Baada ya Trump kumdhalilisha Zelensky, Waziri Mkuu wa Uingereza atangaza kuwa UK iko tayari kupeleka wanajeshi wake Ukraine

Baada ya Trump kumdhalilisha Zelensky, Waziri Mkuu wa Uingereza atangaza kuwa UK iko tayari kupeleka wanajeshi wake Ukraine

Hayo ni maneno matupu ya mkwara, lakini hayatekelezeki bila msaada wa Marekani. UK kwa sasa kipaumbele chake ni kuimarisha jeshi lake ili kujilinda yenyewe. Haina uwezo wa kuingilia mgogoro wa nchi nyingine kwa nguvu kubwa maana itapunguza sana uwezo wa kujilinda yenyewe.
 
UK hakurupuki, Kwanza UK ametoa msaada mkubwa zaidi ya marekani na bado anonyesha msimamo wake wa kuisaidia Ukraine bila Kona Kona za kitapeli.

na Chancellor wa Germany hajaachia nafasi kwa Sababu ya kuisaidia Ukraine.

Simple. Ukiona nchi yoyote yenye stable economy na inaeshimu maoni ya wananchi kama UK na Germany just know PM/Chancellor ni wawakilishi Tu wa maamuzi ya wananchi.
Ndo hio stable economy ionekane ....Mjerumani alipokua kabla ya vita sio alipo baada ya vita na uchumi wa ujerumani ulikua ni mkubwa kuliko wa huyo muingereza.......hao hawana ubavu wa kusimama wenyewe wafadhili vita ya muda mrefu lazima nchi zao ziyumbe....na hilo gap la kujitoa marekani hata wajitutumue vipi hawawezi kuliziba , hawana uchumi wa vita za muda mrefu bila marekani
 
UK hakurupuki, Kwanza UK ametoa msaada mkubwa zaidi ya marekani
Hivi hizi taarifa mnatoa wapi watu wa JF?
Ebu tueleweshe kwanza huenda tukakubishia huku hatujui msaada unaohusu nini.
Inawezekana siyo wa kijeshi wa kuwezesha Ukraine ishinde Vita.
Tuwekee hapa figures yaani namba za takwimu za UK na USA misaada kwenda Ukraine tangu 2014 au 2022.
 
Hamalizi miezi 6 huyu PM... Wazee wa Brexit hawapendagi ujinga!
Kwenye hili la kusaidia Ukraine hata wapinzani wa Starmer nchini UK wanamuunga mkono.

Hata nchi nyingi za UE wataunga tella maana wanamuona Putin kama tishio kwa hatma ya Ulaya ambaye ni lazima adhibitiwe.
Wanajua "usipoziba ufa utajenga ukuta"
 
Said it. Trump akishindwa kumsaidia wengine watamsaidia bila kumdhalilisha.

Trump ni 🗑️.

Tho Marekani hawezi kubadilisha maamuzi ya UK kwa namna yoyote ile. Sababu UK haindeshwi kama genge la nyanya.
UK ni very developed kiitelijensia na Uhuru wa maoni plus watu ndo wanaamua nini kifanyike. Pm ni mwakilishi tu
UK ipi unayoizungumzia? UK inayolindwa na Us military bases? Kwa taarifa yako bongo Yuko free kijeshi kuliko UK!
 
Katika mtu ambaye ambaye si wa kumuamin ni huyu waziri .. jamaa ni chawa kinoma
Wakuu,

Baada ya Trump kuonekana kuanza kuringaringa na kumnyanyasa Ukraine, Uingereza imeamua kuuvaa wenyewe huu ugomvi.

Akiwa anaongea hivi karibuni, Starmer amesema kuwa ukiachana na Euro Bilioni 2, Uingereza pia iko tayari kupeleka wanajeshi wake Ukraine kupambana na Urusi na pia iko tayari kupeleka ndege zake za kivita

========================================

Starmer inabidi ajitafakari sana.

Yaani Marekani ikiamua, hata yeye anaweza kuondolewa madarakani vilevile.

Mzee ajitafakari sana huyu

si
 
The UK Army is considered a strong military force, with a reputation for high quality training and advanced equipment, although its overall size is smaller compared to other major powers like the US and Russia; according to recent rankings, it is often placed around the 6th position in terms of military strength worldwide....
Wanajeshi active wa U.K hawajazi hata Old Trafford wapo kama 70k. Apeleke jeshi aone kama atabakia hata na jeshi la kulinda mipaka yao
 
Hivi vita havikuwa vya lazima, ni ujeuri na ujinga tu wa Zelewensky kwa kuamini kuwa EU na NATO watamsaidia kuwashinda Russia. Ukraine wameingia hasara kubwa na watalipia madeni ya vita hivi kwa miaka mingi sana.

Vv
Kwa hiyo wangekaaa tu wasifanye lolote? Nyumba yako inavamiwa umekaa tu unamuambia jirani abebe kila kitu?

