Baada ya Urusi kutumia nguvu zote na kushindwa kufumua Bakhmut, sasa Ukraine kujibu

Baada ya Urusi kutumia nguvu zote na kushindwa kufumua Bakhmut, sasa Ukraine kujibu

.
GettyImages-1247937265.jpg
 
Sawa mmarekani wa kongwa,lakin kumbuka mbinu za kivita Ni nyingi Sana,na kwa wajuzi wa masuala ya military science tunaona urusi Hana dalili za kushindwa hii vita,mbinu ya blackmailing the opponent ndo inayopoteza maboya kwa Ukraine na washirika wake,lazma atengeneze mazingira ya adui kuonesha strength zake hasa kwenye silaha na mifumo yake ya kujilinda,na usitegemee kuwa uwezo wa Russia umefika tamati,time will tell
Mpka sasa Russia namkubali kwenye mifumo ya kurusha makombora na makombora yenyewe. Jeshi LA aridhini ndilo linamwangusha. Sasa huwezi kushinda vita kwa kutumia anga pekee,,wapamanaji arihini ndiyo humaliza ubishi.
 
Urusi imepoteza zaidi ya wanajeshi 70,000 kwa kujaribu kufumua kamji kadogo ka Bakhmut, imeshambulia kwa nguvu zote na kutupa kila kitu, lakini wazalendo wa Ukraine walipambana kuhimili hayo mapigo na kwa sasa Urusi imekwama kiasi cha kutojua nini cha kufanya zaidi.....kichekesho...hawa ndio walitaka kuiparamia Ukraine yote.

Ukraine wameanza maandalizi ya kujibu hayo mapigo, ni kama kwenye ngumi, unamuacha mpinzani wako ashambulie sana kwa nguvu zote hadi pale atakapohema ndio utembeze kichapo....takbirrr

========================

Ukraine is preparing to turn the tide of the war while the country continues to hold Russia’s offensives at bay according to Brigadier General Mykhailo Drapaty.
Drapaty is the Commander of the Kherson Operational Group and he took to Telegram on March 7th to provide his assessment of Russia’s war in Ukraine.
“Mykolaiv is an outpost of southern Ukraine, which the invaders tried unsuccessfully to storm,” Drapaty wrote in his Telegram post.
“At the beginning of March 2022, local volunteers and the military gave a decent rebuff to the invaders,” the Ukranian brigadier general continued.
Taarifa zilizo chini ya kapeti Mrusi ajiandae Kisaikolojia nivita Kali haijawahi kutokea. Yani Putin. Ajiandae kujinyonga kwa kitu atafanyiwa na NATO... Keep cool men
 
Mpaka leo ni zaidi ya mwaka toka Urusi avamie UKRAINE.Kyiv bado ni makao makuu ya UKRAINE na ZENENSKY bado ni Raisi wa UKRAINE,Urusi imeshuhudia hasara kubwa ya vifo vya wapiganaji wake huku vifaa vyake vingi vya kijeshi vikitekwa na kuharibiwa 🤔
Mkuu vile vifaru vingi vimepigwa rangi vipo kwenye maonyesho pale Kyiv watoto wanapanda wakipiga navyo picha kama skukuuni na juzi nchi za ulaya walisafirisha kwenye nchi zao baadhi kwa ajili ya maonyesho pia
 
Sawa mmarekani wa kongwa,lakin kumbuka mbinu za kivita Ni nyingi Sana,na kwa wajuzi wa masuala ya military science tunaona urusi Hana dalili za kushindwa hii vita,mbinu ya blackmailing the opponent ndo inayopoteza maboya kwa Ukraine na washirika wake,lazma atengeneze mazingira ya adui kuonesha strength zake hasa kwenye silaha na mifumo yake ya kujilinda,na usitegemee kuwa uwezo wa Russia umefika tamati,time will tell
Kwa mujibu wa makamanda wastaafu wengi wa ulaya wanakiri ukrean ndio nchi pekee hadi sasa ambayo ina jeshi bora zaidi duniani, Russia walikuwa tayari washachukua eneo kubwa la Ukrean mfano wa nchi ya Newzaland lakini wakaweza kutolewa mkuku kama paka mwizi sasa wako huko bakhmut pembeni pembeni wanakufa kwa aibu
 
Huko bakhmut urusi anatumia kampuni tu wagner tena wanatumia makoleo tu bado mnapiga kelele.
Jeshi lake tayari lishafyekwa, alianza na wanajeshi laki3 wakaliwa vichwa na makamanda wao, akapeleka vijana wa umri 18-50 wakafyekwa, akapeleka wafungwa kwa masharti ili wafutiwe mashtaka wakafyekwa sasa hao Wagner nao hatuwasikii tena taarifa sinasema juzi walikataa kupigana hawana silaha wakasema tukiendelea bakhmut ni kifo jeshi la ukraine wanapigana kila mita 1,
 
