Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
- #41
Mwaka huu patachimbikaJa
Hata Botswana mgombea alikuwa Rais
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaka huu patachimbikaJa
Hata Botswana mgombea alikuwa Rais
Ccm chawa demokratic partyChama mbadala ni kipi?
Kituo kinachofata. ........MAGOMENI MAPIPAWe kenge nenda katibu wahadzabe kule porini mambo ya wenye akili huyawezi
Yupo mwanaume wa shoka, Wakili msomi Boniphace K. Mwabukusi.Tàtizo hakuna wàñaume wa kugombea 2025.
Kama wapo wataje hao wanaume watakaogombea na mwanamke Samia.
HahahaaYupo mwanaume wa shoka, Wakili msomi Boniphace K. Mwabukusi.
Huyu mwamba yuko very smart.
Akipata platform nzuri kama CHADEMA au ACT Wazalendo, atashinda asubuhi na mapema.
Mzee mmoja wa Kilwa masoko^Tutashinda kwa tume hiihii,^ alisikika mtu mmoja akisema.
Kuna Mtu alisema hata Mwijaku akichukua form kupitia chama kubwa atashindaHapo ni sawa na kulinganisha uwezo wa USA dhidi ya Tanzania, hii nchi hata mbwa anaweza kuiongoza.
Itafahamika tuUsitufundishe..!!!Kila mmoja akale aliko peleka mboga
Sahihi kabisaKuna Mtu alisema hata Mwijaku akichukua form kupitia chama kubwa atashinda
Nimekwsmbia taja mwanaume mgombea na chama anachotoka.Yupo mwanaume wa shoka, Wakili msomi Boniphace K. Mwabukusi.
Huyu mwamba yuko very smart.
Akipata platform nzuri kama CHADEMA au ACT Wazalendo, atashinda asubuhi na mapema.
Shida ya watz wengi ni wajinga tuWazee baada ya Kamala haris kupigwa na kitu kizito sasa kituo kinachofata ni Tanzania.
Waswahili husema mwenzako akinyolewa na wewe tia maji.
Baada ya siasa za Tanzania kudumaa na kushindwa kubadilisha maisha ya watanzania ikiwemo hali mbata ya uchumi, bei za bidhaa kupanda juu, Thamani ya fedha za Tanzania kushuka dhidi ya Dola, usalama wa Raia na mali zao kuzorota ni wazi CCM na Mwenyekiti wake wameonesha pasi na shaka hawawwzi kuongoza Tanzania tuitakatyo kwa miaka 100 ijayo.
Hivyo basi kumekuwa na hamasi kubwa sana mitaani na mitandaoni watanzania kufanya uamuzi sahihi baada ya Marekani kuonesha Mfano Bora.
Jambo ni moja tu na sisi ni kumkataa makamu wa Rais Cha kuzururaWazee baada ya Kamala haris kupigwa na kitu kizito sasa kituo kinachofata ni Tanzania.
Waswahili husema mwenzako akinyolewa na wewe tia maji.
Baada ya siasa za Tanzania kudumaa na kushindwa kubadilisha maisha ya watanzania ikiwemo hali mbata ya uchumi, bei za bidhaa kupanda juu, Thamani ya fedha za Tanzania kushuka dhidi ya Dola, usalama wa Raia na mali zao kuzorota ni wazi CCM na Mwenyekiti wake wameonesha pasi na shaka hawawwzi kuongoza Tanzania tuitakatyo kwa miaka 100 ijayo.
Hivyo basi kumekuwa na hamasi kubwa sana mitaani na mitandaoni watanzania kufanya uamuzi sahihi baada ya Marekani kuonesha Mfano Bora.
Tatizo la uchaguzi wa Tanzania, ni mfumo. Kura huwa zina fanya maamuzi ya kuwaondoa Ccm madakani ila upande wa pili, polisi na vyombo vingine hupiga kura za kibabe za kui a kura kwa maslahi ya CcmWazee baada ya Kamala haris kupigwa na kitu kizito sasa kituo kinachofata ni Tanzania.
Waswahili husema mwenzako akinyolewa na wewe tia maji.
Baada ya siasa za Tanzania kudumaa na kushindwa kubadilisha maisha ya watanzania ikiwemo hali mbata ya uchumi, bei za bidhaa kupanda juu, Thamani ya fedha za Tanzania kushuka dhidi ya Dola, usalama wa Raia na mali zao kuzorota ni wazi CCM na Mwenyekiti wake wameonesha pasi na shaka hawawwzi kuongoza Tanzania tuitakatyo kwa miaka 100 ijayo.
Hivyo basi kumekuwa na hamasi kubwa sana mitaani na mitandaoni watanzania kufanya uamuzi sahihi baada ya Marekani kuonesha Mfano Bora.