Kuchafuana kupo lakini sijawahi kumuona Lowassa akiingia Studio za Clouds na Mabunduki.Kumbuka kilichotokea kwa Lowasa kuitwa fisadi kabla ya 2015, na baadae waliomwita fisadi kusema hakuwa fisadi.
Nasikia kuna mwenyekiti wa chama fulani anazunguka mikoa mbali mbali kufanya mikutano.Ni ujinga mtupu
Ukiwa na doa lolote kwenye uongozi hufai...mteule ana tuhuma za madoa...Naona Suku gang wameungana nyuma ya Makonda na wamefurahi sana kuteuliwa kwake ni kama wamepata faraja π€£π€£
Nnaposema kwamba kuna vijana wameandaliwa kupambana nae, basi mmoja wapo ni wewe.wewe huna akili kuja humu kumsifia Makonda, bila shaka una wazimu wa aina flani au amekutuma uje humu kumsifia. Makonda ni Mshenzi number moja, na Rais amefanya makosa makubwa sana kumrudisha huyu Jamaa, na siju za mbele atajuta kumpa cheo CCM. Anyway weekness nyingi za Rais zimeonekana hivi karibuni lakini hii ndio kabambe.
Kuna kiongozi ana doa la kukandamiza demokrasia aliyoikuta, na kuachwa na watangulizi wake ndani ya chama chake.Ukiwa na doa lolote kwenye uongozi hufai...mteule ana tuhuma za madoa...
Skm.gang wengi wana madoa.
Upeo wako mdogo sana!Habari zenu wanaJF wenzangu,
Ndugu wanaJF wenzangu, najua leo tar 26/10, asilimia 95 ya wanasiasa wote Tanzania waliopo ndani na nje, akili zao, macho yao, masikio yao na fikra zao zipo katika ufuatiliaji wa kile kinachoenda kufanywa, au kusemwa na kijana Makonda.
Tumeshuhudia watu wengi (hasa wazalendo wa kweli) wakifurahia uteuzi wake, ambao unakwenda kufungua mlango wa kijana huyo kurudi tena siasani, na kuwadhibiti wale wote wanaokwenda kinyume na misingi ya nchi yetu.
Lkn pia kama ilivyo ada, uteuzi wake pia haukupendwa na watu wachache wanaoongozwa na yule makamu mwenyekiti wa chama fulan, unaweza mwita mzalendo uchwara anaeishi maisha yake kupitia michango ya watu mbali mbali haswa wale wafuasi wake masikini wa kipato na kifikra.
Yes namwita mzalendo uchwara kwa sababu mzalendo wa kweli mwenye kuipenda nchi yake, kamwe hawezi kuishi nje ya nchi na familia yake.
Mfano halisi wa mzalendo wa kweli ni baba wa taifa hayati mwl Julius. K, Nyerere ambae alikuwa tayari kuacha kazi yake ya ualimu huko makelele Uganda, na kuamua kurudi nyumbani na familia yake, ili kujumuika na watanganyika wenzake kupigania uhuru wa nchi yake.
Pia tumeona baba wa taifa la Afrika kusini alivyopigania uhuru wa nchi yake, bila kuikimbizia Ulaya au popote familia yake.
I mean mzalendo wa kweli huwa hakimbii changamoto za kwao, bali hupambana kutafuta njia ya kuzimaliza.
Kuna msemo unasema rafiki au ndugu wa kweli ni yule mnaeshirikiana nae katika nyakati zote za shida na raha. Sio mtu ukiwa na shida anakukimbia kwenda kwa wale wenyevipato, alaf baadae anakuhadaa kuwa anakupenda huku akiwa hana msaada wowote kwako wa kifedha wala mawazo.
Anyway tuachane na sifa za huyu mzalendo uchwara, tujikite kwenye mada husika hapo chini π
Tumeona jinsi uteuzi wa kijana huyo ulivyomtoa makamu mwenyekiti huyo pangoni, na kuanza kusema maneno yasioeleweka mithili ya mtu anaetolewa mapepo kanisani. Inasemekana makamu huyo ameandaa vijana wa kumchafua muenezi huyo kupitia mitandao mbali mbali ya kijamii, magazeti, redio nk.
Cha kujiuliza hapa, Je ni kwanini upande ule unatumia nguvu kubwa kumshusha mtu asiewezekana kushushwa?
Ni kwanini hizo nguvu zisitumike kutangaza sera za chama ili kuvuna wanachama?
Kwa mwendo wa namna hii wakati tumebakisha mwaka mmoja harakati za uchaguzi zianze, Je chama chao kikiangukia pua watatuhadaa tena kwamba wameibiwa kura?