Jeshi lake tayari lishafyekwa, alianza na wanajeshi laki3 wakaliwa vichwa na makamanda wao, akapeleka vijana wa umri 18-50 wakafyekwa, akapeleka wafungwa kwa masharti ili wafutiwe mashtaka wakafyekwa sasa hao Wagner nao hatuwasikii tena taarifa sinasema juzi walikataa kupigana hawana silaha wakasema tukiendelea bakhmut ni kifo jeshi la ukraine wanapigana kila mita 1,
Marekani na mashoga wenzie wanalia huko, silaha ambazo zilitakiwa zitumike kwenye. Spring offensive Ukraine anazimaliza bakhmut jamaa wanataka ukraine waachie huo mji maana hata wakikomaa ni kazi bure wanapeleka muda mbele tu na kumaliza silaha,,,,, Xi anaenda Urusi J3 ijayo acha tujionee. . Mara ya mwisho Putin alivyoenda China na kurudi ukraine kukawaka acha tuone kwa sasa
 
Marekani na mashoga wenzie wanalia huko, silaha ambazo zilitakiwa zitumike kwenye. Spring offensive Ukraine anazimaliza bakhmut jamaa wanataka ukraine waachie huo mji maana hata wakikomaa ni kazi bure wanapeleka muda mbele tu na kumaliza silaha,,,,, Xi anaenda Urusi J3 ijayo acha tujionee. . Mara ya mwisho Putin alivyoenda China na kurudi ukraine kukawaka acha tuone kwa sasa
Hakuna utakachoona, Russia walisema watatumia msimu wa baridi kuimaliza Ukraine wakawa wanapiga miundombinu ya umeme kila mahali ili Ukraine wafe kwa baridi lakini sasa baridi imeisha jamaa wako strong zaidi, hizi ni habari mbaya sana kwa dikteta putin, bakhmut imemtokea puani maamae, waliachiwa waingie sasa wanasagwa
 
Hakuna utakachoona, Russia walisema watatumia msimu wa baridi kuimaliza Ukraine wakawa wanapiga miundombinu ya umeme kila mahali ili Ukraine wafe kwa baridi lakini sasa baridi imeisha jamaa wako strong zaidi, hizi ni habari mbaya sana kwa dikteta putin, bakhmut imemtokea puani maamae, waliachiwa waingie sasa wanasagwa
Vita haina mbinu wala njia moja,,,, hupigani na marobot yaliokua programmed kwa jambo fulani tu.............. Acha watu wamalize madude yao hku mchina na iran watikise kiberiti pia +wagner kutimua vumbi afrika..... Acha tuone muvi
Screenshot_20230317-124757.png
Screenshot_20230317-124743.png
Screenshot_20230317-124735.png
Screenshot_20230317-124808.png
 
Watu wengi hawaelewi kuwa hapani Ukraine, Us na NATO wanapigana na private company PMC. Ndio maana wazili wa ulinzi ameomba Urusi seme kama wapo kwenye vita kamili ili wapeleke jeshi kamili.
Hii inafanyika ili kukwepa uwajibikaji wa moja kwa moja kwa jeshi la Urusi
Pmc ana pigana na nchi zaid ya10 pale Ukraine
Zimeenda Abraham tank (main battle ya Us) leopard 2 (main tank battle ya Germany) plus kila siku Ukraine anaongezewa support na washirika wa NATO ila URUSI yupo na PMC na bado hata almata moja haijaenda wala T90 latest weapon ametumia Urusi ni za 2007 hypersonic tec
Ndio maaana NATO hawakurupuki kufanya maaamuzi yoyote ya kuingia pale moja kwa moja kwenye hii vita
Mpaka saivi petrodoller inaanguka ambayo ni moja ya sabubu ya hii vita
Ukiachana na propaganda za west hii vita inaumiza saaana and at last watampa ushindi Puttin ni suala la muda
 
[emoji630][emoji635]The details of Xi Jinping's upcoming visit to Moscow:

[emoji829]️Issues of military-technical cooperation will be discussed, energy will be discussed in detail.

[emoji829]️Documents are expected to be signed on deepening relations and developing key areas of cooperation until 2030.

[emoji829]️The conflict in Ukraine will be discussed, Russia appreciates the restrained and verified position of China.

[emoji829]️Sergei Shoigu and the head of the Federal Service for Military-Technical Cooperation Shugaev will take part in the conversation
 
Makombora yenyewe anayorusha ni kupiga makazi ya raia tu kuwatia hofu, hana tofauti na magaidi.
Mpka sasa Russia namkubali kwenye mifumo ya kurusha makombora na makombora yenyewe. Jeshi LA aridhini ndilo linamwangusha. Sasa huwezi kushinda vita kwa kutumia anga pekee,,wapamanaji arihini ndiyo humaliza ubishi.
 
