Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
| Reference | : Sahih Muslim 179c |
| In-book reference | : Book 1, Hadith 352 |
| USC-MSA web (English) reference | : Book 1, Hadith 345 |
| (deprecated numbering scheme) |
Mpelekee hijab maana hazitoshi.. anajifunika hijab kama Allah
79)
Chapter: The saying of the Prophet (saws): "Allah does not sleep" and "His veil is light, and if he were to remove it, the splendour of his face would burn all of his creation, as far as has sight reaches".
Reference : Sahih Muslim 179c In-book reference : Book 1, Hadith 352 USC-MSA web (English) reference : Book 1, Hadith 345 (deprecated numbering scheme)
Pole najua inaumaMpelekee hijab maana hazitoshi.. anajifunika hijab kama Allah
79)
Chapter: The saying of the Prophet (saws): "Allah does not sleep" and "His veil is light, and if he were to remove it, the splendour of his face would burn all of his creation, as far as has sight reaches".
Reference : Sahih Muslim 179c In-book reference : Book 1, Hadith 352 USC-MSA web (English) reference : Book 1, Hadith 345 (deprecated numbering scheme)
Huyu Sinwar anaeshinda ndani amevaa dera kama mama mjamzito?!Waswahili wanasema uongozi ni karama. Huyu bwana sinwari anaonekana si wa mchezo mchezo.
Kwanza kaongoza Hamas tawi la kijeshi kuanzia Oktober 7 mpaka Leo. Israel anauwa Lebanon , Syria , Iraq, Iran na Yemen lakini wamemshindwa mwanaume yupo Gaza Km 30 kutoka boda ya Israel na Palestine.
Sinwar ameingia katika uongozi na kukataa zaidi ya mara tati sasa mapendekezo ya US, Egypt na Qatar katika usuluhisho ambao inaonekana ku favor Israel.
Alipoiingia Sinwar Hezbollah ni kama wametiwa mafuta kwenye moto hawapoi ni kumwaga moto tu
Hakika Hamas mmepata kiongozi atakae wavusha. Kamanda Yahya Sinwar.
View attachment 3080047
Kumbe huyu ndio mungu wao wa pepo ya mabikra 72, hapa sasa nimeelewa.
Kikaragosi mbona mpaka Leo hawajakikamata. Halafu mabikira wameongezeka sasahivi ni 13 pamoja na bikira maria.Yaani Israel itishwe na hiko kikaragosi, kikikaa kindezi kitaungana na wale mabikra 72
Si uanzishe wewe kwani lazima mimiYaani badala uanzishe Uzi kuhusu Sudan umekalia ujinga tu kusifia watu waliojitakia vita... angalia Al Jazeera yanayoendelea kila siku huko gaza ndo uje umsifie huyo mmeo Yahya.
Mabikira ni 73 imeongezeka ya bikira mariaKumbe huyu ndio mungu wao wa pepo ya mabikra 72, hapa sasa nimeelewa.
Huyu mungu wao anafanana kabisa na majini ndio maana Quran inayatambua vizuri sana uwepo wake.
Yahaya Sinwar huyu huyu aliyechoka kujificha kwenye mahandaki sasahivi anavaa hijabu na kujichanganya na maraia wa gaza au yupi?Waswahili wanasema uongozi ni karama. Huyu bwana sinwari anaonekana si wa mchezo mchezo.
Kwanza kaongoza Hamas tawi la kijeshi kuanzia Oktober 7 mpaka Leo. Israel anauwa Lebanon , Syria , Iraq, Iran na Yemen lakini wamemshindwa mwanaume yupo Gaza Km 30 kutoka boda ya Israel na Palestine.
Sinwar ameingia katika uongozi na kukataa zaidi ya mara tati sasa mapendekezo ya US, Egypt na Qatar katika usuluhisho ambao inaonekana ku favor Israel.
Alipoiingia Sinwar Hezbollah ni kama wametiwa mafuta kwenye moto hawapoi ni kumwaga moto tu
Hakika Hamas mmepata kiongozi atakae wavusha. Kamanda Yahya Sinwar.
View attachment 3080047
Msalimie huyo mungu wenu mwenye mikono yote ya kulia!.Mabikira ni 73 imeongezeka ya bikira maria
Mkuu bikira Maria eti kawa wa 73.😃Msalimie huyo mungu wenu mwenye mikono yote ya kulia!.
Waswahili wanasema uongozi ni karama. Huyu bwana sinwari anaonekana si wa mchezo mchezo.
Kwanza kaongoza Hamas tawi la kijeshi kuanzia Oktober 7 mpaka Leo. Israel anauwa Lebanon , Syria , Iraq, Iran na Yemen lakini wamemshindwa mwanaume yupo Gaza Km 30 kutoka boda ya Israel na Palestine.
Sinwar ameingia katika uongozi na kukataa zaidi ya mara tati sasa mapendekezo ya US, Egypt na Qatar katika usuluhisho ambao inaonekana ku favor Israel.
Alipoiingia Sinwar Hezbollah ni kama wametiwa mafuta kwenye moto hawapoi ni kumwaga moto tu
Hakika Hamas mmepata kiongozi atakae wavusha. Kamanda Yahya Sinwar.
View attachment 3080047
The Terrorist Yahya Sinwar=The Walking Corpse.