Huko majuu wangekuwa wanawaza hivyo wasingekuwa hapo walipofika
 
Kabla ya kudharau jeshi la UK fanya utafiti hata mdogo kwanza.
20250303_064448.jpg
 
Wakuu,

Baada ya Trump kuonekana kuanza kuringaringa na kumnyanyasa Ukraine, Uingereza imeamua kuuvaa wenyewe huu ugomvi.

Akiwa anaongea hivi karibuni, Starmer amesema kuwa ukiachana na Euro Bilioni 2, Uingereza pia iko tayari kupeleka wanajeshi wake Ukraine kupambana na Urusi na pia iko tayari kupeleka ndege zake za kivita

========================================

Starmer inabidi ajitafakari sana.

Yaani Marekani ikiamua, hata yeye anaweza kuondolewa madarakani vilevile.

Mzee ajitafakari sana huyu

Sidhani kama Marekani (Trump) yaweza kumuondoa Starmer kwenye uongozi.
 
Hao wakisaidia ndani ya miezi miwili tu nchi zao yataanza maandamano ya maisha magumu na uchaguzi wa ghafla utaitishwa mtu anatolewa kwenye uongozi......Ulaya wapo kwenye mtego mbaya sana......Ujerumani kasaidia sahv wana chancellor mpya
Una ruhusa kutabiri kwani hakuna jinsi ya kuhakiki ukichosema.
 
UK hakurupuki, Kwanza UK ametoa msaada mkubwa zaidi ya marekani na bado anonyesha msimamo wake wa kuisaidia Ukraine bila Kona Kona za kitapeli.

na Chancellor wa Germany hajaachia nafasi kwa Sababu ya kuisaidia Ukraine.

Simple. Ukiona nchi yoyote yenye stable economy na inaeshimu maoni ya wananchi kama UK na Germany just know PM/Chancellor ni wawakilishi Tu wa maamuzi ya wananchi.
Hivi story za kijiweni kama hizi mnatoa wapi, hamfuatilii habari au?
US ametoa msaada almost ten times(x10) ya alichotoa UK leo useme UK katoa zaidi!!!
US peke yake msaada wake ni almost equal to all European countries combined, yaani almost 50% ya kilichoenda Ukraine kimetoka US, acheni story za vijiwe vya kahawa fuatilieni facts.
 
Hivi story za kijiweni kama hizi mnatoa wapi, hamfuatilii habari au?
US ametoa msaada almost ten times(x10) ya alichotoa UK leo useme UK katoa zaidi!!!
US peke yake msaada wake ni almost equal to all EU countries combined, yaani almost 50% ya kilichoenda Ukraine kimetoka US, acheni story za vijiwe vya kahawa fuatilieni facts.
Umesema vyema

Kwenye hii vita ya Ukraine mataifa ya Ulaya hamna watakachofanya bila ya Marekani

Michango tu ya bajeti ya NATO zaidi ya nusu nzima ni Marekani ndiye mchangiaji mkubwa. Marekani 70%, U.K 5%

Without the U.S there is no NATO safari hii watajionea how much the U.S is needed
 
Wakuu,

Baada ya Trump kuonekana kuanza kuringaringa na kumnyanyasa Ukraine, Uingereza imeamua kuuvaa wenyewe huu ugomvi.

Akiwa anaongea hivi karibuni, Starmer amesema kuwa ukiachana na Euro Bilioni 2, Uingereza pia iko tayari kupeleka wanajeshi wake Ukraine kupambana na Urusi na pia iko tayari kupeleka ndege zake za kivita

========================================

Starmer inabidi ajitafakari sana.

Yaani Marekani ikiamua, hata yeye anaweza kuondolewa madarakani vilevile.

Mzee ajitafakari sana huyu

Mkuu hujui kutwa US ni tawi la UK? UK ndio iliijenga US. Starmer hajakurupuka
 
Wakuu,

Baada ya Trump kuonekana kuanza kuringaringa na kumnyanyasa Ukraine, Uingereza imeamua kuuvaa wenyewe huu ugomvi.

Akiwa anaongea hivi karibuni, Starmer amesema kuwa ukiachana na Euro Bilioni 2, Uingereza pia iko tayari kupeleka wanajeshi wake Ukraine kupambana na Urusi na pia iko tayari kupeleka ndege zake za kivita

========================================

Starmer inabidi ajitafakari sana.

Yaani Marekani ikiamua, hata yeye anaweza kuondolewa madarakani vilevile.

Mzee ajitafakari sana huyu

Huyu Trump ni kibaraka wa Putin
 
Kikubwa nataka waende front ili Russia ajimegee sehemu za UK kama alivyomega Ukraine ili hao wa UK wakimbilie uhamishoni kwa bwana wao TRUMP.
 
Back
Top Bottom