Baada ya Urusi kukaza kamba, nchi za Ulaya zimenyoosha mikono na kukubali kununua gesi kwa utaratibu uliowekwa na Putin

,

 
Gharama ya kushamiri udikteta ulaya ni kubwa zaidi. Putin is a clear and present danger to freedom and democracy .
Sasa wao na wewe nani anaejua gharama mbaya zipi
Maana tayari EU washarusha taulo awali walisema hawaendi MOSCOW kufungua acc za bank khatimae wamekubali
RUSSIA sio ZIMBABWE
 
Jf is full of dump people who can't read, including who brought this article.
EU WILL PAY IN DOLLARS AND EUROS not rubles.
I think contrary is you! Just read this paragraph!
"European companies may be able to purchase Russian gas in rubles without violating the European Union's sanctions against Moscow, according to new advice issued by the European Commission on Friday."
 
Jf is full of dump people who can't read, including who brought this article.
EU WILL PAY IN DOLLARS AND EUROS not rubles.
Sikiliza vizuri mahojiano ya FM wa Urusi, Bwana Sergey Lavrov na channel ua India Today. Yapo you tube. Utaelewa vizuri hiyo scenario ya Euro na Dola.
 
Sahih
 
Watanyooka tu,,,wamezoea kuzionea nchi dhaifu. Kwa mwamba wamefika, na huyo marekani wenu aache kulia lia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…