Baada ya Wife kuniweka Lockup naona kama natengenezewa mazingira ya ku react nichukue hatua kali

Baada ya Wife kuniweka Lockup naona kama natengenezewa mazingira ya ku react nichukue hatua kali

Naomba unisamehe kwa kukutukana wewe ni Fala.
naona unataka watu wakuonee huruma kila mtu akusapoti; haiwezekni wakati kesi yenyewe umekuja upande mmoja; huyo mwanamke sio wazimu akupeleke polisi na hao ndugu zake sio wazimu mpaka wamtetee. Wewe itakuwa umempiga na kumuumiza sana. Uache tabia ya kupiga piga unaona sasa unavyo hangaika
 
Wewe kaka mpk leo unambembeleza wa nini?.sijakuelewa ujueee
Huwezi kuishi na mwanamke aliekwisha kujaa sumu...
Haupendi maisha yako?
Mwanamke asiyejua kosa na akakiri na kuomba msamaha hakuna ndoa hapo shemeji..
Kitu ambacho hakisumbui maisha yangu ni mwanamke
Tena akitamka tuachane hata kama namiliki ikulu siwazi mara 2
 
Wazee wa busara wa humu jamvini kaeni na mwanaume mwenzenu mpeni ushauri anapitia wakati mgumu...wanaume wengi hawapendi ligi na majibizano ila wanavumilia maumivu kwa ndani hasa dharau toka kwa mwanamke..
 
Una ugonjwa wa akili.
Hapana sina, na sijawahi ugua aina hiyo ya ugonjwa
naona unataka watu wakuonee huruma kila mtu akusapoti; haiwezekni wakati kesi yenyewe umekuja upande mmoja; huyo mwanamke sio wazimu akupeleke polisi na hao ndugu zake sio wazimu mpaka wamtetee. Wewe itakuwa umempiga na kumuumiza sana. Uache tabia ya kupiga piga unaona sasa unavyo hangaika
Sijawah mpigia kwa miaka 15 ya ndoa tumeishi.
Nimempeleka hospitali hana hata mchubuko wala uvimbe.
Baada ya vipimo vyoote daktari alimpa paracetalo na dawa ya kuchua.

Sihitahi huruma ya mtu mkuu. Mimi sio mkatili
 
Kitu ambacho hakisumbui maisha yangu ni mwanamke
Tena akitamka tuachane hata kama namiliki ikulu siwazi mara 2
Huwazi mara mbili hujampenda au labda ni kimada tuu...mke ana uma..ndo maana kaka anatafuta suluhu..ukumbuke ana familia..lakini kwa trend hii mambo yalipofikia na jitihada alizofanya ni bora akaachana nae..lakini sio kirahisi hivyo unavyosema
 
Mkuu hujui kupiga ..ungemshushia kipigo chakumlaza ndani week nzima..huo mdawakwenda kuripoti asingepata angekuwa anajiuguza yani umfumanie na picha zauchi alafu una mpapasa kidogo..piga kama mandonga akipata nafuu mchape talaka juukwajuu akienda kwao akirudi..nyumba umeshauza nyumba kitambo nakutokomea kusiko julikana..nahuyo ndomm
 
Sasa na wewe mambo ya kupiga wanawake ya nini sometimes akipandisha sauti bora uondoke ukakae sehemu hata wiki ndio urudi. Ona sasa unalala hoteli wakati una nyumba yako, si bora ungeenda huko hoteli wakati wa hasira mpaka ziishe?

Inaonyesha ulimpiga sana na usikute sio mara ya kwanza kumpiga.

Acha ndugu zake wamsapoti hata mimi sikubali umpige mtoto wangu kama kakuudhi njoo msemee nyumbani sio kumpiga; ukimuua je?
Kama wewe una umri above 30 basi hiyo shingo inakazi ya kubeba boga
 
Sijawah mpigia kwa miaka 15 ya ndoa tumeishi.
Nimempeleka hospitali hana hata mchubuko wala uvimbe.
Baada ya vipimo vyoote daktari alimpa paracetalo na dawa ya kuchua.

Sihitahi huruma ya mtu mkuu. Mimi sio mkatili
Haya pole; kama ni kweli unayosema basi muachane tu kwa wema; huko mahakamani weka wakili ili usibanwe sana na mambo ya kesi yani uweze kuendelea na maisha yako.

Ukiweka wakili itakuwa huna ulazima wa wewe uwepo mahakamani mpaka pale wakili atakapokuita, siku za kesi anaenda wakili tu, maisha lazima yaendelee
 
Kuna watu mnajua kujilegeza, halafu maamuzi magumu unayozungumzia ni gani? Kikawaida mtu akikuanza unamaliza mtu anadai talaka wewee msamaha unaomba wa nini? Hata kama mtu kalala akaamka akadai talaka why ung'ang'ane achilia mbali kufumania? Hivi haupendi au kuona maisha yalivyo matam hadi unaji super glue kwa mtu ambaye hakutaki? I'm convinced wewe pia ni tatizo.
 
Haya pole; kama ni kweli unayosema basi muachane tu kwa wema; huko mahakamani weka wakili ili usibanwe sana na mambo ya kesi yani uweze kuendelea na maisha yako.

Ukiweka wakili itakuwa huna ulazima wa wewe uwepo mahakamani mpaka pale wakili atakapokuita, siku za kesi anaenda wakili tu, maisha lazima yaendelee
Shukrani, mahakama ya mwanzo pia mawakili wanaruhusiwa?
Maana hii kesi iko mahakama ya mwanzo..
 
Kuna watu mnajua kujilegeza, halafu maamuzi magumu unayozungumzia ni gani? Kikawaida mtu akikuanza unamaliza mtu anadai talaka wewee msamaha unaomba wa nini? Hata kama mtu kalala akaamka akadai talaka why ung'ang'ane achilia mbali kufumania? Hivi haupendi au kuona maisha yalivyo matam hadi unaji super glue kwa mtu ambaye hakutaki? I'm convinced wewe pia ni tatizo.
Ahahahah.
Ni kwel maisha ni matamu. Ila si unajua, hatua ya kwanza ni muhimu kujaribu kutafuta suluhu kwanza. Ikishindikana basi unampa tu anachotaka
 
mkuu,usiumie umeshaumia tayari kwakuwa mnawatoto wanne

achana naye ,mpe nafasi afanye atakavyo mwisho wasiku kitaa ushindi ni wako ....yeye atashinda mahakamani wewe utashinda uraiani .....acha afanye kilakitu
Shukrani chief. Naamini nitamalizana nae week hii
 
Back
Top Bottom