Baada ya vyombo vya habari kuwekewa pingamizi kuhusu habari za Lissu, sasa mmeelewa kwanini CHADEMA walizuiwa kuingia uwanjani msiba wa Mkapa?

Tupo pamoja, yaani walipofika Kalimjee wakafungiwa milango ya basi, wakaamua kwenda Taifa na magari yao ๐Ÿ˜€ ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Mkuu, Chadeama walifika uwanjani kila mtu na gari yake? Na hayo magari yaliruhusiwaje ikiwa serikali ilishasema watu wasiende na magari yao? Unafikiri serikali ingekaa kimya na kutosema "Chadema wakiuka uaratibu na kwenda na magari yao uwanjani na kukataliwa kuingia kwa kuvunja uaratibu"

Wenzako walishasema Chadema walienda uwanjani na basi liliobeba viongozi wengine wa upinzani, lakini hawajatujibu ilikuwaje basi Chadema peke yao ndio wakasemwa wamechelewa.

Wekeni ukweli wote wazi, sio kupindisha pindisha mambo
 
Haya walipanda basi si ndio hayo mabasi yenyewe.
 
Haya walipanda basi si ndio hayo mabasi yenyewe.

Yaani huo kwako ni ushahidi? Hebu jaribu kutumia common sense kidogo. For all we know hiyo inaweza kuwa gari ya Polepole anaifukuza gari ya Chadema, au Tundu Lissu kweli wakati akienda kumsalimia shemeji yake nyumbani kwa Ndugai!
 
Yaani huo kwako ni ushahidi? Hebu jaribu kutumia common sense kidogo. For all we know hiyo inaweza kuwa gari ya Polepole anaifukuza gari ya Chadema, au Tundu Lissu kweli wakati akienda kumsalimia shemeji yake nyumbani kwa Ndugai!
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Ngoja nitoe ya Mdee na Bulaya toka Twitter wakijimwambafy ndio unaowajubali๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 

Inasikitisha sana Mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