Baada ya Wamarekani kumkataa Harris Kamala, 2025 Watanzania wanajua cha kufanya

Baada ya Wamarekani kumkataa Harris Kamala, 2025 Watanzania wanajua cha kufanya

Peter Msigwa aka Wagada alikuwa anatuuzia Mitumba Wanafunzi wa The Highlands sec school kutokea Matamba Mission - Makete 😂
Kwa hiyo alikuwa anauza nguo zilizotolewa bure na watawa wa mission Matamba wagawiwe wasionacho?And,that is horrible!He's to lament for sure.
NB:Kulikuwa na kijana mitaa ya Mwagongo Ipogolo Iringa anaitwa Wagada.Are they true siblings?
 
Wazee baada ya Kamala haris kupigwa na kitu kizito sasa kituo kinachofata ni Tanzania.

Waswahili husema mwenzako akinyolewa na wewe tia maji.

Baada ya siasa za Tanzania kudumaa na kushindwa kubadilisha maisha ya watanzania ikiwemo hali mbata ya uchumi, bei za bidhaa kupanda juu, Thamani ya fedha za Tanzania kushuka dhidi ya Dola, usalama wa Raia na mali zao kuzorota ni wazi CCM na Mwenyekiti wake wameonesha pasi na shaka hawawwzi kuongoza Tanzania tuitakatyo kwa miaka 100 ijayo.

Hivyo basi kumekuwa na hamasi kubwa sana mitaani na mitandaoni watanzania kufanya uamuzi sahihi baada ya Marekani kuonesha Mfano Bora.
Mmoja wao huyu sijui kama wanakuelewa
 
Inawezekana 😄

Peter alikuwa mtaalam wa Cadet ambazo tulitumia kama Sare za shule

Early 1980s 😂😂😂😂
Oooh man! Vijana mlioishi karibu na Mantigo mna habari nyingi sana.Sasa kwa nini hamumshauri aache ubwege-ubwela?When it backfires,ataungua hadi nywele za makwapani/armpits!
 
Wazee baada ya Kamala haris kupigwa na kitu kizito sasa kituo kinachofata ni Tanzania.

Waswahili husema mwenzako akinyolewa na wewe tia maji.

Baada ya siasa za Tanzania kudumaa na kushindwa kubadilisha maisha ya watanzania ikiwemo hali mbata ya uchumi, bei za bidhaa kupanda juu, Thamani ya fedha za Tanzania kushuka dhidi ya Dola, usalama wa Raia na mali zao kuzorota ni wazi CCM na Mwenyekiti wake wameonesha pasi na shaka hawawwzi kuongoza Tanzania tuitakatyo kwa miaka 100 ijayo.

Hivyo basi kumekuwa na hamasi kubwa sana mitaani na mitandaoni watanzania kufanya uamuzi sahihi baada ya Marekani kuonesha Mfano Bora.
Safi sana mkuu,
WEKA NA KIFUNGASHIO.

Baada ya Botswana wananchi KUKKIPOPOA chama Tawala kilichotawala miaka 58= WATANZANIA wanajua Cha kufanya .
 
Kwa nchi yetu, mgombea kupitia CCM ndio Rais.

Sasa hao NEC ndio wamkatae Mother, waweke mgombea Urais mwingine. Ila wakimpitisha Mother, ujue huyo ndio Rais.
 
Wazee baada ya Kamala haris kupigwa na kitu kizito sasa kituo kinachofata ni Tanzania.

Waswahili husema mwenzako akinyolewa na wewe tia maji.

Baada ya siasa za Tanzania kudumaa na kushindwa kubadilisha maisha ya watanzania ikiwemo hali mbata ya uchumi, bei za bidhaa kupanda juu, Thamani ya fedha za Tanzania kushuka dhidi ya Dola, usalama wa Raia na mali zao kuzorota ni wazi CCM na Mwenyekiti wake wameonesha pasi na shaka hawawwzi kuongoza Tanzania tuitakatyo kwa miaka 100 ijayo.

Hivyo basi kumekuwa na hamasi kubwa sana mitaani na mitandaoni watanzania kufanya uamuzi sahihi baada ya Marekani kuonesha Mfano Bora.
Hakika ni mwendo wa kuongozwa na Rais Mwanaume 2025 na ni baraka kwa maendeleo ya Nchi yetu.
 
Wazee baada ya Kamala haris kupigwa na kitu kizito sasa kituo kinachofata ni Tanzania.

Waswahili husema mwenzako akinyolewa na wewe tia maji.

Baada ya siasa za Tanzania kudumaa na kushindwa kubadilisha maisha ya watanzania ikiwemo hali mbata ya uchumi, bei za bidhaa kupanda juu, Thamani ya fedha za Tanzania kushuka dhidi ya Dola, usalama wa Raia na mali zao kuzorota ni wazi CCM na Mwenyekiti wake wameonesha pasi na shaka hawawwzi kuongoza Tanzania tuitakatyo kwa miaka 100 ijayo.

Hivyo basi kumekuwa na hamasi kubwa sana mitaani na mitandaoni watanzania kufanya uamuzi sahihi baada ya Marekani kuonesha Mfano Bora.
Watakuwa wamesha kula mafunzo ya ziada a.k.a tuisheniii.
 
Bibi keshajifusha ubani maiti, siku ya kuomba kura majini yatapumbaza watu wote mtajikuta mshamchagua tu.
 
Back
Top Bottom