Au watajilaumu wenyewe kwa kupoteza muda mrefu kupambana na watu badala ya kutangaza sera ili kujenga chama?
Habari zenu wanaJF wenzangu,
Ndugu wanaJF wenzangu, najua leo tar 26/10, asilimia 95 ya wanasiasa wote Tanzania waliopo ndani na nje, akili zao, macho yao, masikio yao na fikra zao zipo katika ufuatiliaji wa kile kinachoenda kufanywa, au kusemwa na kijana Makonda.
Tumeshuhudia watu wengi (hasa wazalendo wa kweli) wakifurahia uteuzi wake, ambao unakwenda kufungua mlango wa kijana huyo kurudi tena siasani, na kuwadhibiti wale wote wanaokwenda kinyume na misingi ya nchi yetu.
Lkn pia kama ilivyo ada, uteuzi wake pia haukupendwa na watu wachache wanaoongozwa na yule makamu mwenyekiti wa chama fulan, unaweza mwita mzalendo uchwara anaeishi maisha yake kupitia michango ya watu mbali mbali haswa wale wafuasi wake masikini wa kipato na kifikra.
Yes namwita mzalendo uchwara kwa sababu mzalendo wa kweli mwenye kuipenda nchi yake, kamwe hawezi kuishi nje ya nchi na familia yake.
Mfano halisi wa mzalendo wa kweli ni baba wa taifa hayati mwl Julius. K, Nyerere ambae alikuwa tayari kuacha kazi yake ya ualimu huko makelele Uganda, na kuamua kurudi nyumbani na familia yake, ili kujumuika na watanganyika wenzake kupigania uhuru wa nchi yake.
Pia tumeona baba wa taifa la Afrika kusini alivyopigania uhuru wa nchi yake, bila kuikimbizia Ulaya au popote familia yake.
I mean mzalendo wa kweli huwa hakimbii changamoto za kwao, bali hupambana kutafuta njia ya kuzimaliza.
Kuna msemo unasema rafiki au ndugu wa kweli ni yule mnaeshirikiana nae katika nyakati zote za shida na raha. Sio mtu ukiwa na shida anakukimbia kwenda kwa wale wenyevipato, alaf baadae anakuhadaa kuwa anakupenda huku akiwa hana msaada wowote kwako wa kifedha wala mawazo.
Anyway tuachane na sifa za huyu mzalendo uchwara, tujikite kwenye mada husika hapo chini π
Tumeona jinsi uteuzi wa kijana huyo ulivyomtoa makamu mwenyekiti huyo pangoni, na kuanza kusema maneno yasioeleweka mithili ya mtu anaetolewa mapepo kanisani. Inasemekana makamu huyo ameandaa vijana wa kumchafua muenezi huyo kupitia mitandao mbali mbali ya kijamii, magazeti, redio nk.
Cha kujiuliza hapa, Je ni kwanini upande ule unatumia nguvu kubwa kumshusha mtu asiewezekana kushushwa?
Ni kwanini hizo nguvu zisitumike kutangaza sera za chama ili kuvuna wanachama?
Kwa mwendo wa namna hii wakati tumebakisha mwaka mmoja harakati za uchaguzi zianze, Je chama chao kikiangukia pua watatuhadaa tena kwamba wameibiwa kura?
Au watajilaumu wenyewe kwa kupoteza muda mrefu kupambana na watu badala ya kutangaza sera ili kujenga chama?
Hujui hata unaemjibu ana itikadi gani....Kuna kiongozi ana doa la kukandamiza demokrasia aliyoikuta, na kuachwa na watangulizi wake ndani ya chama chake.
Kiongozi huyo ana doa la kukiazima chama chake fedha kiduchu na kujirudishia kibao.
Ana doa la kupewa pesa ili kumpitisha adui yao agombee uraisi kupitia chama chao
Ana doa la kuhusishwa na kifo cha ChaCha Wangwe
Pia ana doa la kuhusishwa na tabia ya kwenda kupokea pesa ikulu ili kukihujumu chama chake kimya kimya na kupelekea yule makamu mwenyekiti wake wa Ulaya kutumia nguvu kubwa kupambana ili chama kisianguke.
Cha kushangaza mpaka leo yupo on top ya chama na hakuna wa kumwambia kitu.
So what?Nasikia kuna mwenyekiti wa chama fulani anazunguka mikoa mbali mbali kufanya mikutano.
