ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,040
- 7,303
Marekani huyuhuyu alietolewa mkuku na Talebani....Starmer inabidi ajitafakari sana.
Yaani Marekani ikiamua, hata yeye anaweza kuondolewa madarakani vilevile.
Mzee ajitafakari sana huyu
Ndo hio stable economy ionekane ....Mjerumani alipokua kabla ya vita sio alipo baada ya vita na uchumi wa ujerumani ulikua ni mkubwa kuliko wa huyo muingereza.......hao hawana ubavu wa kusimama wenyewe wafadhili vita ya muda mrefu lazima nchi zao ziyumbe....na hilo gap la kujitoa marekani hata wajitutumue vipi hawawezi kuliziba , hawana uchumi wa vita za muda mrefu bila marekaniUK hakurupuki, Kwanza UK ametoa msaada mkubwa zaidi ya marekani na bado anonyesha msimamo wake wa kuisaidia Ukraine bila Kona Kona za kitapeli.
na Chancellor wa Germany hajaachia nafasi kwa Sababu ya kuisaidia Ukraine.
Simple. Ukiona nchi yoyote yenye stable economy na inaeshimu maoni ya wananchi kama UK na Germany just know PM/Chancellor ni wawakilishi Tu wa maamuzi ya wananchi.
Dogo,maneno kama haya ndio mliokuwa mnayatumia kutudanganya pia kuhusu israel,
Hivi hizi taarifa mnatoa wapi watu wa JF?UK hakurupuki, Kwanza UK ametoa msaada mkubwa zaidi ya marekani
Au sio ndio maana hakuna free Palestine?maneno kama haya ndio mliokuwa mnayatumia kutudanganya pia kuhusu israel,
Kwenye hili la kusaidia Ukraine hata wapinzani wa Starmer nchini UK wanamuunga mkono.Hamalizi miezi 6 huyu PM... Wazee wa Brexit hawapendagi ujinga!
UK ipi unayoizungumzia? UK inayolindwa na Us military bases? Kwa taarifa yako bongo Yuko free kijeshi kuliko UK!Said it. Trump akishindwa kumsaidia wengine watamsaidia bila kumdhalilisha.
Trump ni 🗑️.
Tho Marekani hawezi kubadilisha maamuzi ya UK kwa namna yoyote ile. Sababu UK haindeshwi kama genge la nyanya.
UK ni very developed kiitelijensia na Uhuru wa maoni plus watu ndo wanaamua nini kifanyike. Pm ni mwakilishi tu
siWakuu,
Baada ya Trump kuonekana kuanza kuringaringa na kumnyanyasa Ukraine, Uingereza imeamua kuuvaa wenyewe huu ugomvi.
Akiwa anaongea hivi karibuni, Starmer amesema kuwa ukiachana na Euro Bilioni 2, Uingereza pia iko tayari kupeleka wanajeshi wake Ukraine kupambana na Urusi na pia iko tayari kupeleka ndege zake za kivita
========================================
Starmer inabidi ajitafakari sana.
Yaani Marekani ikiamua, hata yeye anaweza kuondolewa madarakani vilevile.
Mzee ajitafakari sana huyu
The UK Army is considered a strong military force, with a reputation for high quality training and advanced equipment, although its overall size is smaller compared to other major powers like the US and Russia; according to recent rankings, it is often placed around the 6th position in terms of military strength worldwide....
Kwa hiyo wangekaaa tu wasifanye lolote? Nyumba yako inavamiwa umekaa tu unamuambia jirani abebe kila kitu?Hivi vita havikuwa vya lazima, ni ujeuri na ujinga tu wa Zelewensky kwa kuamini kuwa EU na NATO watamsaidia kuwashinda Russia. Ukraine wameingia hasara kubwa na watalipia madeni ya vita hivi kwa miaka mingi sana.
Vv
Kabla ya kudharau jeshi la UK fanya utafiti hata mdogo kwanza.
Sidhani kama Marekani (Trump) yaweza kumuondoa Starmer kwenye uongozi.Wakuu,
Baada ya Trump kuonekana kuanza kuringaringa na kumnyanyasa Ukraine, Uingereza imeamua kuuvaa wenyewe huu ugomvi.
Akiwa anaongea hivi karibuni, Starmer amesema kuwa ukiachana na Euro Bilioni 2, Uingereza pia iko tayari kupeleka wanajeshi wake Ukraine kupambana na Urusi na pia iko tayari kupeleka ndege zake za kivita
========================================
Starmer inabidi ajitafakari sana.
Yaani Marekani ikiamua, hata yeye anaweza kuondolewa madarakani vilevile.
Mzee ajitafakari sana huyu
Una ruhusa kutabiri kwani hakuna jinsi ya kuhakiki ukichosema.Hao wakisaidia ndani ya miezi miwili tu nchi zao yataanza maandamano ya maisha magumu na uchaguzi wa ghafla utaitishwa mtu anatolewa kwenye uongozi......Ulaya wapo kwenye mtego mbaya sana......Ujerumani kasaidia sahv wana chancellor mpya
Hiyo rank unayotumia inasema U.K ya 6 na Russia ya 2 duniani? Je, wataiweza kweli Russia?Ni ya 6 duniani
Hivi story za kijiweni kama hizi mnatoa wapi, hamfuatilii habari au?UK hakurupuki, Kwanza UK ametoa msaada mkubwa zaidi ya marekani na bado anonyesha msimamo wake wa kuisaidia Ukraine bila Kona Kona za kitapeli.
na Chancellor wa Germany hajaachia nafasi kwa Sababu ya kuisaidia Ukraine.
Simple. Ukiona nchi yoyote yenye stable economy na inaeshimu maoni ya wananchi kama UK na Germany just know PM/Chancellor ni wawakilishi Tu wa maamuzi ya wananchi.
Hivi story za kijiweni kama hizi mnatoa wapi, hamfuatilii habari au?
US ametoa msaada almost ten times(x10) ya alichotoa UK leo useme UK katoa zaidi!!!
US peke yake msaada wake ni almost equal to all EU countries combined, yaani almost 50% ya kilichoenda Ukraine kimetoka US, acheni story za vijiwe vya kahawa fuatilieni facts.
Mkuu hujui kutwa US ni tawi la UK? UK ndio iliijenga US. Starmer hajakurupukaWakuu,
Baada ya Trump kuonekana kuanza kuringaringa na kumnyanyasa Ukraine, Uingereza imeamua kuuvaa wenyewe huu ugomvi.
Akiwa anaongea hivi karibuni, Starmer amesema kuwa ukiachana na Euro Bilioni 2, Uingereza pia iko tayari kupeleka wanajeshi wake Ukraine kupambana na Urusi na pia iko tayari kupeleka ndege zake za kivita
========================================
Starmer inabidi ajitafakari sana.
Yaani Marekani ikiamua, hata yeye anaweza kuondolewa madarakani vilevile.
Mzee ajitafakari sana huyu
Huyu Trump ni kibaraka wa PutinWakuu,
Baada ya Trump kuonekana kuanza kuringaringa na kumnyanyasa Ukraine, Uingereza imeamua kuuvaa wenyewe huu ugomvi.
Akiwa anaongea hivi karibuni, Starmer amesema kuwa ukiachana na Euro Bilioni 2, Uingereza pia iko tayari kupeleka wanajeshi wake Ukraine kupambana na Urusi na pia iko tayari kupeleka ndege zake za kivita
========================================
Starmer inabidi ajitafakari sana.
Yaani Marekani ikiamua, hata yeye anaweza kuondolewa madarakani vilevile.
Mzee ajitafakari sana huyu