Baada ya Yanga kupata matokeo bila Kibwana Shomali wakala kichwa kinapata moto

Baada ya Yanga kupata matokeo bila Kibwana Shomali wakala kichwa kinapata moto

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Kijana wetu Kibwana kapata injury, hachezi lakini Yanga haijakata moto wa wimbi lake la ushindi kila moto. Hii sio hali nzuri kwa mchezaji yeyote duniani.

Kibwana amepata nafuu karudi kundini lakini mkataba wake unaenda mwisho na hajapewa mkataba mwingine bado.

Wakala wa mchezaji kupitia kiredio fulani kaanza kuingia hofu na kujifanya Kibwana ananyemelewa na mitimu mikubwa imchukue kumbe uongo bwana ni jitihada za kulazimisha Yanga impe mkataba mwingine ili nae aambulie kitu.
 
Kibwana haendi popote.
Wewe nani kwake? Huyu ni mchezaji na kucheza popote ni moja ya kazi yake..!

Mchezaji anangalia maslahi na uwezo wa kukuza kiwango chake.

kwahivyo hata akitakiwa na timu za nje utasema haendi popote?
 
Wewe nani kwake? Huyu ni mchezaji na kucheza popote ni moja ya kazi yake..!

Mchezaji anangalia maslahi na uwezo wa kukuza kiwango chake.

kwahivyo hata akitakiwa na timu za nje utasema haendi popote?
Mchezaji ambae hata akikosekana timu yake inapata matokeo yaleyale au zaidi thamani yake haiwezi kupanda sana sokoni.
 
Mchezaji ambae hata akikosekana timu yake inapata matokeo yaleyale au zaidi thamani yake haiwezi kupanda sana sokoni.
Kwahivyo unamaaisha kuwa uwezo wake hautazidi kuliko alivyo hivi sasa kwahivyo ni wa hapa hapa.
 
Kwahivyo unamaaisha kuwa uwezo wake hautazidi kuliko alivyo hivi sasa kwahivyo ni wa hapa hapa.
Sisemi kuwa ni WA hapahapa, kwakuwa Mungu ndiye anayajuwa yote, lakini wakala kutumia mbinu za kumpandisha bei kwa njia za panya sio sawa. Kimo chake kile kuwa beki ni yambo la kusubir na kuona
 
Mashabiki wa yanga stress kama yule msemaji wao.
 
Mashabiki wa yanga stress kama yule msemaji wao.
Yanga mbona raha, stress ya nn tena. Stress wanayo mashabiki wa Simba, huku kombe la shirikisho na kule ligi kuu ya NBC na kote hawafanyi vizuri.
 
Kijana wetu Kibwana kapata injury, hachezi lakini Yanga haijakata moto wa wimbi lake la ushindi kila moto. Hii sio hali nzuri kwa mchezaji yeyote duniani.

Kibwana amepata nafuu karudi kundini lakini mkataba wake unaenda mwisho na hajapewa mkataba mwingine bado.

Wakala wa mchezaji kupitia kiredio fulani kaanza kuingia hofu na kujifanya Kibwana ananyemelewa na mitimu mikubwa imchukue kumbe uongo bwana ni jitihada za kulazimisha Yanga impe mkataba mwingine ili nae aambulie kitu.
Kibwana na kijana wa yanga na wananthamini sana,jumbuka tumenpeleka nje kutibiwa hatuwezu kumuacha

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kibwana na kijana wa yanga na wananthamini sana,jumbuka tumenpeleka nje kutibiwa hatuwezu kumuacha

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
hiyo ni kweli kabisa, lakini asitokee mtu kutaka kuitishia nyau Yanga kwa kusema Simba sijui Azam wametuma offer kwa wakala wake kwa lengo la kuzichonganisha Simba na Yanga kwa lengo la kupandisha dau la mchezaji. Kibwana ni mchezaji mzuri lakini sio mzuri sana, bado anahitaji kunolewa na machocha na kupewa nafasi zaidi ya kucheza kuinua kipaji chake, anaisaidia timu kupata matokeo na ameumia na kuhudumiwa na clubu sawa na akina Juma Mahadhi, Mapinduzi balama, Yacouba, Aucho, Yasini, Ninja, nk. Bahati mbaya sana kwake ni kwamba hata wakati anajiuguza Kocha Nabi alikuwa na mbadala wake aliyesaidia timu kupata matokeo aliyokusudia kuyapata.

Hivyo Yanga inafahamu mchango mkubwa wa Kibwana kwenye timu, lakini haihitaji shinikizo kubwa la mawakala wa wachezaji wao. Twende polepole Yanga iko makini sana, Masingiza ana weledi wote unaohitajika kwenye football za Afrika.
 
Back
Top Bottom