Uchaguzi 2020 Baada ya watanzania kumchagua Magufuli kwenye Uchaguzi Mkuu hakika huo ndio utakuwa mwanzo wa mwisho wa Upinzani

Tuliambiwa mpaka 2020 upinzani utakuwa umekufa kabisa... na Meko hatahitaji kufanya hata kampeni. Mmesogeza mbele tarehe ya msiba?
 


Hayo mbona mapya? mlisema upinzani utakufa kabla ya 2020 leo tena mmebadilika ninyi hamnazo
 
Nasikitika kusema kwamba mwisho Wa upinzani umeonekana dhahiri, hii inatukumbusha wakati ambao watu hufuata hisia zao za ndani ni wakati Wa kuamua
 
Wamekutukana wengi lkn sasa wamejua hawajui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…