nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,602
- 20,181
mungu gani? yehova?allah?krishna?yesu?Tatizo wengi mnajua sana....no matter what,God is our refuge. ..ukiiombea nchi yako mabaya,basi ya kukute wewe na familia yako.
Mambo mengine Muwe mnatumia personal nouns....wengine tunamlilia Mungu juu ya Taifa.
imagine mavitabu yenu ya dini yameandikwa tii mamlaka sababu zimewekwa na mungu!!!! yani hata mtu akiiba kura au kupindua serikali halali unatakiwa kutii mamlaka!!!! garbage
chomeni moto mavitabu ya kijinga yale