Baada ya tukio la mwenzetu kuchomwa moto, nini kifanyike matukio ya wivu wa mapenzi yasijirudie?

Baada ya tukio la mwenzetu kuchomwa moto, nini kifanyike matukio ya wivu wa mapenzi yasijirudie?

Asante Kwa nafasi mleta Uzi.
Kwanza nitoe pole Kwa familia ya marehemu. Pili niwashauri vijana hasa Hawa ambao hawajatulia wajifunze jambo moja la muhimu Sana kwenye mahisiano. Ukiamua kumuacha mchepuko, make au mpenzi wako maanisha na uyaishi maamuzi Yako. Yaani unatumia Ile style ya kutafuna big g kwani ukiishaitema huwezi Tena kuirejesha kinywani! Falsafa hii ya kutoirejesha big G kinywani hutuongoza wanaume wenye uelewa juu ya kutomrejelea make, mpenzi na mchepuko uliyemwacha na itakusaidia kuepuka kulogwa, kulishwa limbwata na hata kuuana! Ni hayo Kwa Sasa mleta Uzi.
 
Hali iliyomkuta mwenzetu imetokana na usiri na udanganyifu wetu kwa kuwadanganya michepuko kuwa hatujaoa wala hatuna watoto. Sasa siku wakija gundua ukweli ndio moto wake ndio kama huu.

Cha kufanya ni tunapopata michepuko tuwe wawazi tu, kuwa tumeoa na tunataka mbunye mpya. Tutapewa ofa bila kuumiza mioyo yao.
Tukisema ukwel tutawakosa mchepuko na yeye ukute amechoka kudanga ana taka ndoa
 
Ahsante Mwenyekiti kwa kunipa nafasi.

Nashauri kwanza, kwa walio na wake wanunue vizima moto (fire extinguisher) kwa haraka. Kampuni zinazohusika na uagizaji zipewe tenda haraka iwezekanavyo.

Wale waliooa wachaga, haraka wakodishe magari ya maji (bowser) kwa sababu wapo kwenye hatari zaidi.

Lakini pia, tujenge ushirikiano. Ukiona tu moto kimbia na extinguisher yako. Ni mwenzako anaungua. Usisubiri kuombwa msaada.

Michepuko yetu wawe walinzi wetu. Wajue kila kinachopangwa na wale waliokusudia kutuchoma.

Pia, natoa rai serikali ipitishe sheria ya mwanamke yeyote asiruhusiwe kununua Petrol kwenye vidumu. Wanaume pekee wapewe kibali cha kununua mafuta ya petroli.

Ahsante Mwenyekiti, Nawasilisha.
😂😂😂😂😂😂😂nimecheka sana
 
Ni kwamba wanawake kuwa na ujasiri hadi kufikia kumchoma mwanaume moto ni failure kubwa sana kwa upande wa wanaume hata mapoti wenzangu kutoka kule Mara na mzee Gentamycin hawajaamini ni namna gani hasa hili linawezekana. Sasa nyinyi endeleeni na kebehi za kutusimanga kwamba tumezidi kutembeza vipigo kwa hawa wanawake........maana mwanamke hata kumsogelea poti au kumuuliza jambo lazima ajifikirie mara mbili maana anaweza kukorofisha chaneli na akajikuta kalazwa ICU......
Kupiga mwanamke ni ushamba uliotukuka wala so ujanja badilikeni aisee !!! Ebo!?? Eti. Dume zima linapigana na mwanamke halafu linsjioona jaaaanja
 
Kupiga mwanamke ni ushamba uliotukuka wala so ujanja badilikeni aisee !!! Ebo!?? Eti. Dume zima linapigana na mwanamke halafu linsjioona jaaaanja
Kwa hiyo ujanja ni wanaume kuchomwa petroli, siyo? kipigo ndo size ili kuwekeana mipaka......ili hata kushika kiberiti mikono itetemeke, mbwa akikuzoea sana hukufuata hadi mskitini...
 
Kupiga mwanamke ni ushamba uliotukuka wala so ujanja badilikeni aisee !!! Ebo!?? Eti. Dume zima linapigana na mwanamke halafu linsjioona jaaaanja
Unajifanya una mapenzi ya kifilipino eti, nadhani hata marehemu aliambiwa kabla baby ntakupiga kiberiti akawa anajibu no baby you can't let me sleep a bit akajikuta mshikaki.
 
1-marufuku kulala kwa mawanamke hata kama umeshamtolea barua.

2-hata ukiwa ndani usiruhusu atoke peke yake nje, hata kama anakwenda chooni toka ndani bro.

3-uongo wa kuficha ficha mahusiano mengine umeshapitwa na wakati. hata wake zetu ndani wanajua tuatoka, kikubaa heshima. mchepuko ndio nani!!!

4-chunguza akili za mpenzi/mke wako, mara nyingi wauaji huwa wana tabia ya kuropoka ropoka mara kwa mara, usijedhani anatania bro. hiyo ni pepo iliyoko kwake ndio inaongea.

5-milango yetu iwe ni ile ya kufunga ndani na si nje, kama vitasa ni hivi vya kisasa hakikisha funguo haziachwi mlangoni mara kwa mara.
 
1. Kuwa mkweli kwenye mambo ya muhimu na ya lazima, wakati unatoa sera zako muweke wazi kama nafasi yake ni ipi kama ni nafasi ya mchepuko ajue kabisa ili baadae asilete shiida
2. Mwanaume anayejua nafasi yake kama mwanaume hapaswi kwenda nyumbani kwa mwanamke, hata kama ni mchepuko mpeleke Hotel kuna mambo ukiamua kufanya lazima uyagaramie ili yasikugarimu
3. Mlo kamili unahitajika kwa wanaume siyo kula chipsi tomato kwa wingi hadi nguvu za kupambana na jambo ambalo linauwezekano wa kulikabili unakosa kwa kuwa unakula vichips mazoezi hakuna, kutembea hata kilometa moja issue (kwa ufupi nguvu hakuna)
4. Muhimu zaidi baki njia kuu, kama umeamua kuwa na mmoja au wawili -wanne ambao wanajuana ni vema zaidi
 
Kuweni wawazi

mume oa wake wawili..
Au sema wazi una mke na mcheps

shida umalaya
 
1-marufuku kulala kwa mawanamke hata kama umeshamtolea barua.

2-hata ukiwa ndani usiruhusu atoke peke yake nje, hata kama anakwenda chooni toka ndani bro.

3-uongo wa kuficha ficha mahusiano mengine umeshapitwa na wakati. hata wake zetu ndani wanajua tuatoka, kikubaa heshima. mchepuko ndio nani!!!

4-chunguza akili za mpenzi/mke wako, mara nyingi wauaji huwa wana tabia ya kuropoka ropoka mara kwa mara, usijedhani anatania bro. hiyo ni pepo iliyoko kwake ndio inaongea.

5-milango yetu iwe ni ile ya kufunga ndani na si nje, kama vitasa ni hivi vya kisasa hakikisha funguo haziachwi mlangoni mara kwa mara.
Mtu kichaa akiamua atakutafuta tu
Kuweni wawazi

km huwezi kuwa mwaminifu kwa mmoja
 
Back
Top Bottom