Baada ya WCB kutoa Wimbo: Ommy Dimpoz atao mapovu, Diamond amjibu

Baada ya WCB kutoa Wimbo: Ommy Dimpoz atao mapovu, Diamond amjibu

Alafu ney wa mitego Alishasemaga kua toka anamjua dimpoz hajawai kuona wala kusikia demu wake au hata tetesi kumbe anapumulia sipo nimenukuu jamani
Yule nae mpumbavu,ye mbona kashindwa kukaa nao hao wanawake wanamkimbia tu kashindwa kuwatuliza,sometime kuvunjika kwa mahusiano ni madhaifu ya mwanaume ye pia ni dhaifu+++++++ kutwa kushadadia yasiyomuhusu (tabia za kike)
 
Ukinunua viewers YouTube hawatakulipa thereafter, acha kulopokwa dogo. The same applies kwa wale wanaonunua tuzo hasa zile zinazoenda sambamba na $¥£€
Wewe akili huna youtube juzi wamempa diamond tuzo hawakuona kama ananunua tuzo?
Nikupe elimu kidogo tu account ya diamond ya youtube iko verified na iko protected sana kikiingia kitu chochote ambacho si chakawaida youtube wanakiblock
Kwa wasanii wa East africa a/c ya diomond iko highly protected na wenyewe youtube wanajua umuhimu wa account ya diamond
Sasa wewe endelea kuleta vistory vyako vya instagram na magroup ya wasapu
 
But, kununua viewers Inawezekana kabisa
Laiti kama Ommy mapozi angekuwa Ulaya halafu akazungumza ujinga huu kwa Youtube basi youtube wangemshitaki Ommy kwa taarifa za uongo..na angewalipa pesa nyingi sana kama sio kumfilisi kabisa..

Youtube wangekuwa na mchezo huo basi wangekuwa wameshakufa zamani..wabongo wakishindwa kitu huwa wanatafuta uongo ili uwalinde
 
nao ni wa la chalz ?
sa we unafikir mchezo yaan hawa wanawekwa ndani wanaimbiaa huko wote sema ommy shabiki wake ana mtunza maelaaaaa kwan mond shabiki yake si alikuwaa chief kiumbe?kamuulizeni yule james wa decor mond ni nani?au kamuulizeni yule fresh mediaa wale wanamjuaa mondi vizur saanaaa au mkishindwaa saana mfateni juma lukole yule mkata mauno wa fm academia
 
Kaamua kuweka maisha yake ya kimahusiano privately kwani lazma ajirecord bafuni analamba kwapa (Which is ulimbukeni) mwanaume wa ukweli huwezi kumuexpose mwanamke unahemushimu kiasi hicho tena mama watoto wako duh

Mbona wasanii wengi tu hatuwajui wapenzi wao
Hao ambao hatujui wapenzi wao mbona hawasingiziwi kupumuliwa?
Mbona AY, Joh makini, fid Q lakini hawajawahi kuambatanishwa na story za kupumuliwa ?
Kanywe chai mkuu
 
sa we unafikir mchezo yaan hawa wanawekwa ndani wanaimbiaa huko wote sema ommy shabiki wake ana mtunza maelaaaaa kwan mond shabiki yake si alikuwaa chief kiumbe?kamuulizeni yule james wa decor mond ni nani?au kamuulizeni yule fresh mediaa wale wanamjuaa mondi vizur saanaaa au mkishindwaa saana mfateni juma lukole yule mkata mauno wa fm academia
huyu mkata mauno ndiyo rahisi ngoja nimtafute anieleze
 
haina haja ya mond kumjibu vile oomy coz mond naye ni kama ommy ila mondi ni mwiba yaan anafanya both..................................................................................means anaimba na kucheza kama hujaelewa utajijua so afunge bakuli i know him in and out sema ommy yy kapitiliza na anafanya hiyo moja saana dats why watu wanajuaaa meaaaaaans anaimba tu hahahah.........
Kama umemaanisha hivyo ninavyofikiria basi huo ni uongo uliopitiliza
 
haina haja ya mond kumjibu vile oomy coz mond naye ni kama ommy ila mondi ni mwiba yaan anafanya both..................................................................................means anaimba na kucheza kama hujaelewa utajijua so afunge bakuli i know him in and out sema ommy yy kapitiliza na anafanya hiyo moja saana dats why watu wanajuaaa meaaaaaans anaimba tu hahahah.........
bora mchichaaa kuliko ya ommy chaaaa!! kiiruuuu
 
Kama umemaanisha hivyo ninavyofikiria basi huo ni uongo uliopitiliza
na ni bora uamini ni uongo ila ukweli naujuaaaa mimi na hao niliowatajaa usimtazame mtu usoni au kuwa na watoto ndo ukamdefine mdefine kutokana na wanaomjua na sio wanaomsikia
 
Eti viewers wananunuliwa[emoji23][emoji23][emoji23]..kwa hiyo Millard Ayo na yeye amenunua views?!ingekuwa hivyo wazungu wangeongoza duniani kwa kuwa na views wengi..

Ommy anaharibu sifa za Youtube
 
Back
Top Bottom