Lastmost
JF-Expert Member
- Jan 30, 2022
- 802
- 919
History aiseeee,iondolewe mambo ya south Africa,nkKwa mfano liondolewe somo gani mzee, au turudi kwenye Physics with Chemistry
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
History aiseeee,iondolewe mambo ya south Africa,nkKwa mfano liondolewe somo gani mzee, au turudi kwenye Physics with Chemistry
Masters elimu hawaitambui, Sasa wanataka na PhD awe mkuu wa idara.Hapo kwenye mkuu wa mambo ya elimu kwenye halmashauri ndo umechemka yaani PhD holder badala ya kwenda kufundisha awe desk office. Mmh
Rais aliposema kwamba watabadili muundo wa Elimu hukumpongeza ila Waziri anapofafanua utaratibu ndio unampongeza 😆😆😆.Nianze kwa kumpongeza Prof Adolf Mkenda kwa kazi nzuri aliyoifanya Baada ya walimu walio kuwa wamejificha kwenye Ofisi za Elimu msingi, sekondari na TSD ndani ya Halmashauri kutimuliwa sasa Idadi ya walimu wa kufundisha madarasa ni Waongezeka .
Hii ni baada ya malalamiko mengi kuandika Jf sasa Hali imetulia na walimu wa kufundisha darasani msingi na sekondari wameongezeka na Hata serikali ikiajiri itaajiri walimu wachache .
Kazi iliyobakia ni kupunguza Idadi ya maafisaelimu waliopo imara ya Elimu msingi na sekondari ikiwa ni pamoja na kufunganisha hizo idara na kuunda idara moja ya Elimu ndani ya Halmashauri moja.
Prof Mkenda kasi unayokwenda nayo inaridhisha na Uko vizuri.
Pili muundo mpya wa Elimu mkuu wa idara aside na kiwango cha chini ya PhD Ili aweze kusimamia Elimu ipasavyo.
Kuna walimu walikuwa wamefichwa kwa afisaelimu Mkoa ambao walikuwa hawana barua Za uteuzi nao warudishwe madarasani haraka iwezekanavyo.
Taifa lolote ambalo watu wake hawajui historia ya Nchi yao na nchi nyingine basi ni Taifa mfu.Kweli kabisa,km history,Mambo ya wangoni nk,tuachane navyo sasa
Amewafukuza ofisini na kuwa Rudisha darasani, walimu wote ambao walikimbia kufundisha darasani wakiwa wajiriwa wa serikali wakaende kufanya kazi kwenye Ofisi Za maafiselimu msingi, sekondari na TSD bila kuwa na barua Za uteuzi kutoka kwa Katibu mkuu Tamisemi,Mkuu tafadhali leta habari kamili ni nini Prof kafanya na kwa namna ipi. Habari yako umeileta kama mwendelezo hivi,si kila mmoja yuko huko kwenye masuala ya walimu?.
Na kuna shule toka uhuru hazijawahi kupata darasa jipya au kufanyiwa ukarabati ukionyeshwa hizo shule unaweza sema hii sio tanzaniaKuna jambo moja lilinishangaza sana kuhusu fedha za uviko zilizotumika kujenga madrasa. Kuna shule hazikuwa zinahitaji madarasa, walimu hawana ofisi, shule haina jengo la maabara, Kuna shule changa hazina hata vyumba viwili vya kulala walimu. Kwanini matumizi ya hizi fedha hayakuangalia mahitaji ya msingi ya shule? Siyo kila shule ilikuwa inahitaji madarasa. Mfano Kuna maeneo ya mkoa wa Kilimanjaro wanaoandikishwa darasa la la kwanza hawazidi 15. Unakuta shule ina mikondo 8 na Ina vyumba vya madarasa 12,Wana ziada ya vymba 4,halafu bado wanajenga mengine 2 au matatu.
Siasa inaathiri Sana MAENDELEO ya nchi hii.
Kumbe hiki kinachoonekana kama upungufu wa walimu ni kwa sababu walimu wengi wamelundikana shule za mijini........serikali sasa iweke uwiano sawa wa walimu kwenye shule za mijini na vijijini ili iweze kuajiri pia watu wa kada nyingine..........maana kelele zimekuwa nyingi kwamba kuna uhaba wa walimu na kupelekea serikali kutoa ajira za walimu wakati kimsingi uhaba huo haupo, bali walimu wamelundikana kwenye shule za mijini.Eti serikali itaajiri walimu wachache. Kwamba walimu sasa wamepatikana. Ni kichekesho. Inaonekana mleta mada hujui kwa kina tatizo la upungufu wa walimu lilivyo.
Pili, Waziri Kama ana uthubutu na anataka shule ziwe na uwiano mzuri wa walimu maeneo ya vijijini basi AHAMISHE WALIMU WALIOLUNDIKANA MAENEO YA MIJINI awapeleke vijijini. Kwa hili utaona jinsi ambavyo nchi hii haina upungufu mkubwa wa walimu, Namaanisha tatizo siyo kubwa km tunavyodhani.
Mara nyingi upungufu unaoimbwa references inayotumika Ni shule za vijijini wakati mijini unakuta mwalimu ana vipindi 6 KWA wiki Kati ya vipindi 40. Baadhi ya maeneo Vijijini walimu wana vipindi hadi 60.
Waziri aangalie suala la walimu kupangwa vijijini na baada ya muda mfupi wanahama kinyemela kwenda mijini, kwa barua zinazotoka moja kwa moja TAMISEMI. TAMISEMI imekuwa sehemu ya tatizo.
Serikali iangalie kwa kina na kuboresha mazingira ya kufundisha na kujifunza bila kusahau stahiki za walimu zilizoko kisheria.
Mimi bado naona uhitaji wa afisa elimu kuwa wawili kwasababu mtu mmoja kudili kwa mfano na shule 160 za msingi na pengine 40 za sekondari ktk halmashauri moja Ni kazi nzito tofauti na mtazamo wa watu nje ya ufahamu wa jinsi elimu inavyoendeshwa.
(Nimewahi kufundisha sekondari kwa miaka 15 saba kati ya Hiyo nikiwa Mkuu wa shule)
Hayo yote uliyopongeza wala sio waziri wa elimu ni waziri wa tamisemiAmewafukuza ofisini na kuwa Rudisha darasani, walimu wote ambao walikimbia kufundisha darasani wakiwa wajiriwa wa serikali wakaende kufanya kazi kwenye Ofisi Za maafiselimu msingi, sekondari na TSD bila kuwa na barua Za uteuzi kutoka kwa Katibu mkuu Tamisemi,
Nakubaliana na wewe mkuu,hakuna idara yenye watu wa majungu na chuki Kama walimu ikifuatiwa na polisi,natamani Sana siku moja niihame hii kada.Walimu ni binadamu tofuti na wengne
Wanapigana sana majungu
Ni mwalimu msaka cheo[emoji1787] utakuta hata huyu mleta mada ni mwalimu
Walimu hawajawahi kupendana ni mwendo wa kuishi kinafiki.Nakubaliana na wewe mkuu,hakuna idara yenye watu wa majungu na chuki Kama walimu ikifuatiwa na polisi,natamani Sana siku moja niihame hii kada.
Mungu ni mwema ipo siku utafanikiwa kuihamaNakubaliana na wewe mkuu,hakuna idara yenye watu wa majungu na chuki Kama walimu ikifuatiwa na polisi,natamani Sana siku moja niihame hii kada.