Baada ya uteuzi wa mwamba: Kuna kundi limeandaliwa kupambana nae

Baada ya uteuzi wa mwamba: Kuna kundi limeandaliwa kupambana nae

Tumeshuhudia watu wengi (hasa wazalendo wa kweli) wakifurahia uteuzi wake, ambao unakwenda kufungua mlango wa kijana huyo kurudi tena siasani, na kuwadhibiti wale wote wanaokwenda kinyume na misingi ya nchi yetu
Kwamba ameteuliwa kuwa Kiongozi wa serikali kama political figure i.e WAZIRI au Mtendaji i.e Katibu au? ili awe na mamlaka juu ya wananchi au wanaokwenda kinyume na misingi ya nchi yetu? Au mwenyekiti wa chama chake amemteua kuwa mwenezaji wa itikadi na mawazo ya chama chake cha mapinduzi? Unaweza kutuambia kwa mujibu wa katiba ya JMT ya Mwaka 1977 pamoja na marekebisho yake wapi kuna nafasi ya Katibu mwenezi wa chama kinachounda serikali katika shughuli za kiutendaji za serikali? Punguzeni ujinga kidogo basi ili nchi iweze kuendelea! elimu nayo ni kipimo cha maendeleo ya nchi sasa wajinga wakiwa wengi itakua nchi ya hovyo sana! kazi yake ni kueneza Propaganda na Itikadi za Chama wala sio mtendaji wa serikali! Nyie ndio mtamfanya anze kufanya majukumu yasiyo yake sasa baadae aharibu tena. Kasome katiba ya ccm ibara ya 107(2) a,b,c,d,e,f uone majukumu ya Katibu mkuu wa siasa na uenezi wa chama :https://afisikuu.ccm.or.tz/website/katiba/Katiba ya CCM 2017 (dec 2018).pdf
 
Yaani umeandika kama umetumwa kuwa usipoandika hivi ulivyoandika basi leo mchana hao chama chakavu kisingekuingizia tonge kwenye akaunti yako. Njaa nyoko sana. Chezea njaa veve!
Aina ya muandishi anaelipwa na boss utaiona tu kijana.
 

Attachments

  • Screenshot_20231026-141556.png
    Screenshot_20231026-141556.png
    23.6 KB · Views: 2
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Ndugu wanaJF wenzangu, najua leo tar 26/10, asilimia 95 ya wanasiasa wote Tanzania waliopo ndani na nje, akili zao, macho yao, masikio yao na fikra zao zipo katika ufuatiliaji wa kile kinachoenda kufanywa, au kusemwa na kijana Makonda.

Tumeshuhudia watu wengi (hasa wazalendo wa kweli) wakifurahia uteuzi wake, ambao unakwenda kufungua mlango wa kijana huyo kurudi tena siasani, na kuwadhibiti wale wote wanaokwenda kinyume na misingi ya nchi yetu.

Lkn pia kama ilivyo ada, uteuzi wake pia haukupendwa na watu wachache wanaoongozwa na yule makamu mwenyekiti wa chama fulan, unaweza mwita mzalendo uchwara anaeishi maisha yake kupitia michango ya watu mbali mbali haswa wale wafuasi wake masikini wa kipato na kifikra.

Yes namwita mzalendo uchwara kwa sababu mzalendo wa kweli mwenye kuipenda nchi yake, kamwe hawezi kuishi nje ya nchi na familia yake.

Mfano halisi wa mzalendo wa kweli ni baba wa taifa hayati mwl Julius. K, Nyerere ambae alikuwa tayari kuacha kazi yake ya ualimu huko makelele Uganda, na kuamua kurudi nyumbani na familia yake, ili kujumuika na watanganyika wenzake kupigania uhuru wa nchi yake.

Pia tumeona baba wa taifa la Afrika kusini alivyopigania uhuru wa nchi yake, bila kuikimbizia Ulaya au popote familia yake.

I mean mzalendo wa kweli huwa hakimbii changamoto za kwao, bali hupambana kutafuta njia ya kuzimaliza.

Kuna msemo unasema rafiki au ndugu wa kweli ni yule mnaeshirikiana nae katika nyakati zote za shida na raha. Sio mtu ukiwa na shida anakukimbia kwenda kwa wale wenyevipato, alaf baadae anakuhadaa kuwa anakupenda huku akiwa hana msaada wowote kwako wa kifedha wala mawazo.

