Baada ya Yanga SC kimya kimya Kumuomba Waziri Mwana FA akawaombee CAF nao Washiriki CAF Super Cup haya ndiyo majibu waliyopewa

Baada ya Yanga SC kimya kimya Kumuomba Waziri Mwana FA akawaombee CAF nao Washiriki CAF Super Cup haya ndiyo majibu waliyopewa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Yaani Watu wenyewe ndiyo Kwanza bado tu wanademadema huko CAFCC na kuwa washamba kufurahishwa kumaliza kundi halafu wanataka mwaka huu huu nao wawemo katika CAF Super Cup ya Mwezi November 2023? Kawaambie kwa mwaka huu tumeiweka Simba SC baada ya mafanikio yake ya mfululizo na pia ndiyo timu inayocheza mpira wa kitabuni Samba Loketo.

"Hawa Yanga SC tunaweza kuwafikiria kwa Msimu ujao ila pale tu na wao wakicheza Klabu Bingwa sana na huyo Shirikisho waliko na kubahatika kukutana na timu mbovu na kuzifunga," amesema kiongozi mkuu mmoja wa CAF alipokutana na Waziri wa Sanaa, Utamaduni na Michezo Hamis Mwinjuma (Mwana FA) aliyeko nchini Afrika Kusini (pamoja na Rais wa TFF) kushiriki Mkutano wa Michuano ya Shule inayochezwa/inayoendelea huko.

Chanzo Taarifa: Vipindi vya Michezo nchini

Na msivyo na vipaji vya kufikiri (akili) yaani kabisa mnamjua Waziri Mwana FA ni Simba SC lia lia halafu mmejizima data zenu mnamtuma kimya kinya (kisiri) aende kuongea na Viongozi Waandamizi wa CAF nanyi mwaka huu (2023) muweno lakini lakini nae kakwaa kisiki.

Asanteni sana watu wa CAF.
 
Mwana FA anaitwa Hamisi

Haya mambo madogo madogo yanaharibu sana credibility ya habari.
Kama Al Jazeera, BBC na CNN hukosea na kuomba Radhi Mimi GENTAMYCINE ni nani nisikosee? Hebu nitokee hapa.

Eti Credibility nimekuambia nipo hapa JamiiForums kutafuta hiyo Credibility yako?

Hovyoooooooo......!!!!!!
 
Tatizo lako Wewe TUKANA UONE ni Mpumbavu unayejiona Mjanja. Hii inaitwa nipige nikupige Kudadadeki.
Wewe ni mjinga na ujinga siyo tusi,ujinga ni kutokufahamu mambo,sasa wewe huyafahamu mambo huwa unadandia dandia tu mambo ya watu.

Kila siku unamtukana Greatest Of All Time watu wanakuchora tu!,kwani huwezagi kuanzisha nyuzi zako bila ushindani wa kijinga?
 
"Yaani Watu wenyewe ndiyo Kwanza bado tu Wanademadema huko CAFCC na kuwa Washamba Kufurahishwa Kumaliza Kundi halafu wanataka mwaka huu huu nao Wawemo katika CAF Super Cup ya Mwezi November 2023? Kawaambie kwa mwaka huu tumeiweka Simba SC baada ya Mafanikio yake ya mfululizo na pia ndiyo Timu inayocheza Mpira wa Kitabuni Samba Loketo.

Hawa Yanga SC tunaweza Kuwafikiria kwa Msimu ujao ila pale tu na Wao wakicheza Klabu Bingwa sana na huyo Shirikisho waliko na Kubahatika kukutana na Timu mbovu na Kuzifunga" amesema Kiongozi Mkuu Mmoja wa CAF alipokutana na Waziri wa Sanaa, Utamaduni na Michezo Hamis Mwinjuma ( Mwana FA ) aliyeko nchini Afrika Kusini ( pamoja na Rais wa TFF ) Kushiriki Mkutano wa Michuano ya Shule inayochezwa / inayoendelea huko.

