Baada ya Urusi kukaza kamba, nchi za Ulaya zimenyoosha mikono na kukubali kununua gesi kwa utaratibu uliowekwa na Putin

wazungu huwa wanajipa muda sana ktk kila kitu , Osama alichukua zaid ya miaka 20 , so jipe muda tu , Putin kawaponza warusi kwa future years
 
PUT IN nyuma yake kuna system imara saanaaa
PUT IN afe sasa hv basi RUSSIA haitayumba wala kutetereka
 
Tuliwaambia
 
Raha sana yani na hao wajinga wakija huku kwetu kununua madini wanunue kwa Tsh.
Imekaa vizuri! Una akili sana na umefikiri mbali sana! Nimefurahi umejifunza kitu positive toka kwa negative na umeitumia kama fursa ya kukua kiuchumi! Russia immetufungua macho! Hebu na sisi tuuze bidhaa zetu kwa Tshs labda demand for Tshs will increase which will increase its value! Hata hivyo nina wasiwasi watakataa maana hawatupendi kama nini! Hawapendi maendeleo yetu! Wanachopenda ni mali zetu!
 
wazungu huwa wanajipa muda sana ktk kila kitu , Osama alichukua zaid ya miaka 20 , so jipe muda tu , Putin kawaponza warusi kwa future years
mambo yame badilika mkuu wa kwanza ni wa kwanza tu! huu mpango wa urusi sio wa miaka mitano ! jamaa walisha juwa ndio maana ulimuona yule waziri mkuu msitafu wa Uingreza akija mara tatu tatu afrika! hiyo ndio imetoka hivyo! kwa sasa chuma! nafaka! mafuta ya mitambo na aluminium na mbolea gas Dunia kwa kiasi kikubwa inategemea Urusi huyu mtu ni hatari! huwezi weka pandikizi kwa mtu aliye jitosheleza hivyo!! wazungu ujanja wao ni mapandikizi tu au vita Urusi vita hawa mwezi labda waseme wakose wate Ulaya ikose na Amerika ikose na mrusi akose! hakuna anayeweza kubali hiyo njia
 
ndicho kilicho muua mzee Gadaffi alitaka kuanzisha sera kama hiyo kwa Afrika na nguvu ya uchumi wa kufanya hivyo alikuwa nao alijitolea sana kwa Afrika Afrika ikawa na mapandikizi mengi wakati muacha akapigwa adi kuuwawa na hawa wahuni! ila Mungu ni mkubwa putin ana wa nyoosha
 
Setin ajuagi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Putin kazuia kuteketeza sehemu ambayo wanajeshi wa ukrain wamejifungia mgodini ,wakati makamanda wake walisha amrisha kutumia gesi ya sumu kuwapenyezea huko chini
 
Hiyo kama ni kofi inaitwa kerbu,kama una mate mdomoni lazima ukipigwa yatatoka tu.....
 
Pution sio Gadafi RIP
 
Watu wanatoa hoja za maana, wewe unakuja na ujinga. Hii inaonesha hukupata malezi bora.
Sisi tulio zaliwa hatuitaji malezi bora ...mnaoitaji malezi bora ni kama wewe ambaye ulialishwa kama Sa100
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…