manyara Tanga na kwingineko.
Wala hata hajashuka , kaporomoka vibaya !Kutoka kwenye Ukatibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi mpaka kuwa Mkuu wa Mkoa Arusha. Je cheo cha Paul Makonda hapo kimepanda au kimeshuka?
Ngoja wajuzi wa siasa waje mkuuKwenye hela za kuchota ndo wapi huko?
Kwa upande wa chama, amedondoka sana kwa sababu kwa sasa hana cheo chochote, yupo chini ya mwenyekiti wa tawi.Kwa upande wa Serikali amepanda maana alikuwa hana cheo chochote, ila kwa ulimbekeni wake, na ujinga wa watendaji wa Serikali alionekana yupo juu ya viongozi wa Serikali.
Kwa upande wa chama, amedondoka sana kwa sababu kwa sasa hana cheo chochote, yupo chini ya mwenyekiti wa tawi.
Kwa upande wa chama, amedondoka sana kwa sababu kwa sasa hana cheo chochote, yupo chini ya mwenyekiti wa tawi.Kwa upande wa Serikali amepanda maana alikuwa hana cheo chochote, ila kwa ulimbekeni wake, na ujinga wa watendaji wa Serikali alionekana yupo juu ya viongozi wa Serikali.
Kwa upande wa chama, amedondoka sana kwa sababu kwa sasa hana cheo chochote, yupo chini ya mwenyekiti wa tawi.
KashukaKutoka kwenye Ukatibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi mpaka kuwa Mkuu wa Mkoa Arusha. Je cheo cha Paul Makonda hapo kimepanda au kimeshuka?
Asante nilimaanisha Kilimanjaro. Nilipitiwa kidogo.Punguza ujinga hakuna mkoa wa Moshi ndani ya JMT
Lisivyo na akili lile litachukua huu ushauriKama hamjui kwa sasa Mheshimiwa Makonda ni Mkuu wa Mikoa yote.
Ni Mkuu wa Wakuu wa Mikoa.
Subirini mtaona anaenda kumkagua Mkuu wa Mkoa wa Moshi, Manyara Tanga na kwingineko.
amekua mtumishi mwenye weledi zaid, alietukuka na mwenye uzoefu zaid kwenye chama na serikali 🐒Kutoka kwenye Ukatibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi mpaka kuwa Mkuu wa Mkoa Arusha. Je cheo cha Paul Makonda hapo kimepanda au kimeshuka?
Ni kiongozi, hata kama hatumpendi.kwanza why tukae kumjadili Makonda?
Kashuka cheo kwasababu hao wote wakuu wa mikoa na mawaziri walikuwa wanamsujudiaKutoka kwenye Ukatibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi mpaka kuwa Mkuu wa Mkoa Arusha. Je cheo cha Paul Makonda hapo kimepanda au kimeshuka?
Kutoka kwenye Ukatibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi mpaka kuwa Mkuu wa Mkoa Arusha. Je cheo cha Paul Makonda hapo kimepanda au kimeshuka?