Baada ya walimu walio kuwa wamejificha kwenye Ofisi za Elimu Msingi, Sekondari na TSD ndani ya Halmashauri kutimuliwa sasa Idadi ya walimu Waongezeka

Baada ya walimu walio kuwa wamejificha kwenye Ofisi za Elimu Msingi, Sekondari na TSD ndani ya Halmashauri kutimuliwa sasa Idadi ya walimu Waongezeka

Unashangaa unajifunza eti Zao la Buni Ghana au ulimaji wa mahindi Tennessee ili inisaidie nini. Mtu unaulizwa Umri wa Juma ni mara 3 ya umri wa Sofia je miaka sita iliyopita walikua na umri gani, kwann usimuulize maswali ambayo application yake ndo hizo saundi. Kuna vitu katika elimu ni vya kutoa kabisa. Elimu ya kilimo na ufundi iwe kuanzia darasa la 5
Nadhani kwa kuongezea kwenye wazo lako,Elimu hio iwe kwa vitendo zaidi,mfano kama ni ufundi ujenzi basi mwanafunzi afundishwe walau vitu basic kama namna bora ya kutumia kobilo,pima maji,square,pipe range,namna bora ya kupanga tofali na kutafuta ratio ya mchanga na cement...au kama ni userelemala walau dogo ajue kushika randa,kupiga msumal bila kupindisha n.k...Kwenye kilimo kila darasa linakua walau na kishamba darasa
M nimesoma high school kwenye moja ya shule zilizopo bukoba vijijini kila darasa lilikua na bustani yake ya mboga na waalimu walituelekeza namna bora ya kuandaa mbegu,kusia mbegu na umwagiliaji japo ilikua miaka miwil ila tuliondoka na vitu vingi tu ambavyo mtu angeweza kutumia kwa maisha ya kawaida tu mtaani.
 
Nianze kwa kumpongeza Prof Adolf Mkenda kwa kazi nzuri aliyoifanya Baada ya walimu walio kuwa wamejificha kwenye Ofisi za Elimu msingi, sekondari na TSD ndani ya Halmashauri kutimuliwa sasa Idadi ya walimu wa kufundisha madarasa ni Waongezeka .

Hii ni baada ya malalamiko mengi kuandika Jf sasa Hali imetulia na walimu wa kufundisha darasani msingi na sekondari wameongezeka na Hata serikali ikiajiri itaajiri walimu wachache .

Kazi iliyobakia ni kupunguza Idadi ya maafisaelimu waliopo imara ya Elimu msingi na sekondari ikiwa ni pamoja na kufunganisha hizo idara na kuunda idara moja ya Elimu ndani ya Halmashauri moja.

Prof Mkenda kasi unayokwenda nayo inaridhisha na Uko vizuri.

Pili muundo mpya wa Elimu mkuu wa idara aside na kiwango cha chini ya PhD Ili aweze kusimamia Elimu ipasavyo.

Kuna walimu walikuwa wamefichwa kwa afisaelimu Mkoa ambao walikuwa hawana barua Za uteuzi nao warudishwe madarasani haraka iwezekanavyo.
kama vile unawaonea wivu mkuu.
 
Amewafukuza ofisini na kuwa Rudisha darasani, walimu wote ambao walikimbia kufundisha darasani wakiwa wajiriwa wa serikali wakaende kufanya kazi kwenye Ofisi Za maafiselimu msingi, sekondari na TSD bila kuwa na barua Za uteuzi kutoka kwa Katibu mkuu Tamisemi,
Huko walikuwa wakifanya kazi wakitambulika kwa vyeo gani mkuu?
 
Nianze kwa kumpongeza Prof Adolf Mkenda kwa kazi nzuri aliyoifanya Baada ya walimu walio kuwa wamejificha kwenye Ofisi za Elimu msingi, sekondari na TSD ndani ya Halmashauri kutimuliwa sasa Idadi ya walimu wa kufundisha madarasa ni Waongezeka .

Hii ni baada ya malalamiko mengi kuandika Jf sasa Hali imetulia na walimu wa kufundisha darasani msingi na sekondari wameongezeka na Hata serikali ikiajiri itaajiri walimu wachache .

Kazi iliyobakia ni kupunguza Idadi ya maafisaelimu waliopo imara ya Elimu msingi na sekondari ikiwa ni pamoja na kufunganisha hizo idara na kuunda idara moja ya Elimu ndani ya Halmashauri moja.

Prof Mkenda kasi unayokwenda nayo inaridhisha na Uko vizuri.

Pili muundo mpya wa Elimu mkuu wa idara aside na kiwango cha chini ya PhD Ili aweze kusimamia Elimu ipasavyo.