Anyway tuachane na sifa za huyu mzalendo uchwara, tujikite kwenye mada husika hapo chini 👇

Tumeona jinsi uteuzi wa kijana huyo ulivyomtoa makamu mwenyekiti huyo pangoni, na kuanza kusema maneno yasioeleweka mithili ya mtu anaetolewa mapepo kanisani. Inasemekana makamu huyo ameandaa vijana wa kumchafua muenezi huyo kupitia mitandao mbali mbali ya kijamii, magazeti, redio nk.

Cha kujiuliza hapa, Je ni kwanini upande ule unatumia nguvu kubwa kumshusha mtu asiewezekana kushushwa?

Ni kwanini hizo nguvu zisitumike kutangaza sera za chama ili kuvuna wanachama?

Kwa mwendo wa namna hii wakati tumebakisha mwaka mmoja harakati za uchaguzi zianze, Je chama chao kikiangukia pua watatuhadaa tena kwamba wameibiwa kura?

Au watajilaumu wenyewe kwa kupoteza muda mrefu kupambana na watu badala ya kutangaza sera ili kujenga chama?
WEWE NI MJINGA KULIKO MWASHAMBWA
 
Kwamba ameteuliwa kuwa Kiongozi wa serikali kama political figure i.e WAZIRI au Mtendaji i.e Katibu au? ili awe na mamlaka juu ya wananchi au wanaokwenda kinyume na misingi ya nchi yetu? Au mwenyekiti wa chama chake amemteua kuwa mwenezaji wa itikadi na mawazo ya chama chake cha mapinduzi? Unaweza kutuambia kwa mujibu wa katiba ya JMT ya Mwaka 1977 pamoja na marekebisho yake wapi kuna nafasi ya Katibu mwenezi wa chama kinachounda serikali katika shughuli za kiutendaji za serikali? Punguzeni ujinga kidogo basi ili nchi iweze kuendelea! elimu nayo ni kipimo cha maendeleo ya nchi sasa wajinga wakiwa wengi itakua nchi ya hovyo sana! kazi yake ni kueneza Propaganda na Itikadi za Chama wala sio mtendaji wa serikali! Nyie ndio mtamfanya anze kufanya majukumu yasiyo yake sasa baadae aharibu tena. Kasome katiba ya ccm ibara ya 107(2) a,b,c,d,e,f uone majukumu ya Katibu mkuu wa siasa na uenezi wa chama :https://afisikuu.ccm.or.tz/website/katiba/Katiba ya CCM 2017 (dec 2018).pdf
Ushauri huu ulitakiwa umpe makamu mwenyekiti wako na mzalendo uchwara ambae alionekana kushtushwa na uteuzi huo.

Zaidi ya miaka mi3 alikuwa hajamtaja Makonda. Lakin alivyochaguliwa tu juzi hiyo hiyo kamtaja, na kusambaza chawa mitandaoni wa kupambana nae.
 
Ushauri huu ulitakiwa umpe makamu mwenyekiti wako na mzalendo uchwara ambae alionekana kushtushwa na uteuzi huo.

Zaidi ya miaka mi3 alikuwa hajamtaja Makonda. Lakin alivyochaguliwa tu juzi hiyo hiyo kamtaja, na kusambaza chawa mitandaoni wa kupambana nae.
Soma tena ulichoandika then jipige kifuani sema "Mimi ni nunda" wote ni wanasiasa kama mtu hayuko kwenye medani za siasa ulitaka amzungumzie ni mama yake au mkewe? Politicians do talk about politics and fellow politicians! angemsema ungekuja kukenua meno hapa anamsumbua wakati hana nafasi yoyote ya kisiasa. Kiufupii narudia tena una tatizo pahala katika idara ya kufikiri
 
Kwa ufupi,kuna watu ni vimbwenerehi waliopea viwango.Mleta uzi akamatwe haraka hata na sungusungu wa kijiji na atandikwe bakora za shingoni barabara.Shame!
 
Mkuu sikutegemea kuwa na wewe ni miongoni mwa wale waliopewa kazi ya kupambana na jamaa kupitia mitandaoni nk.

Poleni sana.
Ulitegemea na mimi ni kiazi kama wewe? Kweli na akili zako unaweza ukawa mfuasi wa Bashite Zero brain?
 
