Ingekuwa hawapendi mambo mengi wala hii dua wasingefanya mwaya, ila wameifanya na list imejaa wawakilishi kibao ila Yanga tu ndio hawapo!Kama Yanga walimsomea dua, na familia kwenye hili tukio hawajataka msemaji special kutoka Yanga inaonesha tatizo halipo kwa Yanga bali kwa Familia
Mnakuza tu mambo!
Matajiri huwa hawapendi mambo yawe mengi kugandana.
Kutaka msemaji mmoja kutoka upande wa sport mbona inatosha?
Maskini ndio wanatakaga kila kikundi alichokuwepo marehemu atoke mtu kuongea kitu ambacho matajiri hawana
Ile siku uliyoanzisha thread nilichangia na nikapinga vikali, kumbe yalikuwa makubwa kuliko tulivyodhani!Uongozi umetutia aibu.
Sawa ushindani wa kibiashara juu ya Yanga ulikuwepo.
Ila ndo ivo Manji kashafariki hafufuki hakuna haja ya visasi.
Wangeupa msiba uzito
Nashukuru Mkuu, umesema yote.Hersi aje atuambie , kwa nini Yanga chini ya uongozi wake haikuupa msiba wa Manji uzito stahiki?
Asidhani Wanayanga tunaweza kumsahau Manji kirahisi rahisi!
Yaani Hersi unashindwaje kwa mfano kuitisha tukio maalum la Yanga kumuenzi Manji?
Yule hakuwa mfadhili tu, alikuwa Kiongozi wa Yanga!
Au Unaleta siasa za CCM kwa mtu wetu muhimu?
Hersi umezingua, tena umezingua big tym
R.I.P Mehboob Yusuf Manji
Mambo mengine yanayaendelea tokea walipopost ile taarifa juu ya msiba wake waliishia hapo. Wakati mambo mengine wanapost mara 10,10!Naheshimu mawazo yako mkuu
Ila ukichunguza unaona kulikuwepo nia mbaya kumfifisha Mwenyekiti wa zamani Manji
Hata ukiangalia kwenye mitandao page ya Yanga wapo tu kama Bora liende
Hakika mkuu Eng Hersi Said katuangusha.Ile siku uliyoanzisha thread nilichangia na nikapinga vikali, kumbe yalikuwa makubwa kuliko tulivyodhani!
Hersi nimemvua vyeo, yeye ndiye anayebeba lawama ya uongozi.
Sasa dear nani hataki kumuweka kibaraka ktk taasisi yake? Hata ungekua wewee, ishakua ni lazimaa.Watu walipiga kelele GSM kumuweka kibaraka wake Hersi pale Yanga leo hii naona walikuwa sahihi.
Kibaraka anaogopa kumuenzi boss wa zamani asimkwaze mpya. Lakini angekuwepo Msola tusingeonga huu ujinga.
Nilipendekeza siku ya mwananchi iwe rasmi Kwa ajili ya kumuenzi Manji japo itakuwa ni Kwa kuchelewa.Watu walipiga kelele GSM kumuweka kibaraka wake Hersi pale Yanga leo hii naona walikuwa sahihi.
Kibaraka anaogopa kumuenzi boss wa zamani asimkwaze mpya. Lakini angekuwepo Msola tusingeonga huu ujinga.
Hatuwezi kutegemea lolote la maana kutoka kwako katika hili.Manji kazikwa Marekani, Yanga wanaweza kutoa tu pole kwa familia na mashabiki. Pia bado haijaisha, yanga wanapenda sana matukio ya supu supu wanaweza itisha siku ya supu kwa ajili ya manji. RIP
Why Lucas Mwashambwa ??🤣🤣🤣Hii thread nimeiandika nikiwa nabubujikwa na machozi kama Lucas.
Kama kumuenzi tu kwa kuupa heshima stahiki msiba wake pale Klabuni wameshindwa ndio yaje kuwa hayo makubwa? Labda waone aibu baada ya watu kupiga kelele.Nilipendekeza siku ya mwananchi iwe rasmi Kwa ajili ya kumuenzi Manji japo itakuwa ni Kwa kuchelewa.
Au huo uwanja utaojengwa uitwe
Manji Yanga complex
Hii thread nimeiandika nikiwa nabubujikwa na machozi kama Lucas.