Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 13,998
- 31,757
Nimecheka sana mkuu kwa hii comment[emoji1787] utakuta hata huyu mleta mada ni mwalimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka sana mkuu kwa hii comment[emoji1787] utakuta hata huyu mleta mada ni mwalimu
Nadhani kwa kuongezea kwenye wazo lako,Elimu hio iwe kwa vitendo zaidi,mfano kama ni ufundi ujenzi basi mwanafunzi afundishwe walau vitu basic kama namna bora ya kutumia kobilo,pima maji,square,pipe range,namna bora ya kupanga tofali na kutafuta ratio ya mchanga na cement...au kama ni userelemala walau dogo ajue kushika randa,kupiga msumal bila kupindisha n.k...Kwenye kilimo kila darasa linakua walau na kishamba darasaUnashangaa unajifunza eti Zao la Buni Ghana au ulimaji wa mahindi Tennessee ili inisaidie nini. Mtu unaulizwa Umri wa Juma ni mara 3 ya umri wa Sofia je miaka sita iliyopita walikua na umri gani, kwann usimuulize maswali ambayo application yake ndo hizo saundi. Kuna vitu katika elimu ni vya kutoa kabisa. Elimu ya kilimo na ufundi iwe kuanzia darasa la 5
kama vile unawaonea wivu mkuu.Nianze kwa kumpongeza Prof Adolf Mkenda kwa kazi nzuri aliyoifanya Baada ya walimu walio kuwa wamejificha kwenye Ofisi za Elimu msingi, sekondari na TSD ndani ya Halmashauri kutimuliwa sasa Idadi ya walimu wa kufundisha madarasa ni Waongezeka .
Hii ni baada ya malalamiko mengi kuandika Jf sasa Hali imetulia na walimu wa kufundisha darasani msingi na sekondari wameongezeka na Hata serikali ikiajiri itaajiri walimu wachache .
Kazi iliyobakia ni kupunguza Idadi ya maafisaelimu waliopo imara ya Elimu msingi na sekondari ikiwa ni pamoja na kufunganisha hizo idara na kuunda idara moja ya Elimu ndani ya Halmashauri moja.
Prof Mkenda kasi unayokwenda nayo inaridhisha na Uko vizuri.
Pili muundo mpya wa Elimu mkuu wa idara aside na kiwango cha chini ya PhD Ili aweze kusimamia Elimu ipasavyo.
Kuna walimu walikuwa wamefichwa kwa afisaelimu Mkoa ambao walikuwa hawana barua Za uteuzi nao warudishwe madarasani haraka iwezekanavyo.
Huko walikuwa wakifanya kazi wakitambulika kwa vyeo gani mkuu?Amewafukuza ofisini na kuwa Rudisha darasani, walimu wote ambao walikimbia kufundisha darasani wakiwa wajiriwa wa serikali wakaende kufanya kazi kwenye Ofisi Za maafiselimu msingi, sekondari na TSD bila kuwa na barua Za uteuzi kutoka kwa Katibu mkuu Tamisemi,
Walikuwa vibaraka wa afisaelimu. Walikuwa hawana vyeo Wala barua Za uteuzi kutoka Tamisemi.Huko walikuwa wakifanya kazi wakitambulika kwa vyeo gani mkuu?
Mkuu wa idara ya elimu ( ambaye atakuwa afisaelimu msingi na sekondari). Awe na PhD .Nianze kwa kumpongeza Prof Adolf Mkenda kwa kazi nzuri aliyoifanya Baada ya walimu walio kuwa wamejificha kwenye Ofisi za Elimu msingi, sekondari na TSD ndani ya Halmashauri kutimuliwa sasa Idadi ya walimu wa kufundisha madarasa ni Waongezeka .
Hii ni baada ya malalamiko mengi kuandika Jf sasa Hali imetulia na walimu wa kufundisha darasani msingi na sekondari wameongezeka na Hata serikali ikiajiri itaajiri walimu wachache .
Kazi iliyobakia ni kupunguza Idadi ya maafisaelimu waliopo imara ya Elimu msingi na sekondari ikiwa ni pamoja na kufunganisha hizo idara na kuunda idara moja ya Elimu ndani ya Halmashauri moja.
Prof Mkenda kasi unayokwenda nayo inaridhisha na Uko vizuri.
Pili muundo mpya wa Elimu mkuu wa idara aside na kiwango cha chini ya PhD Ili aweze kusimamia Elimu ipasavyo.
Kuna walimu walikuwa wamefichwa kwa afisaelimu Mkoa ambao walikuwa hawana barua Za uteuzi nao warudishwe madarasani haraka iwezekanavyo.
Umekuja kuharibu hapa lakini ulikuwa sawa mwanzo, hizi PhD za akina Mwigulu Nchema, Lipumba sijui Jafo?Nianze kwa kumpongeza Prof Adolf Mkenda kwa kazi nzuri aliyoifanya Baada ya walimu walio kuwa wamejificha kwenye Ofisi za Elimu msingi, sekondari na TSD ndani ya Halmashauri kutimuliwa sasa Idadi ya walimu wa kufundisha madarasa ni Waongezeka .
