peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Nianze kwa kumpongeza Prof Adolf Mkenda kwa kazi nzuri aliyoifanya Baada ya walimu walio kuwa wamejificha kwenye Ofisi za Elimu msingi, sekondari na TSD ndani ya Halmashauri kutimuliwa sasa Idadi ya walimu wa kufundisha madarasa ni Waongezeka.
Hii ni baada ya malalamiko mengi kuandika Jf sasa Hali imetulia na walimu wa kufundisha darasani msingi na sekondari wameongezeka na Hata serikali ikiajiri itaajiri walimu wachache.
Kazi iliyobakia ni kupunguza Idadi ya maafisaelimu waliopo imara ya Elimu msingi na sekondari ikiwa ni pamoja na kufunganisha hizo idara na kuunda idara moja ya Elimu ndani ya Halmashauri moja.
Prof Mkenda kasi unayokwenda nayo inaridhisha na Uko vizuri.
Pili muundo mpya wa Elimu mkuu wa idara aside na kiwango cha chini ya PhD Ili aweze kusimamia Elimu ipasavyo.
Kuna walimu walikuwa wamefichwa kwa afisaelimu Mkoa ambao walikuwa hawana barua Za uteuzi nao warudishwe madarasani haraka iwezekanavyo.
Hii ni baada ya malalamiko mengi kuandika Jf sasa Hali imetulia na walimu wa kufundisha darasani msingi na sekondari wameongezeka na Hata serikali ikiajiri itaajiri walimu wachache.
Kazi iliyobakia ni kupunguza Idadi ya maafisaelimu waliopo imara ya Elimu msingi na sekondari ikiwa ni pamoja na kufunganisha hizo idara na kuunda idara moja ya Elimu ndani ya Halmashauri moja.
Prof Mkenda kasi unayokwenda nayo inaridhisha na Uko vizuri.
Pili muundo mpya wa Elimu mkuu wa idara aside na kiwango cha chini ya PhD Ili aweze kusimamia Elimu ipasavyo.
Kuna walimu walikuwa wamefichwa kwa afisaelimu Mkoa ambao walikuwa hawana barua Za uteuzi nao warudishwe madarasani haraka iwezekanavyo.