Baada ya Yanga kujitenga, Familia ya Yusuph Manji yahitimisha msiba bila ya Yanga!

Mkuu, hii thread sijawaongelea wahindi na waarabu wa mtaani kwenu, hapa namuongelea Yusuph Manji aliyekuwa kiongozi na mfadhili wa Yanga kwa takribani miaka 10, get your facts right.
MAISHA NI HADITHI, UKISHA FARIKI HADITHI YAKO HUISHIA HAPO.
 
Mpaka familia wanafikia hatua ya kutokuihusisha Yanga kwenye dua ya mpendwa wao sio jambo dogo, wamezingua.
Kwanini usiwaulize familia ya Yusuf Manji kwanini hawajaiweka Yanga kwenye ratiba ya matukio ya shughuli yao?
 
B... umeandika vizuri sana na umetoa hoja makini mno. Ila kwa kuwa media zote 'zimetekwa' na hao unaowakosoa hoja hii haiwezi kupewa nguvu.

Utaratibu wa kutoa heshima kwa waliofanya makubwa kwenye vilabu vya soka ni wa kudumu na uko duniani kote. Ni makosa kwa Yanga kutotoa heshima kwa Manji.

Kwa wakati huu ambao Hersi alisema anaanza mchakato wa kuandika historia ya Yanga, anadhani itatimia vipi historia ya Yanga bila kumtaja Manji?

Labda zile hasira za Manji kufika ghafla kwenye mkutano mkuu wa Yanga na akashangiliwa na members kuliko wao ndiyo zimeendelea hadi akiwa marehemu.

Ova
 
Asante b…

Kuna waliokuja na hoja dhaifu ya kusomewa dua! Kweli kwa aliyofanya Manji pale Yanga ni wa kusomewa dua pekee? Tena dua ya uchochoroni ambayo hawakuishirikisha familia ya marehemu.

Mimi hadi leo nitamchagua Manji over GSM, period.
 
Hata CCM waliachwa, wakati alikuwa diwani wetu Mbagala.
Kabisa unaitaja CCM bila aibu? Waliyomfanyia hukuyaona?

Mimi familia ya Manji wamenikosha sana, sio wanafiki. Kama uliwahi kuzinguana na mpendwa wao hawana habari na wewe, safi sana.

Ni kama ambavyo familia ya Lowassa hawakumtaja Mr. Smile kwenye salamu zao za shukrani.
 
Niseme tu huyu bosi marehemu hana baya pamoja na rafiki yake mbunge wa damu pesa zao nimezila.... Pumzika kwa amani nawe shoga kidawa sijakuona hata kushtituka au ndo uheshimiwa na ndoa????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante b…

Kuna waliokuja na hoja dhaifu ya kusomewa dua! Kweli kwa aliyofanya Manji pale Yanga ni wa kusomewa dua pekee? Tena dua ya uchochoroni ambayo hawakuishirikisha familia ya marehemu.

Mimi hadi leo nitamchagua Manji over GSM, period.
Dua ya kutoshirikisha familia ya marehemu ni janja janja tu.

Ova
 
Niliongeza tu kwa sababu nao hawakutajwa kama Yanga.
 
Mdogo wangu niache.... Mheshimiwa kaka handsome ni mbunge mwenye uarabu wake wa kipara..... Shoga kidawa ni sista duu malaya wa zamani siku hizi ni waziri na miremba yake ya ushungi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii code nimeielewa sasa, labda shoga kidawa kaomboleza kwa siri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…