Hii ni baada ya malalamiko mengi kuandika Jf sasa Hali imetulia na walimu wa kufundisha darasani msingi na sekondari wameongezeka na Hata serikali ikiajiri itaajiri walimu wachache .
Kazi iliyobakia ni kupunguza Idadi ya maafisaelimu waliopo imara ya Elimu msingi na sekondari ikiwa ni pamoja na kufunganisha hizo idara na kuunda idara moja ya Elimu ndani ya Halmashauri moja.
Prof Mkenda kasi unayokwenda nayo inaridhisha na Uko vizuri.
Pili muundo mpya wa Elimu mkuu wa idara aside na kiwango cha chini ya PhD Ili aweze kusimamia Elimu ipasavyo.
Kuna walimu walikuwa wamefichwa kwa afisaelimu Mkoa ambao walikuwa hawana barua Za uteuzi nao warudishwe madarasani haraka iwezekanavyo.
Ameleta hoja ya kijinga snHapo kwenye mkuu wa mambo ya elimu kwenye halmashauri ndo umechemka yaani PhD holder badala ya kwenda kufundisha awe desk office. Mmh
PhD za akina Mwigulu, Jafo, Doto, Lipumba n.k zimejaa lakini hakuna cha maana wamefanya hapa nchiniNimecheka sana PhD kabisa!!
Masters tu haitambuliki huko kwa PhD sijui wamelipwa nini??
Kusoma ni gharama
Mkuu kuna PhD Za UDSM walimu wanazo simesomama. Hizo ulizozitaja ni Za UDOM.Umekuja kuharibu hapa lakini ulikuwa sawa mwanzo, hizi PhD za akina Mwigulu Nchema, Lipumba sijui Jafo?
Mkubo amesoma wapi na amefanya nini? Kabudi katoka wapi? rubbishMkuu kuna PhD Za UDSM walimu wanazo simesomama. Hizo ulizozitaja ni Za UDOM.
Pili afisaelimu Sio lazima awe na PhD ya ualimu. Anaweza kuteuliwa kutokea kozi yeyote kwani huo ni uongozi.
Mfano Hata IGP Sio lazima awe polisi.
Inaonekana wewe ni mwalimu unapambana na PhD ambayo haina faida kwenye jamiiMkuu wa idara ya elimu ( ambaye atakuwa afisaelimu msingi na sekondari). Awe na PhD .
2. Afisaelimu taaluma msingi 1
3. Afusaelimu taaluma sekondari 1
4. Afisaelimu vifaa msingi 1
5. Afisaelimu vifaa sekondari 1
6. Afisaelimu elimu ya watu wazima 1
7. Afisaelimu utamaduni 1
8. Afisaelimu ufundi na vielelezo 1
Huu utumike uwe ndio muundo wa idara ya elimu ndani ya Halmashauri nchini Tanzania
Mimi ni fani tofauti ila walimu mfumo wao unaumiza walimu wengineInaonekana wewe ni mwalimu unapambana na PhD ambayo haina faida kwenye jamii
Wameishiwa mbivu lakini la walimu kuondolewa halmashauri ni kweli asee maana wengi wamejiendeleza kwa fani tofauti lakini hawataki kufanyiwa recategorization sababu ya mishahara hivyo kwenye TANGE inaonekana kuna walimu wengi kumbe hawapo shuleni wapo kwenye makoridoAcheni propaganda ajirini walimu mmeanza yaleyale ya kubuy time mara uhakiki mara vyeti feki kushtuka miaka mitano bila ajira
Wanaumiaje?Mimi ni fani tofauti ila walimu mfumo wao unaumiza walimu wengine
Wamekurupusha huko kwenye makorido mkuu. Samia amewakamulia dawaWameishiwa mbivu lakini la walimu kuondolewa halmashauri ni kweli asee maana wengi wamejiendeleza kwa fani tofauti lakini hawataki kufanyiwa recategorization sababu ya mishahara hivyo kwenye TANGE inaonekana kuna walimu wengi kumbe hawapo shuleni wapo kwenye makorido
Wengine wako darasani wanafundisha wengine wanazurura kwenye makorido hawana barua Za uteuzi.Wanaumiaje?
Kwahili nakubaliana nao maana wanahodhi vyeo viwili kwa wakati mmojaWamekurupusha huko kwenye makorido mkuu. Samia amewakamulia dawa
Na wanalipwa kwa kufanya kazi isiyojulikana na hawajui wawajibike wapiKwahili nakubaliana nao maana wanahodhi vyeo viwili kwa wakati mmoja
Ni ujinga wao wangefanyiwa recategorization wala haya yasingekuwepo maana wangelipwa mshahara binafsi, tamaa ya fisi imewaponza.Wengine wako darasani wanafundisha wengine wanazurura kwenye makorido hawana barua Za uteuzi.