Baada ya WB na Denmark kusitisha misaada na uhusiano wanaofuata ni Scandinavia, EU, UK, Canada na Marekani

Baada ya WB na Denmark kusitisha misaada na uhusiano wanaofuata ni Scandinavia, EU, UK, Canada na Marekani

Tatizo wengi mnajua sana....no matter what,God is our refuge. ..ukiiombea nchi yako mabaya,basi ya kukute wewe na familia yako.

Mambo mengine Muwe mnatumia personal nouns....wengine tunamlilia Mungu juu ya Taifa.

Strange logic this! Yaani tufanye uharibifu kwa makusudi tukitegemea ulinzi wa Mungu? Haya; endelea kumlilia. In fact nakushauri acha kabisa na kujishughulisha na chochote huyo unaemlilia atakuletea mahitaji yako ukiwa umestarehe tu.
 
Halafu kuna watu wamegonga like kwenye hii habari!
Hawa watu wana ushirikiano wa hali ya juu, hawana msaliamtume hasa linapokuja suala la haki za binadamu na utawala bora, ndio maana utakuta nchi nyingi zinazoongoza kwa utawala bora huwa ni kutoka nchi za EU na Scandinavia.

Kwa wasiojua nchi hizo huchangia 40% ya bajeti yetu, pia wana mpango wa pamoja wa kuisaidia Tanzania kimaendeleo unaojulikana kama Development Partners Group (DPG) unaohusisha nchi zaidi ya 17 nyingi zikiwa za EU na Scandinavia, UK na US, pamoja na mashirika makubwa matano ya kimataifa, WB, UN, European Commission, ADB na IMF.

Kutokana na mpango huo Tanzania hupokea wastani wa $2.5 billion zaidi ya trillion 6 kila mwaka.

Kutokana na ubabe na kiburi chetu WB wamezuia msaada wao leo Denmark wametunyima msaada na kumzuia balozi wao kututembelea kitendo kinachotafsiriwa kama mwanzo wa kuvunja uhusiano, wanaofuata ni nchi za Scandinavia ambazo ni Sweden, Finland, Norway, Iceland. Canada, Marekani na Uingereza watamalizia. Tutabaki na mchina.

Nchi hizi ni wadau wakubwa wa maendeleo yetu, ni wadau wakubwa kwenye sekta ya madini, utalii, gas nk. Tunapobeza umuhimu wao tutegemee kuzorota kwa uchumi pengine hali inaweza kuwa mbaya zaidi ya Zimbabwe.
 
View attachment 934597
Huyu ndio Zitto msaliti namba moja wa nchi yetu, ndiye anaeichonganisha nchi yetu na jumuiya za kimataifa, je unajua wananongea nn hapo? unajua kuwa asilimia kubwa ya mabalozi na wafanyakazi wa balozi ni majasusi wa nchi yaoo? wanapowapata wasaliti kama hawa ambao wakiwahonga fedha za misaada kwenye majimbo yao basi wanakuwa tayari kuongea kila kitu,
mnafikiri nini zito atakacho mwambia huyo zaidi ya kuomba wasitishe misaada kwa nchi? na ndio maana leo hii ikitokea taarifa ya kunyimqwa misaada basi mtu wa kwanza kuposti taarifa hiyo basi atakuwa ni Zito nakisha shangwe kufuatiwa na wasaliti wenzie.
Kumbe na kiburi chote hiki bado tunahitaji misaada?
 
Haki za binadamu au ushoga. Pesa nyingi zinatoewa na mashoga kupitia hizo nchi ili nchi hizo zishinikize ushoga. Wewe fikiria ni kwanini wameanza hizi vurugu za haki za binadamu baada ya timbwili la ushoga kuibuka.

Tatizo tushishabikie na kuona Magu hasikii. Hivi akiachia hayo mabwabwa yatambe mjini hapa unategemea nini. Wakate tu lakini mbele ya safari tutaelewana
Binafsi haki za Mashoga sijui wasagaji sizifagilii, ila kuna haki nyingi sana zinaminywa Kwa sasa, ambazo hao jamaa wa nje wamezitaja pia.
 
Binafsi haki za Mashoga sijui wasagaji sizifagilii, ila kuna haki nyingi sana zinaminywa Kwa sasa, ambazo hao jamaa wa nje wamezitaja pia.
Lakini zimekuja baadz ya mashoga kuguswa. Ingekuwa hizo tu za msingi wala wasingeongea
 
Time will tell... Hali ikizidi kuwa mbaya labda Watz tutaamka kutoka usingizini
Na wazungu wanasema: "sometimes it has worse before it becomes better"! Natumaini tu kuwa watanzania hatutaruhusu kufikishwa kwenye viwango vya Zimbabwe!
 
Yaani unalilia msaada kama mtoto mdogo. Kwa hiyo uko tayari kutatuliwa marinda alimradi tu upewe msaada? Aisee.
Kwahiyo wewe unaona Mpango anavyotembeza bakuli kupata 40% ya budget yetu ni mjinga. Serikali ndo inayolialia baada ya kufanya maamuzi ya kizembe na kutoa matamko ya yenye kuashiria uvunjwaji wa haki za binadamu; sasa tumeanza kufinywa, halafu tutakula viboko vingi mpaka akili irudi.
 
Msiogope hawawezi kufanya hivyo yaani kujitoa kimya kimya. Watatoa taarifa serikalini kwanini wameamua kusitisha misaada waliyoahidi kuitoa tulipopitisha budget yetu ya makadirio ya mapato na matumizi. Kama kuna jambo hawalifurahii wataiambia serikali katika vikao vyao maalum, na wataishauri serikali nini kifanye ili kujinasua na ukwasi huo. Naamini Serikali yetu watakuwa na majibu sahihi ya kwanini wanafanya wanvyofanya kama kawaida na wataulizana maswali watajibu na kila upande utaenda kutafakari na watakuja na majibu, amam wamekubaliana ama hawawakukubaliana na hatua hizi tunazoziona zitafuata.
Tayari WB na Denmark wameshasitisha misaada yao kwa kutumia matamko ya Makonda tu wala hawakusubiri mrejesho wa serikali.
 
Sasa wewe unatakaje? Tukubali ushoga? Hakuna inchi iliyoendelea kwa kutegemea misaada tu.. Fanyeni kazi tuache kuombaomba
Mwambie Dr. Mpango aache kwenda kuombaomba kwa mashoga.
 
Yaani unalilia msaada kama mtoto mdogo. Kwa hiyo uko tayari kutatuliwa marinda alimradi tu upewe msaada? Aisee.
Acha ujinga,soma vrz na uelewe alichkiandka mwenzio...wapi amesema anataka kutatuliwa marinda,wewe na wajinga wenzio ndyo mmezoea kutatuliwa marinda halafu mnawasingizia watu wengine

Kwa taarifa;nchi wahisani huwa zinachangia 60% ktk bajeti yetu kwa kila mwaka na sisi kwenye bajeti huwa tunachangia 40% kutokana na makusanyo ya kodi mbalimbali!
 
Dr. Slaa atakuwa hana kazi za kufanya. Arudi nyumbani tuje tule mihogo wote huku.
 
Break muhimu, kabweteka sana huyu mshamba.
 
Tatizo wengi mnajua sana....no matter what,God is our refuge. ..ukiiombea nchi yako mabaya,basi ya kukute wewe na familia yako.

Mambo mengine Muwe mnatumia personal nouns....wengine tunamlilia Mungu juu ya Taifa.
When you Fail to solve your problems you tend to subject them to fate/God...this is a sign of failure!
 
Back
Top Bottom