MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Urusi imepoteza zaidi ya wanajeshi 70,000 kwa kujaribu kufumua kamji kadogo ka Bakhmut, imeshambulia kwa nguvu zote na kutupa kila kitu, lakini wazalendo wa Ukraine walipambana kuhimili hayo mapigo na kwa sasa Urusi imekwama kiasi cha kutojua nini cha kufanya zaidi.....kichekesho...hawa ndio walitaka kuiparamia Ukraine yote.
Ukraine wameanza maandalizi ya kujibu hayo mapigo, ni kama kwenye ngumi, unamuacha mpinzani wako ashambulie sana kwa nguvu zote hadi pale atakapohema ndio utembeze kichapo....takbirrr
========================
Ukraine is preparing to turn the tide of the war while the country continues to hold Russia’s offensives at bay according to Brigadier General Mykhailo Drapaty.
Drapaty is the Commander of the Kherson Operational Group and he took to Telegram on March 7th to provide his assessment of Russia’s war in Ukraine.
“Mykolaiv is an outpost of southern Ukraine, which the invaders tried unsuccessfully to storm,” Drapaty wrote in his Telegram post.
“At the beginning of March 2022, local volunteers and the military gave a decent rebuff to the invaders,” the Ukranian brigadier general continued.
Ukraine wameanza maandalizi ya kujibu hayo mapigo, ni kama kwenye ngumi, unamuacha mpinzani wako ashambulie sana kwa nguvu zote hadi pale atakapohema ndio utembeze kichapo....takbirrr
========================
Ukraine is preparing to turn the tide of the war while the country continues to hold Russia’s offensives at bay according to Brigadier General Mykhailo Drapaty.
Drapaty is the Commander of the Kherson Operational Group and he took to Telegram on March 7th to provide his assessment of Russia’s war in Ukraine.
“Mykolaiv is an outpost of southern Ukraine, which the invaders tried unsuccessfully to storm,” Drapaty wrote in his Telegram post.
“At the beginning of March 2022, local volunteers and the military gave a decent rebuff to the invaders,” the Ukranian brigadier general continued.
MSN
www.msn.com