Umekula maharage ya wapi wewe??
Watu wengi hawaelewi kuwa hapani Ukraine, Us na NATO wanapigana na private company PMC. Ndio maana wazili wa ulinzi ameomba Urusi seme kama wapo kwenye vita kamili ili wapeleke jeshi kamili.
Hii inafanyika ili kukwepa uwajibikaji wa moja kwa moja kwa jeshi la Urusi
Pmc ana pigana na nchi zaid ya10 pale Ukraine
Zimeenda Abraham tank (main battle ya Us) leopard 2 (main tank battle ya Germany) plus kila siku Ukraine anaongezewa support na washirika wa NATO ila URUSI yupo na PMC na bado hata almata moja haijaenda wala T90 latest weapon ametumia Urusi ni za 2007 hypersonic tec
Ndio maaana NATO hawakurupuki kufanya maaamuzi yoyote ya kuingia pale moja kwa moja kwenye hii vita
Mpaka saivi petrodoller inaanguka ambayo ni moja ya sabubu ya hii vita
Ukiachana na propaganda za west hii vita inaumiza saaana and at last watampa ushindi Puttin ni suala la muda
 
Taarifa zilizo chini ya kapeti Mrusi ajiandae Kisaikolojia nivita Kali haijawahi kutokea. Yani Putin. Ajiandae kujinyonga kwa kitu atafanyiwa na NATO... Keep cool men
Naona wajinga wenzio wote wekupa likes.
Rais wa Marekani alishakataa mapema kua hataingiza jeshi Ukraine.
Sasa ni NATO IPi unaizungumzia wewe mpiga ramli?
NATO Sasa hivi ni sawa na panya rodi TU.
 
USA na Vietanam hauwezi kulinganisha maana ilibidi Marekani asafiri maelfu ya maili kabla kufikia Vietanam, ila haka Ka-Ukraine jirani wa Urusi hapo kameilemaza Urusi mpaka kwisha.
Wala hujui ulisemo - wakati wa vita ya VietNam - USA ilikuwa na airbases karibu na VietNam mfano: Okinawa Japan, Ujerumani Magharibi, Uturuki, Iran ya Shah Reza, Korea ya Kusini, Uingereza na Alaska.

FYI B-52 bombers na fighters zilikuwa zinaruka kutoka kwenye bases tajwa hapo juu kuja kuishambulia VieNam zilikuwa hazitoki Merikani moja kwa moja. Kwa hiyo kisingizio cha eti Merikani ilishindwa vita VietNam kwa sababu ya umbali wa kutoka USA kuja VietNam kisingizio hicho ni immaterial kabisa labda ubuni sababu nyingine mbadala yenye substance.
 
Kwa mujibu wa makamanda wastaafu wengi wa ulaya wanakiri ukrean ndio nchi pekee hadi sasa ambayo ina jeshi bora zaidi duniani, Russia walikuwa tayari washachukua eneo kubwa la Ukrean mfano wa nchi ya Newzaland lakini wakaweza kutolewa mkuku kama paka mwizi sasa wako huko bakhmut pembeni pembeni wanakufa kwa aibu
Ni kweli Ukraine ni taifa kubwa kieneo katika bara la Ulaya na ilikuwa na wanajeshi wengi waliopewa mafunzo na majeshi ya NATO tangu 2015, lakini takwimu za kiintelijensia za kutoka kwenye mashirika ya kuaminika kama Mossad ya Israel na Ujerumani wanasema Zelensky hasemi ukweli kuhusu hasara ya idadi ya wanajeshi wake/NATO walio uuwawa na kujeruhiwa - mpaka sasa Ukraine imekwisha poteza zaidi ya Wanajeshi nusu million killed and maimed in action, repeat 500,000 thousand according to reliable western intelligence agecies-kama kawaida yake Zelensky atabisha tu!!

Ukweli ni kwamba Hhvi sasa wanao pigana vita huko Ukraine ni predominantly majeshi ya NATO hasa kutoka Poland, Uingereza na Merikani yaliyo valia military uniform za Ukraine wakiwemo na mamuluki.

Juzi juzi hapa niliwasikia kwa masikio yangu baadhi ya makamanda wa Ukraine wakizungumza kiingereza chenye lafudhi ya Uingereza kabisa na sio Kiukraine - sasa hii inakupa picha gani.
 
Taarifa zilizo chini ya kapeti Mrusi ajiandae Kisaikolojia nivita Kali haijawahi kutokea. Yani Putin. Ajiandae kujinyonga kwa kitu atafanyiwa na NATO... Keep cool men
Yaan wewe uwe na taarifa halafu Putin asiwe na taarifa ajabu

Si wewe ulisema Putin hachukui miez 6 atakuwa amekufa kwa sumu


#TISS wa kwamtogole

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom