Kama ndio hivyo SASA naanza kuelewa ni Kwa nini vyama vingi ndivyo uchagua mgombea na kumpandikiza Kwa wananchi ili wampigie Kura...Wenye uelewa katika Siasa hasa Viongozi hawana Imani na machaguo ya wananchi au uwezo wao wa kujichagulia Viongozi Bora.Sera tunaongea tu kama sehemu ya kusherehesha, ila kiukweli wapiga kura wengi hawapigi kura kwa kujali sera, bali sababu nyingine kama mazoea, rushwa, hamasa nk. Ni asilimia chache sana wanachagua kwa sera. Na sasa hivi chini ya Magufuli, kumeibuka aina nyingine ya kupata uwakilishi kwa kupita bila kupingwa.
Hiyo nayo watapiga marufuku haoHuyu ni Mgombea Ubunge wa jimbo la Makambako kwa tiketi ya Chadema akitumia njia mpya ya kujitangaza .
View attachment 1553391View attachment 1553392View attachment 1553393
Mytake : Tunaomba radhi kwa usumbufu wa nyuzi zetu nyingi za kampeni , hii ni kwa vile muda wa kampeni ni mfupi na tunazihitaji sana kura zenu
Kupita bila kupingwa ipo tangu siasa za vyama vingi mkuu!! Kuna uwezekano ulikuwa bado kinda ndiyo maana hujui kuwa kupita bila kupingwa ilikuwapo!
Huyu ni Mgombea Ubunge wa jimbo la Makambako kwa tiketi ya Chadema akitumia njia mpya ya kujitangaza .
View attachment 1553391View attachment 1553392View attachment 1553393
Mytake : Tunaomba radhi kwa usumbufu wa nyuzi zetu nyingi za kampeni , hii ni kwa vile muda wa kampeni ni mfupi na tunazihitaji sana kura zenu
SwadaktaKama katumia fedha za ruzuku kuprint hizo adverts hapo sawa, kama ni fedha zake za mfukoni, ameula wa chuya.
Vyombo vya habari munavifukuza kwenye mikutano yenu.
Kama hakuna maneno ya chuki na matusi wewe rusha tu ,hakuna atakae kusumbuaIla sio fear kwa anachofanya rais wetu? Sasa hivi ukitaka kupigwa faini na TCRA we rusha vipindi vya wapinzani.
ANANICHUKIZA HAPA TU
Sheria zipo duniani kote siyo TZ tu. Hata USA huruhusiwi kutangaza matokeo kabla hayajathibitishwa na Tume ya Uchaguzi.
Sema CCM kwa sasa imekubalika zaidi kuliko awamu ya nne. Huo ndiyo ukweli uliona watia nia tu walikuwa 44 elfu hivyo wagombea wazuri walikimbilia CCM. Siku za nyuma wakikosa CCM walikuwa wanakimbilia upinzani mwaka huu siyo sana. Hivyo wagombea wengi wa upinzani ni magalasha hata kujaza fomu ni shida. Angalia hapa chiniKwa sasa chini ya Magufuli imekuwa ni fashion kwa wanaccm. Kabla ya Magufuli kuwa rais, ukiacha Magufuli mwenyewe akiwa mbunge kuhujumu uchaguzi ili apite bila kupingwa, ni wagombea wachache sana walikuwa wanapita bila kupingwa. Chaguzi karibia zote chini ya awamu hii zimetawaliwa na wagombea kupita bila kupingwa, yaani tabia binafsi ya Magufuli kupita bila kupingwa, ndio imegeuka kuwa tabia ya wanaccm wote kwenye chaguzi zote za nchi hii.
Kama hakuna maneno ya chuki na matusi wewe rusha tu ,hakuna atakae kusumbua
Hakuna walichukua kwenye mitandaoClouds walitangaza baada ya kusikia toka kwa wakurugenzi, ambao ni wadau wa tume ya uchaguzi.
Unafikili mimi mgeni kwenye hii awamu ya kishindo? Vyote vilenga kuua upinzani hata sisi CCM tunakwazwa na hii tabia mbaya.TUNATAKA KUSHINDANA MBIO NA MTU MWENYE MIGUU MWENZETU SIO MUMKATE MIGUU THEN MUMUITE NI MSHINDANI HALALIKanuni zipo wazi....! Mnatakiwa kubalance story....!
Siyo mwanasiasa anatoa tuhuma nzito na mbaya kwa mwenzake...halafu nyinyi kwanza hamuombi ushahidi wa kuzipa nguvu tuhuma hizo pili hamuendi upande wa pili wa aliyetuhumiwa kupata majibu ya tuhuma hizo....!!! Badala yake mbio mnaenda mitamboni kurusha tuhuma hizo tena kwenye " prime time"!
Hivyo, lazima mshughulikiwe msipofuata maadili yaliyowekwa wazi na Tume ya uchaguzi pamoja na TCRA.
Sema CCM kwa sasa imekubalika zaidi kuliko awamu ya nne. Huo ndiyo ukweli uliona watia nia tu walikuwa 44 elfu hivyo wagombea wazuri walikimbilia CCM. Siku za nyuma wakikosa CCM walikuwa wanakimbilia upinzani mwaka huu siyo sana. Hivyo wagombea wengi wa upinzani ni magalasha hata kujaza fomu ni shida. Angalia hapa chini
View attachment 1553483
Kususwa gani na wakati mnawapiga fine media imefika hatua hata wasanii wanaogopa kuwa upande wa wapinzani.TUNATAKA KUWE NA FEAR GAME HATUJAZOEA HAYA MNATULETEA HABARI MPYA.Mbona mliwafukuza TBC1 sasa vyombo vya habari vyote vimewasusa mtakula jeuri yenu!
Hakuna walichukua kwenye mitandao
Tangu lini TBC ilisifia WapinzaniMbona mliwafukuza TBC1 sasa vyombo vya habari vyote vimewasusa mtakula jeuri yenu!
Kama ndio hivyo SASA naanza kuelewa ni Kwa nini vyama vingi ndivyo uchagua mgombea na kumpandikiza Kwa wananchi ili wampigie Kura...Wenye uelewa katika Siasa hasa Viongozi hawana Imani na machaguo ya wananchi au uwezo wao wa kujichagulia Viongozi Bora.