Baada ya Wamarekani kumkataa Harris Kamala, 2025 Watanzania wanajua cha kufanya

Peter Msigwa aka Wagada alikuwa anatuuzia Mitumba Wanafunzi wa The Highlands sec school kutokea Matamba Mission - Makete 😂
Kwa hiyo alikuwa anauza nguo zilizotolewa bure na watawa wa mission Matamba wagawiwe wasionacho?And,that is horrible!He's to lament for sure.
NB:Kulikuwa na kijana mitaa ya Mwagongo Ipogolo Iringa anaitwa Wagada.Are they true siblings?
 
Mmoja wao huyu sijui kama wanakuelewa
Your browser is not able to display this video.
 
Inawezekana 😄

Peter alikuwa mtaalam wa Cadet ambazo tulitumia kama Sare za shule

Early 1980s 😂😂😂😂
Oooh man! Vijana mlioishi karibu na Mantigo mna habari nyingi sana.Sasa kwa nini hamumshauri aache ubwege-ubwela?When it backfires,ataungua hadi nywele za makwapani/armpits!
 
Safi sana mkuu,
WEKA NA KIFUNGASHIO.

Baada ya Botswana wananchi KUKKIPOPOA chama Tawala kilichotawala miaka 58= WATANZANIA wanajua Cha kufanya .
 
Kwa nchi yetu, mgombea kupitia CCM ndio Rais.

Sasa hao NEC ndio wamkatae Mother, waweke mgombea Urais mwingine. Ila wakimpitisha Mother, ujue huyo ndio Rais.
 
Hakika ni mwendo wa kuongozwa na Rais Mwanaume 2025 na ni baraka kwa maendeleo ya Nchi yetu.
 
Watakuwa wamesha kula mafunzo ya ziada a.k.a tuisheniii.
 
Bibi keshajifusha ubani maiti, siku ya kuomba kura majini yatapumbaza watu wote mtajikuta mshamchagua tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…