Leo ilikuwa siku ya kipekee sana hapa nchini. Tumefurahia sana uteuzi huu wa kijana machachari Makonda. CCM hapa mmejua kutufurahisha.
 
Seriously unaliita hilo jambazi uaji kuwa "kijana mzalendo"?
Jambazi aliyemuua Ben saa8
Jambazi aliyepora magari ya wahindi na waarabu kwa kuwasingizia madawa ya kulevya?
Jambazi aliyevamia clouds na silaha?

Nahitaji tafsiri ya neno "mzalendo" kutoka kwa machawa kama wewe!!

Ulishuhudia akiua? Acha maneno ya vijiweni. Mh Makonda kaanza kutema cheche, mnaanza kutafutana huko.
 
Ulitegemea na mimi ni kiazi kama wewe? Kweli na akili zako unaweza ukawa mfuasi wa Bashite Zero brain?
Hata kina mmawia kabla ya uchaguzi wa 2015 walijiona wajanja na wenye akili.

Wakaongea hivi hivi kuhusu Lowasa kama wewe uongeavyo leo, lkn ilivyofika mwaka 2015 wakati wa uchaguzi mkuu wakageuka kuwa wapiga deki wa barabarani na wazungusha mikono wakubwa wa Lowasa.

So kwa wewe leo kujiona una akili nyingi sishangai.
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Ndugu wanaJF wenzangu, najua leo tar 26/10, asilimia 95 ya wanasiasa wote Tanzania waliopo ndani na nje, akili zao, macho yao, masikio yao na fikra zao zipo katika ufuatiliaji wa kile kinachoenda kufanywa, au kusemwa na kijana Makonda.

Tumeshuhudia watu wengi (hasa wazalendo wa kweli) wakifurahia uteuzi wake, ambao unakwenda kufungua mlango wa kijana huyo kurudi tena siasani, na kuwadhibiti wale wote wanaokwenda kinyume na misingi ya nchi yetu.

Lkn pia kama ilivyo ada, uteuzi wake pia haukupendwa na watu wachache wanaoongozwa na yule makamu mwenyekiti wa chama fulan, unaweza mwita mzalendo uchwara anaeishi maisha yake kupitia michango ya watu mbali mbali haswa wale wafuasi wake masikini wa kipato na kifikra.

Yes namwita mzalendo uchwara kwa sababu mzalendo wa kweli mwenye kuipenda nchi yake, kamwe hawezi kuishi nje ya nchi na familia yake.

Mfano halisi wa mzalendo wa kweli ni baba wa taifa hayati mwl Julius. K, Nyerere ambae alikuwa tayari kuacha kazi yake ya ualimu huko makelele Uganda, na kuamua kurudi nyumbani na familia yake, ili kujumuika na watanganyika wenzake kupigania uhuru wa nchi yake.

Pia tumeona baba wa taifa la Afrika kusini alivyopigania uhuru wa nchi yake, bila kuikimbizia Ulaya au popote familia yake.

I mean mzalendo wa kweli huwa hakimbii changamoto za kwao, bali hupambana kutafuta njia ya kuzimaliza.

Kuna msemo unasema rafiki au ndugu wa kweli ni yule mnaeshirikiana nae katika nyakati zote za shida na raha. Sio mtu ukiwa na shida anakukimbia kwenda kwa wale wenyevipato, alaf baadae anakuhadaa kuwa anakupenda huku akiwa hana msaada wowote kwako wa kifedha wala mawazo.

Anyway tuachane na sifa za huyu mzalendo uchwara, tujikite kwenye mada husika hapo chini 👇

Tumeona jinsi uteuzi wa kijana huyo ulivyomtoa makamu mwenyekiti huyo pangoni, na kuanza kusema maneno yasioeleweka mithili ya mtu anaetolewa mapepo kanisani. Inasemekana makamu huyo ameandaa vijana wa kumchafua muenezi huyo kupitia mitandao mbali mbali ya kijamii, magazeti, redio nk.

Cha kujiuliza hapa, Je ni kwanini upande ule unatumia nguvu kubwa kumshusha mtu asiewezekana kushushwa?

Ni kwanini hizo nguvu zisitumike kutangaza sera za chama ili kuvuna wanachama?