Kuna walimu walikuwa wamefichwa kwa afisaelimu Mkoa ambao walikuwa hawana barua Za uteuzi nao warudishwe madarasani haraka iwezekanavyo.
Mkuu wa idara ya elimu ( ambaye atakuwa afisaelimu msingi na sekondari). Awe na PhD .
2. Afisaelimu taaluma msingi 1
3. Afusaelimu taaluma sekondari 1
4. Afisaelimu vifaa msingi 1
5. Afisaelimu vifaa sekondari 1
6. Afisaelimu elimu ya watu wazima 1
7. Afisaelimu utamaduni 1
8. Afisaelimu ufundi na vielelezo 1

Huu utumike uwe ndio muundo wa idara ya elimu ndani ya Halmashauri nchini Tanzania
 
Nianze kwa kumpongeza Prof Adolf Mkenda kwa kazi nzuri aliyoifanya Baada ya walimu walio kuwa wamejificha kwenye Ofisi za Elimu msingi, sekondari na TSD ndani ya Halmashauri kutimuliwa sasa Idadi ya walimu wa kufundisha madarasa ni Waongezeka .

Hii ni baada ya malalamiko mengi kuandika Jf sasa Hali imetulia na walimu wa kufundisha darasani msingi na sekondari wameongezeka na Hata serikali ikiajiri itaajiri walimu wachache .

Kazi iliyobakia ni kupunguza Idadi ya maafisaelimu waliopo imara ya Elimu msingi na sekondari ikiwa ni pamoja na kufunganisha hizo idara na kuunda idara moja ya Elimu ndani ya Halmashauri moja.

Prof Mkenda kasi unayokwenda nayo inaridhisha na Uko vizuri.

Pili muundo mpya wa Elimu mkuu wa idara aside na kiwango cha chini ya PhD Ili aweze kusimamia Elimu ipasavyo.

Kuna walimu walikuwa wamefichwa kwa afisaelimu Mkoa ambao walikuwa hawana barua Za uteuzi nao warudishwe madarasani haraka iwezekanavyo.
Umekuja kuharibu hapa lakini ulikuwa sawa mwanzo, hizi PhD za akina Mwigulu Nchema, Lipumba sijui Jafo?
 
Umekuja kuharibu hapa lakini ulikuwa sawa mwanzo, hizi PhD za akina Mwigulu Nchema, Lipumba sijui Jafo?
Mkuu kuna PhD Za UDSM walimu wanazo simesomama. Hizo ulizozitaja ni Za UDOM.
Pili afisaelimu Sio lazima awe na PhD ya ualimu. Anaweza kuteuliwa kutokea kozi yeyote kwani huo ni uongozi.
Mfano Hata IGP Sio lazima awe polisi.
 
Mkuu kuna PhD Za UDSM walimu wanazo simesomama. Hizo ulizozitaja ni Za UDOM.
Pili afisaelimu Sio lazima awe na PhD ya ualimu. Anaweza kuteuliwa kutokea kozi yeyote kwani huo ni uongozi.
Mfano Hata IGP Sio lazima awe polisi.
Mkubo amesoma wapi na amefanya nini? Kabudi katoka wapi? rubbish
 
Mkuu wa idara ya elimu ( ambaye atakuwa afisaelimu msingi na sekondari). Awe na PhD .
2. Afisaelimu taaluma msingi 1
3. Afusaelimu taaluma sekondari 1
4. Afisaelimu vifaa msingi 1
5. Afisaelimu vifaa sekondari 1
6. Afisaelimu elimu ya watu wazima 1
7. Afisaelimu utamaduni 1
8. Afisaelimu ufundi na vielelezo 1

Huu utumike uwe ndio muundo wa idara ya elimu ndani ya Halmashauri nchini Tanzania
Inaonekana wewe ni mwalimu unapambana na PhD ambayo haina faida kwenye jamii
 
Acheni propaganda ajirini walimu mmeanza yaleyale ya kubuy time mara uhakiki mara vyeti feki kushtuka miaka mitano bila ajira
Wameishiwa mbivu lakini la walimu kuondolewa halmashauri ni kweli asee maana wengi wamejiendeleza kwa fani tofauti lakini hawataki kufanyiwa recategorization sababu ya mishahara hivyo kwenye TANGE inaonekana kuna walimu wengi kumbe hawapo shuleni wapo kwenye makorido
 
Wameishiwa mbivu lakini la walimu kuondolewa halmashauri ni kweli asee maana wengi wamejiendeleza kwa fani tofauti lakini hawataki kufanyiwa recategorization sababu ya mishahara hivyo kwenye TANGE inaonekana kuna walimu wengi kumbe hawapo shuleni wapo kwenye makorido
Wamekurupusha huko kwenye makorido mkuu. Samia amewakamulia dawa
 
Back
Top Bottom