MAPITO Mwanza
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 4,236
- 5,907
Movie linaendelea sterling kipofu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iko 50/50Kutoka kwenye Ukatibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi mpaka kuwa Mkuu wa Mkoa Arusha. Je cheo cha Paul Makonda hapo kimepanda au kimeshuka?
Ina maana hata watoto wenye bima ya afya was watumishi was umma bima zao zimefutwa!!?Kupanda au kushuka Cheo,
Kunaondoaje adha ya kufutwa bima ya watoto under 5yrs?
Watumishi Iko vile vile.Ina maana hata watoto wenye bima ya afya was watumishi was umma bima zao zimefutwa!!?
Now you talkKupanda au kushuka Cheo,
Kunaondoaje adha ya kufutwa bima ya watoto under 5yrs?
wachawi siyo watu wazuri.kwanza why tukae kumjadili Makonda?
Rafiki mkubwa wa Paul MakondaAmesogezwa karibu na yule Mzee wa watu Ole Sendeka hivi yule Babu atapata usingizi kweli?😆
Nilikuwa sijui aisee🙏🏼Rafiki mkubwa wa Paul Makonda
Hajapanda wala hajashuka.Kutoka kwenye Ukatibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi mpaka kuwa Mkuu wa Mkoa Arusha. Je cheo cha Paul Makonda hapo kimepanda au kimeshuka?
Anawajibika kwa mwenyekiti wa chama cha majizi ngazi ya mkoaKwa upande wa Serikali amepanda maana alikuwa hana cheo chochote, ila kwa ulimbekeni wake, na ujinga wa watendaji wa Serikali alionekana yupo juu ya viongozi wa Serikali.
Kwa upande wa chama, amedondoka sana kwa sababu kwa sasa hana cheo chochote, yupo chini ya mwenyekiti wa tawi.