Kwa mwendo wa namna hii wakati tumebakisha mwaka mmoja harakati za uchaguzi zianze, Je chama chao kikiangukia pua watatuhadaa tena kwamba wameibiwa kura?

Au watajilaumu wenyewe kwa kupoteza muda mrefu kupambana na watu badala ya kutangaza sera ili kujenga chama?
Mzalendo wa kweli ni nani?
 
Leo ilikuwa siku ya kipekee sana hapa nchini. Tumefurahia sana uteuzi huu wa kijana machachari Makonda. CCM hapa mmejua kutufurahisha.
Shukran za pekee zimuendee mwenyekiti wa CCM na raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr Samia S Hassan kwa kumpa nafasi nyingine mpambanaji na mzalendo wa chama na taifa kwa ujumla.
 
Mzalendo wa kweli ni nani?
Ni yule ambae akiishiwa hela ya kulipa fee ya watoto shuleni, anakuja Tanzania anaanzisha mikutano ya kimkakati, anachangisha watu pesa, alaf anatokomea nazo Ulaya kuwalipia watoto wake hela za fee wanazodaiwa shulen, na zingine kuzitumia kwa ajili ya anasa zingine na matumizi ya nyumbani.

Juzi kaenda Marekani, muda mwingi wa hotuba ulilenga kuhitaji michango kutoka kwao.

Yeye na familia yake wanaishi huko, alaf akiwa na njaa ndo anarudi Tanzania kujifanya mzalendo uchwara ili apate nafasi ya kupata michango na kutokomea tena.
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Ndugu wanaJF wenzangu, najua leo tar 26/10, asilimia 95 ya wanasiasa wote Tanzania waliopo ndani na nje, akili zao, macho yao, masikio yao na fikra zao zipo katika ufuatiliaji wa kile kinachoenda kufanywa, au kusemwa na kijana Makonda.

Tumeshuhudia watu wengi (hasa wazalendo wa kweli) wakifurahia uteuzi wake, ambao unakwenda kufungua mlango wa kijana huyo kurudi tena siasani, na kuwadhibiti wale wote wanaokwenda kinyume na misingi ya nchi yetu.

Lkn pia kama ilivyo ada, uteuzi wake pia haukupendwa na watu wachache wanaoongozwa na yule makamu mwenyekiti wa chama fulan, unaweza mwita mzalendo uchwara anaeishi maisha yake kupitia michango ya watu mbali mbali haswa wale wafuasi wake masikini wa kipato na kifikra.

Yes namwita mzalendo uchwara kwa sababu mzalendo wa kweli mwenye kuipenda nchi yake, kamwe hawezi kuishi nje ya nchi na familia yake.

Mfano halisi wa mzalendo wa kweli ni baba wa taifa hayati mwl Julius. K, Nyerere ambae alikuwa tayari kuacha kazi yake ya ualimu huko makelele Uganda, na kuamua kurudi nyumbani na familia yake, ili kujumuika na watanganyika wenzake kupigania uhuru wa nchi yake.

Pia tumeona baba wa taifa la Afrika kusini alivyopigania uhuru wa nchi yake, bila kuikimbizia Ulaya au popote familia yake.

I mean mzalendo wa kweli huwa hakimbii changamoto za kwao, bali hupambana kutafuta njia ya kuzimaliza.

Kuna msemo unasema rafiki au ndugu wa kweli ni yule mnaeshirikiana nae katika nyakati zote za shida na raha. Sio mtu ukiwa na shida anakukimbia kwenda kwa wale wenyevipato, alaf baadae anakuhadaa kuwa anakupenda huku akiwa hana msaada wowote kwako wa kifedha wala mawazo.

Anyway tuachane na sifa za huyu mzalendo uchwara, tujikite kwenye mada husika hapo chini [emoji116]

Tumeona jinsi uteuzi wa kijana huyo ulivyomtoa makamu mwenyekiti huyo pangoni, na kuanza kusema maneno yasioeleweka mithili ya mtu anaetolewa mapepo kanisani. Inasemekana makamu huyo ameandaa vijana wa kumchafua muenezi huyo kupitia mitandao mbali mbali ya kijamii, magazeti, redio nk.

Cha kujiuliza hapa, Je ni kwanini upande ule unatumia nguvu kubwa kumshusha mtu asiewezekana kushushwa?