Cha kushangaza kama hautumii mitandao ya kijamii kamwe hauwezi kuwa na taarifa ya mikutano hiyo, hali inayopelekea apate watu wachache mno mikutanoni.
Lakin huyu dogo anaonekana kufuatiliwa na watu mbali mbali hata wale ambao sio wafuatiliaji wa mitandao.
Kama ile mliyomwaga kwa yule mkurya na yule wa migodini gtHakuna mwenye akiki timamu anayeweza kupoteza muda wake ili asikie mwizi na muuaji makonda atasema nini. Labda kama angekuwa anakuja kufanya toba wa matendo yake ya kishenzi.
Damu zote alizozimwaga, ziwe juu yake na wazao wake.
Yaani umeandika kama umetumwa kuwa usipoandika hivi ulivyoandika basi leo mchana hao chama chakavu kisingekuingizia tonge kwenye akaunti yako. Njaa nyoko sana. Chezea njaa veve!Habari zenu wanaJF wenzangu,
Ndugu wanaJF wenzangu, najua leo tar 26/10, asilimia 95 ya wanasiasa wote Tanzania waliopo ndani na nje, akili zao, macho yao, masikio yao na fikra zao zipo katika ufuatiliaji wa kile kinachoenda kufanywa, au kusemwa na kijana Makonda.
Tumeshuhudia watu wengi (hasa wazalendo wa kweli) wakifurahia uteuzi wake, ambao unakwenda kufungua mlango wa kijana huyo kurudi tena siasani, na kuwadhibiti wale wote wanaokwenda kinyume na misingi ya nchi yetu.
Lkn pia kama ilivyo ada, uteuzi wake pia haukupendwa na watu wachache wanaoongozwa na yule makamu mwenyekiti wa chama fulan, unaweza mwita mzalendo uchwara anaeishi maisha yake kupitia michango ya watu mbali mbali haswa wale wafuasi wake masikini wa kipato na kifikra.
Yes namwita mzalendo uchwara kwa sababu mzalendo wa kweli mwenye kuipenda nchi yake, kamwe hawezi kuishi nje ya nchi na familia yake.
Mfano halisi wa mzalendo wa kweli ni baba wa taifa hayati mwl Julius. K, Nyerere ambae alikuwa tayari kuacha kazi yake ya ualimu huko makelele Uganda, na kuamua kurudi nyumbani na familia yake, ili kujumuika na watanganyika wenzake kupigania uhuru wa nchi yake.
Pia tumeona baba wa taifa la Afrika kusini alivyopigania uhuru wa nchi yake, bila kuikimbizia Ulaya au popote familia yake.
I mean mzalendo wa kweli huwa hakimbii changamoto za kwao, bali hupambana kutafuta njia ya kuzimaliza.
Kuna msemo unasema rafiki au ndugu wa kweli ni yule mnaeshirikiana nae katika nyakati zote za shida na raha. Sio mtu ukiwa na shida anakukimbia kwenda kwa wale wenyevipato, alaf baadae anakuhadaa kuwa anakupenda huku akiwa hana msaada wowote kwako wa kifedha wala mawazo.
Anyway tuachane na sifa za huyu mzalendo uchwara, tujikite kwenye mada husika hapo chini π
Tumeona jinsi uteuzi wa kijana huyo ulivyomtoa makamu mwenyekiti huyo pangoni, na kuanza kusema maneno yasioeleweka mithili ya mtu anaetolewa mapepo kanisani. Inasemekana makamu huyo ameandaa vijana wa kumchafua muenezi huyo kupitia mitandao mbali mbali ya kijamii, magazeti, redio nk.
Cha kujiuliza hapa, Je ni kwanini upande ule unatumia nguvu kubwa kumshusha mtu asiewezekana kushushwa?
Ni kwanini hizo nguvu zisitumike kutangaza sera za chama ili kuvuna wanachama?
Kwa mwendo wa namna hii wakati tumebakisha mwaka mmoja harakati za uchaguzi zianze, Je chama chao kikiangukia pua watatuhadaa tena kwamba wameibiwa kura?
Au watajilaumu wenyewe kwa kupoteza muda mrefu kupambana na watu badala ya kutangaza sera ili kujenga chama?
Mmbwa kama mmmbwqHabari zenu wanaJF wenzangu,
Ndugu wanaJF wenzangu, najua leo tar 26/10, asilimia 95 ya wanasiasa wote Tanzania waliopo ndani na nje, akili zao, macho yao, masikio yao na fikra zao zipo katika ufuatiliaji wa kile kinachoenda kufanywa, au kusemwa na kijana Makonda.
