Baada ya Wife kuniweka Lockup naona kama natengenezewa mazingira ya ku react nichukue hatua kali

Baada ya Wife kuniweka Lockup naona kama natengenezewa mazingira ya ku react nichukue hatua kali

Mkuu kwani huyo mwanamke umemngangania nini au unataka mpaka akuuwe?
Maana huu ni uzi karibia wa nne kuhusu huyo mwanamke.
Mkuu mkeo anafanya vituko hivyo vyote kwa sababu ana kujua kuwa ww ni mtu dhaifu na uwezo wako wa kufanya maamuzi ni mdogo na kwa maelezo yako inaonekana hata ndani mkeo ndo alikuwa mtawala.

Hii stage mliyo fikia mkeo kukutega sumu au kukukodia kikosi cha wauwaji ni jambo la kawaida endelea kumchekea.
Sijamganda.
I have been complying na yeye kwa vile anaenda.
Hayupo nyumbani wala siishi nae, mimi si muislam kusema naweza tu toa talaka bila mahakama, haiwezekani, ni lazima hiz stage zooote zipitiwe.
Mahakama haivunji ndoa bila suluhu kuonekana ime fail kwenye hizo hatua zoote za chini.
Watu wanaom.coach wanamuelekeza vizur ndio maana kanioitisha kote huko. Huwez fungua shauri la keai mahakamani bila kupewa form namba 3 na mtendaji wa kata kuonyesha kuwa baraza la kata limeshindwa kusuluhisha mgogoro wa ndoa hivyo inaachia mahakam ifanye maamuzi kwa kuandaa muhtasari maalum.

Kwahiyo sio kwamba ninamng'ang'ania.
Nooo
 
Hizi story za mahusiano ya ndoa ukizichukulia juu juu unaweza toa ushauri ukisukumwa na hisia kutokana na ulivyohadithiwa upande mmoja.Ingekuwa rahisi kukupa ushauri kama tungesikia side ya mkeo.Watoto 4 na anataka kuondoka sio jambo rahisi lazima kuna sababu nzito inayomfanya afanye hayo maamuzi.So ushauri wangu nenda kwa wazee wawakalishe chini kila mtu asikilizwe aseme nini kinamsibu.Kama unachosema ni kweli,huna tabia ya kumdundadunda,huna tabia za umalaya ulioshindikana na majukum yako yote unatilimiliza kama mwanaume mwache aende tu.
UMEANDIKA UPUMBAVU MTUPU.
 
Mkuu kwanza nakupongeza kwa jinsi ambavyo umeihandle situation kwa akili kubwa!
Shukrani sana chief. Naamini litaisha tu hili ili maisha yaendelee kwa amani. Maana kuna watoto ambao nitatakiwa kuwa nawajulia hali, ndio maana sitaki shari nae
 
Sijawahi mpiga for 15 years, nije nimoige leo kwa kumuonea?
Haya tufanye nimemuonea sawa, je kuna ulazima gani wa kufanya yoote haya anayofanya kisa kaonewa?
Mkuu huyo alikuwa na mipango yake siku nyingi sema alikua anasubiri ujichanganye ili apate pakutokea, na wewe inaoneka huku msoma mabadiliko ya tabia Kadri siku zinavyoenda mbele.
 
Pole Sana

Ila imekuaje Mkuu umezidiwa ujanja na anakupelekesha hivyo mke wako?

Huyo kasoma udhaifu wako ameamua kutake advantage

Ukitaka kumuweza andaa mtu ambaye amepitia the same situation akusaidie njia bora ya kutoka katika huo mgogoro.
Ni vile mimi sijaamua kushindana nae kwa njia anazotaka yeye ndio maana naonekana kama nimezidiwa kete. Lengo langu haya masuala yaishe smoothly ili maisha mengine yaendelee.

Pia sijapenda kutumia pesa zangu kufaidisha polisi, maana nina uhakika yeye na ndugu zake wanatumia pesa, ila mimi natumia utulivu tu kukabiliana nao

Si unakumbuka pia hata baada ya hili kuisha bado kuna watoto wanaotakiwa kulelewa kwa co-parenting.?
 
Sasa na wewe mambo ya kupiga wanawake ya nini sometimes akipandisha sauti bora uondoke ukakae sehemu hata wiki ndio urudi. Ona sasa unalala hoteli wakati una nyumba yako, si bora ungeenda huko hoteli wakati wa hasira mpaka ziishe?

Inaonyesha ulimpiga sana na usikute sio mara ya kwanza kumpiga.

Acha ndugu zake wamsapoti hata mimi sikubali umpige mtoto wangu kama kakuudhi njoo msemee nyumbani sio kumpiga; ukimuua je?
 
Mkuu huyo alikuwa na mipango yake siku nyingi sema alikua anasubiri ujichanganye ili apate pakutokea, na wewe inaoneka huku msoma mabadiliko ya tabia Kadri siku zinavyoenda mbele.
Kwenye hili ni kama umelijua vile, ila uko sahihi kwa 100%.
Na sio kwamba sikuona mabadiliko, ila nafikiri niliya underestimate. Leo hii ndio nakuja kukaa na kutafakari najiona kabusa nilipuuzia vitu vingi sana ikiwemo kauli alizo wahi ni tamkia , moja wapo ni hii "kuna siku mimi nitakuja kukivuruga na kukichanganya kabisa hiki kichwa chako" 😂
 
Sasa na wewe mambo ya kupiga wanawake ya nini sometimes akipandisha sauti bora uondoke ukakae sehemu hata wiki ndio urudi. Ona sasa unalala hoteli wakati una nyumba yako, si bora ungeenda huko hoteli wakati wa hasira mpaka ziishe?

Inaonyesha ulimpiga sana na usikute sio mara ya kwanza kumpiga.

Acha ndugu zake wamsapoti hata mimi sikubali umpige mtoto wangu kama kakuudhi njoo msemee nyumbani sio kumpiga; ukimuua je?
Naomba unisamehe kwa kukutukana wewe ni Fala.
 
Kwenye hili ni kama umelijua vile, ila uko sahihi kwa 100%.
Na sio kwamba sikuona mabadiliko, ila nafikiri niliya underestimate. Leo hii ndio nakuja kukaa na kutafakari najiona kabusa nilipuuzia vitu vingi sana ikiwemo kauli alizo wahi ni tamkia , moja wapo ni hii "kuna siku mimi nitakuja kukivuruga na kukichanganya kabisa hiki kichwa chako" 😂
Aisee pole Sana .ukishapata talaka njoo uishi kwangu bure
 
Wewe kaka mpk leo unambembeleza wa nini?.sijakuelewa ujueee
Huwezi kuishi na mwanamke aliekwisha kujaa sumu...
Haupendi maisha yako?
Mwanamke asiyejua kosa na akakiri na kuomba msamaha hakuna ndoa hapo shemeji..
 
Back
Top Bottom