Baada ya Zambia πŸ‡ΏπŸ‡² sasa inaenda Kenya πŸ‡°πŸ‡ͺ, China πŸ‡¨πŸ‡³ is going to take over Mombasa port as SGR failed to pay off 😊

Baada ya Zambia πŸ‡ΏπŸ‡² sasa inaenda Kenya πŸ‡°πŸ‡ͺ, China πŸ‡¨πŸ‡³ is going to take over Mombasa port as SGR failed to pay off 😊

Cheap ugly roads ..unafanana na ile morogoro road ya Dar.
Babara ugly east Africa.
Umeongea kinyonge sanaaa...πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Hiyo ndo Morogoro road under construction...!! Sasa unaongelea Morogoro road ipi..??...πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
I remember telling Jubilee bots that Mombasa port is the loan security for SGR..They fell overthemselves hurling all manner of insults..Well the Truth is out now
Uhuru must enjoy lording over a bunch of deeply gullible idiots, KPA is now on GOK hotlist of "privarisation", Mombasa port will be sold to china as idiots cheer their dear leader's economic policies blindly
Umemaliza hiyo haina mjadala...Kwa taarifa nilizopata pia nikuwa China Exim Bank kasitisha mikopo barani Africa...Kwa sasa anasubilia chake...πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Umeongea kinyonge sanaaa...πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Hiyo ndo Morogoro road under construction...!! Sasa unaongelea Morogoro road ip..??...πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ile ya BRT si ndio morogoro...very ugly.
Naona iyo pia zinafanana tu.
Mbona msijenge kitu poa kama ATLEAST ile ya Arusha????
 
B
Ile ya BRT si ndio morogoro...very ugly.
Naona iyo pia zinafanana tu.
Mbona msijenge kitu poa kama ATLEAST ile ya Arusha????
BRT inakunyima usingizi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Ni wekee BRT ya KenyaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ile ya BRT si ndio morogoro...very ugly.
Naona iyo pia zinafanana tu.
Mbona msijenge kitu poa kama ATLEAST ile ya Arusha????
Au unaongelea BRT ONLYπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
IMG_20181219_173411.jpg
1607626.jpg

Compare with Dar BRTπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
IMG_20181219_173411.jpg
IMG_20181219_173405.jpg
IMG_20181219_173359.jpg
IMG_20181219_173354.jpg
00430176-ae202ed0aaf494cbb5554eadb7f9a55b-arc614x376-w285-us1.png
00341504-c36d455d68812d01e09ae2699523f9f4-arc614x376-w614-us1.jpg
UDART-POST.jpg
 
MonkyπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


Narudia tena, hizi quotes zako zote hamna hata moja inaeleza document imetokea wapi, maana hata anayesemekana ndiye mwandishi, ameikana. Ingekua huko Tanzania, mngekua kwa tabu tayari maana waraka uliotiwa saini na kuwekwa kwenye mitandao halafu inatokea anayesemekana ndiye mwandishi anaukana, hapo ni wazi kuna tatizo la utumiaji mbaya wa mitandao ya kijamii.
 
What makes you think Kenya won't pay?., Kenya is not Tanzania ya kuhurumiwa na kusamehewa madeni., hamujiwezi, ccm inawadanganya eti inafanya maendeleo kwa pesa zenyu wenyewe, kawaulize hiyo serikali yenyu ya madafu, vyanzo vya kutega uchumi havitoshelezi bajeti ya nchi na pesa za ku run the day to day activities of the government, sasa za maendeleo wanatoa wapi? Kaka mumeenda shule na mumesoma, kuna vyuo vikuu vya nguvu Tanzania! mbona muna pumbazwa?, kisha utafiti ukifanywa, umasikini unazidi kukomaa Tanzania, na nikubwa ukanda huu(EAC), na pia SADC., kuliko ni??, shughulikia vya kwenyu kisha uje tuzungumze.
last kicks of a dying horse.... [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Will the Railway go to beyond Naivasha??... and that tunnel... is it the tunnel to nowhere???

kama haya ni kweli, Kenya imetufundisha mambo mengi sana...sana...

Majirani tunawashukuru kwa kutufundisha.
 
Teh your high education ingewasaidia kuifuta kibera na kutoweka bond kabandari kenu ila kwa hali ilivyo am sore mai dia
 
Back
Top Bottom