Tumeshuhudia watu wengi (hasa wazalendo wa kweli) wakifurahia uteuzi wake, ambao unakwenda kufungua mlango wa kijana huyo kurudi tena siasani, na kuwadhibiti wale wote wanaokwenda kinyume na misingi ya nchi yetu.
Lkn pia kama ilivyo ada, uteuzi wake pia haukupendwa na watu wachache wanaoongozwa na yule makamu mwenyekiti wa chama fulan, unaweza mwita mzalendo uchwara anaeishi maisha yake kupitia michango ya watu mbali mbali haswa wale wafuasi wake masikini wa kipato na kifikra.
Yes namwita mzalendo uchwara kwa sababu mzalendo wa kweli mwenye kuipenda nchi yake, kamwe hawezi kuishi nje ya nchi na familia yake.
Mfano halisi wa mzalendo wa kweli ni baba wa taifa hayati mwl Julius. K, Nyerere ambae alikuwa tayari kuacha kazi yake ya ualimu huko makelele Uganda, na kuamua kurudi nyumbani na familia yake, ili kujumuika na watanganyika wenzake kupigania uhuru wa nchi yake.
Pia tumeona baba wa taifa la Afrika kusini alivyopigania uhuru wa nchi yake, bila kuikimbizia Ulaya au popote familia yake.
I mean mzalendo wa kweli huwa hakimbii changamoto za kwao, bali hupambana kutafuta njia ya kuzimaliza.
Kuna msemo unasema rafiki au ndugu wa kweli ni yule mnaeshirikiana nae katika nyakati zote za shida na raha. Sio mtu ukiwa na shida anakukimbia kwenda kwa wale wenyevipato, alaf baadae anakuhadaa kuwa anakupenda huku akiwa hana msaada wowote kwako wa kifedha wala mawazo.
Anyway tuachane na sifa za huyu mzalendo uchwara, tujikite kwenye mada husika hapo chini π
Tumeona jinsi uteuzi wa kijana huyo ulivyomtoa makamu mwenyekiti huyo pangoni, na kuanza kusema maneno yasioeleweka mithili ya mtu anaetolewa mapepo kanisani. Inasemekana makamu huyo ameandaa vijana wa kumchafua muenezi huyo kupitia mitandao mbali mbali ya kijamii, magazeti, redio nk.
Cha kujiuliza hapa, Je ni kwanini upande ule unatumia nguvu kubwa kumshusha mtu asiewezekana kushushwa?
Ni kwanini hizo nguvu zisitumike kutangaza sera za chama ili kuvuna wanachama?
Kwa mwendo wa namna hii wakati tumebakisha mwaka mmoja harakati za uchaguzi zianze, Je chama chao kikiangukia pua watatuhadaa tena kwamba wameibiwa kura?
Au watajilaumu wenyewe kwa kupoteza muda mrefu kupambana na watu badala ya kutangaza sera ili kujenga chama?
Naona umekwepa kumjadili mzalendo uchwara na makamu mwenyekiti wa chama chako taifa, baada ya kugundua kwamba nimepiga pale pale kwenye mshono wa operation ya uzazi.Upeo wako mdogo sana!
Uteuzi wa Makonda kuwa Mwenezi wa CCM ni WA hovyo!
Pia hakuna Chuo Uganda kinaitwa Makelele ni Makerere!
Pia Julius Nyerere hakuwa Mwalimu Makerere bali Mwanafunzi pale.
Julius Nyerere aliacha kazi ya Ualimu Pugu enzi hizo ikiitwa St....
CCM sasa hivi Kumejaa mazuzu ndio haya yanashabikia uteuzi wa Makonda kuwa Mwenezi wa CCM Taifa!
Mkuu sikutegemea kuwa na wewe ni miongoni mwa wale waliopewa kazi ya kupambana na jamaa kupitia mitandaoni nk.CCM NI SIKIO LA KUFAππ Mnapata wapi ujasiri wa kumrudisha Makonda kwenye system ya uongozi tena? Hii ni aibu mpaka kwa mataifa mengine kuona tz imekosa watu mahiri wa kuongoza taifa hili. Huyu mwenyewe tuhuma za kuvunja haki za binadamu ndio awe kiongozi. Huyo murderer hafai β
Amna mkuu, mbona siku zote mimi furaha ndio maisha yangu ππNipo mkuu,naona leo unafuraha sana. π π
Inamaana wewe sio msifiaji kama huyo?Binafsi siweze kupoteza muda kumsifia mtu ambaye hana maslahi ya moja kwa moja kwenye maisha yangu, familia yangu na jamii yangu inayonizunguka.