Chanzo Taarifa: Vipindi vya Michezo nchini

Na msivyo na Vipaji vya Kufikiri ( Akili ) yaani kabisa mnamjua Waziri Mwana FA ni Simba SC lia lia halafu mmejizima Data zenu mnamtuma Kimya Kinya ( Kisiri ) aende Kuongea na Viongozi Waandamizi wa CAF nanyi mwaka huu ( 2023 ) muweno lakini lakini nae Kakwaa Kisiki.

Asanteni sana Watu wa CAF.
Wewe ni kilaza wa SAUT
 
"Yaani Watu wenyewe ndiyo Kwanza bado tu Wanademadema huko CAFCC na kuwa Washamba Kufurahishwa Kumaliza Kundi halafu wanataka mwaka huu huu nao Wawemo katika CAF Super Cup ya Mwezi November 2023? Kawaambie kwa mwaka huu tumeiweka Simba SC baada ya Mafanikio yake ya mfululizo na pia ndiyo Timu inayocheza Mpira wa Kitabuni Samba Loketo.

Hawa Yanga SC tunaweza Kuwafikiria kwa Msimu ujao ila pale tu na Wao wakicheza Klabu Bingwa sana na huyo Shirikisho waliko na Kubahatika kukutana na Timu mbovu na Kuzifunga" amesema Kiongozi Mkuu Mmoja wa CAF alipokutana na Waziri wa Sanaa, Utamaduni na Michezo Hamis Mwinjuma ( Mwana FA ) aliyeko nchini Afrika Kusini ( pamoja na Rais wa TFF ) Kushiriki Mkutano wa Michuano ya Shule inayochezwa / inayoendelea huko.

Chanzo Taarifa: Vipindi vya Michezo nchini

Na msivyo na Vipaji vya Kufikiri ( Akili ) yaani kabisa mnamjua Waziri Mwana FA ni Simba SC lia lia halafu mmejizima Data zenu mnamtuma Kimya Kinya ( Kisiri ) aende Kuongea na Viongozi Waandamizi wa CAF nanyi mwaka huu ( 2023 ) muweno lakini lakini nae Kakwaa Kisiki.

Asanteni sana Watu wa CAF.
kuna uongo mwingine unachekesha

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
"Yaani Watu wenyewe ndiyo Kwanza bado tu Wanademadema huko CAFCC na kuwa Washamba Kufurahishwa Kumaliza Kundi halafu wanataka mwaka huu huu nao Wawemo katika CAF Super Cup ya Mwezi November 2023? Kawaambie kwa mwaka huu tumeiweka Simba SC baada ya Mafanikio yake ya mfululizo na pia ndiyo Timu inayocheza Mpira wa Kitabuni Samba Loketo.

Hawa Yanga SC tunaweza Kuwafikiria kwa Msimu ujao ila pale tu na Wao wakicheza Klabu Bingwa sana na huyo Shirikisho waliko na Kubahatika kukutana na Timu mbovu na Kuzifunga" amesema Kiongozi Mkuu Mmoja wa CAF alipokutana na Waziri wa Sanaa, Utamaduni na Michezo Hamis Mwinjuma ( Mwana FA ) aliyeko nchini Afrika Kusini ( pamoja na Rais wa TFF ) Kushiriki Mkutano wa Michuano ya Shule inayochezwa / inayoendelea huko.

Chanzo Taarifa: Vipindi vya Michezo nchini

Na msivyo na Vipaji vya Kufikiri ( Akili ) yaani kabisa mnamjua Waziri Mwana FA ni Simba SC lia lia halafu mmejizima Data zenu mnamtuma Kimya Kinya ( Kisiri ) aende Kuongea na Viongozi Waandamizi wa CAF nanyi mwaka huu ( 2023 ) muweno lakini lakini nae Kakwaa Kisiki.

Asanteni sana Watu wa CAF.
Mimi sio fan wa mpira ila mara mojamoja nikipitia jukwaa la michezo lazima nikute post zako we jamaa, kitu pekee ambacho ni lazima huwa unakifanya ni kupenda kutukana pale unapokutana na comments zilizo kinyume na utakavyo....na hapa kabla sijasoma comments najua ni lazima umeshatukana mtu.
 
Back
Top Bottom