ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,040
- 7,303
Hayo ni maneno matupu ya mkwara, lakini hayatekelezeki bila msaada wa Marekani. UK kwa sasa kipaumbele chake ni kuimarisha jeshi lake ili kujilinda yenyewe. Haina uwezo wa kuingilia mgogoro wa nchi nyingine kwa nguvu kubwa maana itapunguza sana uwezo wa kujilinda yenyewe.