Ni kwanini hizo nguvu zisitumike kutangaza sera za chama ili kuvuna wanachama?

Kwa mwendo wa namna hii wakati tumebakisha mwaka mmoja harakati za uchaguzi zianze, Je chama chao kikiangukia pua watatuhadaa tena kwamba wameibiwa kura?

Au watajilaumu wenyewe kwa kupoteza muda mrefu kupambana na watu badala ya kutangaza sera ili kujenga chama?
Nani wa kumuwazia huyo mj*nga mmoja!!?? Tunaiwazia bandari yetu mliyomzawadia Sultan.
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Ndugu wanaJF wenzangu, najua leo tar 26/10, asilimia 95 ya wanasiasa wote Tanzania waliopo ndani na nje, akili zao, macho yao, masikio yao na fikra zao zipo katika ufuatiliaji wa kile kinachoenda kufanywa, au kusemwa na kijana Makonda.

Tumeshuhudia watu wengi (hasa wazalendo wa kweli) wakifurahia uteuzi wake, ambao unakwenda kufungua mlango wa kijana huyo kurudi tena siasani, na kuwadhibiti wale wote wanaokwenda kinyume na misingi ya nchi yetu.

Lkn pia kama ilivyo ada, uteuzi wake pia haukupendwa na watu wachache wanaoongozwa na yule makamu mwenyekiti wa chama fulan, unaweza mwita mzalendo uchwara anaeishi maisha yake kupitia michango ya watu mbali mbali haswa wale wafuasi wake masikini wa kipato na kifikra.

Yes namwita mzalendo uchwara kwa sababu mzalendo wa kweli mwenye kuipenda nchi yake, kamwe hawezi kuishi nje ya nchi na familia yake.

Mfano halisi wa mzalendo wa kweli ni baba wa taifa hayati mwl Julius. K, Nyerere ambae alikuwa tayari kuacha kazi yake ya ualimu huko makelele Uganda, na kuamua kurudi nyumbani na familia yake, ili kujumuika na watanganyika wenzake kupigania uhuru wa nchi yake.

Pia tumeona baba wa taifa la Afrika kusini alivyopigania uhuru wa nchi yake, bila kuikimbizia Ulaya au popote familia yake.

I mean mzalendo wa kweli huwa hakimbii changamoto za kwao, bali hupambana kutafuta njia ya kuzimaliza.

Kuna msemo unasema rafiki au ndugu wa kweli ni yule mnaeshirikiana nae katika nyakati zote za shida na raha. Sio mtu ukiwa na shida anakukimbia kwenda kwa wale wenyevipato, alaf baadae anakuhadaa kuwa anakupenda huku akiwa hana msaada wowote kwako wa kifedha wala mawazo.

Anyway tuachane na sifa za huyu mzalendo uchwara, tujikite kwenye mada husika hapo chini 👇

Tumeona jinsi uteuzi wa kijana huyo ulivyomtoa makamu mwenyekiti huyo pangoni, na kuanza kusema maneno yasioeleweka mithili ya mtu anaetolewa mapepo kanisani. Inasemekana makamu huyo ameandaa vijana wa kumchafua muenezi huyo kupitia mitandao mbali mbali ya kijamii, magazeti, redio nk.

Cha kujiuliza hapa, Je ni kwanini upande ule unatumia nguvu kubwa kumshusha mtu asiewezekana kushushwa?

Ni kwanini hizo nguvu zisitumike kutangaza sera za chama ili kuvuna wanachama?

Kwa mwendo wa namna hii wakati tumebakisha mwaka mmoja harakati za uchaguzi zianze, Je chama chao kikiangukia pua watatuhadaa tena kwamba wameibiwa kura?

Au watajilaumu wenyewe kwa kupoteza muda mrefu kupambana na watu badala ya kutangaza sera ili kujenga chama?
Nyerere gani aliacha kazi ya ualimu huko makelele?
 
Mtu yeyote bila kujali cheo na anamwita bashite shujaa huyo ni mpumbavu kwani huwezi ita jitu mafia kuwa shujaa
 
Hongera nyingi sana kwa Mh Makonda. Mungu azidi kumpa kibali, aendelee kuitumikia nchi. Asante Mh Rais kwa kutuletea tena Mh Makonda. Tena huku chamani ndio tunamuhitaji zaidi.
 
Back
Top Bottom