Baada ya Zambia zamu ya Kenya, China mbioni kutaifisha SGR kulipia deni

Baada ya Zambia zamu ya Kenya, China mbioni kutaifisha SGR kulipia deni

Alisema lakini ujue lile jengo la Maktaba ujenzi wake ni Ruzuku sio Mkopo na pia ukumbuke tu kuwa alijaribu Mh Rais kutafuta mkopo kwaajili ya kuanza kujenga reli ya SGR ila alishindwa kwenye masharti na mmoja wapo ambae akitaka autekereze uo mradi wa SGR ni Mcina lakini alikosa Tender! Huyo ndiye JPM.
hivi unajua yanayoendelea nyuma ya pazia?
hujawahi kumsikia akijisifia kuwa anakopesheka? na badae anasema kakosa mkope.
sio consisitent.
kiufupi awamu hii mchuma ngombe katukomesha.. na nyayo zake zitachukua muda sana kuja kufutika.. ni kama Hitla hatakuja kusahaulika daima
 
Kenya assets risk seizure by Chinese — Moody's

A large segment of Kenya's Chinese debt is linked to construction of the Standard Gauge Railway (SGR).

Chinese debt stood at Ksh554.88 billion (5.4 billion) or 73.4 percent of total bilateral debt of Ksh756.28 billion (7.3 billion) at the end of September.

Kenya is among countries at the highest risk of losing strategic assets to China over the pile of debt it owes Beijing, global ratings firm Moody’s Investor Service has said in a newly-released report that has raised eyebrows in public finance circles.

Moody’s says in the report that China’s response to sub-Saharan Africa countries facing liquidity pressure has not been uniform or transparent - meaning predictability of credit implications are less clear.

“Countries rich in natural resources, like Angola, Zambia, and Republic of the Congo, or with strategically important infrastructure, like ports or railways such as Kenya, are most vulnerable to the risk of losing control over important assets in negotiations with Chinese creditors,” Moody’s warns.

Mali za Kenya hatarini kutaifishwa na China sababu ya madeni
Bado siwaamini akina Moody. Hao wapo kutetea maslahi ya Marekani duniani sio maslahi ya bala la Afrika. China ndio mdai mkubwa wa Marekani, mbona hawasemi....anakaribia kuchukua assets zao? Wanatuzuia tusiende kukopa China ili watunyime mikopo yao kupitia World Bank? Wanataka tuendelee kuwa tegemezi na walamba miguu yao? Reli ya TAZARA, tulisaidiwa na China, vipi waliwahi kuchukua na kushikilia miundombinu yetu tangu wakat ule? Tuwe makini sanaa na kampeni za kipropaganda za Marekani na washirika wake Duniani......CHINA NDIO RAFIKI WA KWELI WA AFRIKA....
 
hivi unajua yanayoendelea nyuma ya pazia?
hujawahi kumsikia akijisifia kuwa anakopesheka? na badae anasema kakosa mkope.
sio consisitent.
kiufupi awamu hii mchuma ngombe katukomesha.. na nyayo zake zitachukua muda sana kuja kufutika.. ni kama Hitla hatakuja kusahaulika daima
Hujui kama Hitler ni mtu wa kuheshimika sanaa Ujerumani? Bila Hitler, Ujerumani isingekuwa hii iliyopo....maana nyakati zile ilitupwa chini ya makucha ya mabeberu.....Hitler alikuwa mkombozi kwao......Kama mchuma anafanya hivyo bora aendelee....Tunaihtaji Tanzania inayoweza kujisimamia siku za usoni sio inayoyumbishwa na Magharibi na World Bank yao...CHINA NI RAFIKI WA KWELI WA MAENDELEO AFRIKA.
 
  • Thanks
Reactions: Oii
hivi unajua yanayoendelea nyuma ya pazia?
hujawahi kumsikia akijisifia kuwa anakopesheka? na badae anasema kakosa mkope.
sio consisitent.
kiufupi awamu hii mchuma ngombe katukomesha.. na nyayo zake zitachukua muda sana kuja kufutika.. ni kama Hitla hatakuja kusahaulika daima
Hujui unachokiongea wewe! inaelekea unasikia tu ila huna ulewa na hayo mambo! kuna tofauti kubwa sana kati ya kukopesheka na kukosa mkopo! kama hujui omba msaada uelekezwe mkuuu kuliko kujidhalilisha....!!
 
John Magufuli: Tanzania prefers 'condition-free' Chinese aid
  • 27 November 2018

_96605474_gettyimages-495824916.jpg
Image copyrightAFPImage captionTanzania's president has been involved in several spats with Western governments
Tanzania's President John Magufuli has said he prefers Chinese to Western aid as it comes with fewer conditions.
Mr Magufuli has been under intense pressure from Western nations over his controversial policies.
On 15 November, Denmark said it had suspended $9.8m (£7.5m) in aid because of "unacceptable homophobic comments" by a Tanzanian politician.
China has become a major investor in Africa, challenging Western influence on the continent.
It has promised to spend $60bn in investment, aid and loans in Africa over the next three years, mostly in infrastructure development.
"The thing that makes you happy about their aid is that it is not tied to any conditions. When they decide to give you, they just give you," Mr Magufuli said.
He was speaking at the opening of a library at the main university in the commercial capital, Dar es Salaam. China assisted in building the $40.6m library.
"They have helped us in a lot of other areas of development," Mr Magufuli said, adding that the two nations would continue strengthening ties.
The European Union (EU) is currently the East African state's biggest development partner, giving aid of more than $88m annually.

ADVERTISEMENT





The EU announced earlier this month that it was reviewing its policy towards Tanzania because of concerns about the rights of gay people and restrictions on civil society groups.
Last month, Dar es Salaam commissioner Paul Makonda called on the public to report suspected gay men to the police.
The government said at the time that Mr Makonda was expressing his personal opinion, not government policy.
Homosexual acts are illegal in Tanzania.
The World Bank has put on hold a $300m loan for an educational project, partly in response to the government's decision to expel schoolgirls who become pregnant.
Young mothers would be distracted if they were allowed back in school, Mr Magufuli said in a controversial speech last year.
"After calculating some few mathematics, she'd be asking the teacher in the classroom: 'Let me go out and breastfeed my crying baby,'" he added.
 
Acha kujiogopesha kijana,rais wetu yuko makini sana.tofauti na hapo utaumia roho bure tu

Kama Kenyatta na exposure yake yote anaingia mkenge atakuwa huyu wetu wa hapahapa.com!

Dept trap is no joke..na mchina ni silent killer.Kopa utakavyo bila hayo masharti lakini siku ukishindwa kulipa ndipo utayaona masharti yao.
 
Kama Kenyatta na exposure yake yote anaingia mkenge atakuwa huyu wetu wa hapahapa.com!

Dept trap is no joke..na mchina ni silent killer.Kopa utakavyo bila hayo masharti lakini siku ukishindwa kulipa ndipo utayaona masharti yao.
Tatzo lako unadharau watu wako na unajidharau mwenyewe. In short, you are purely brainwashed.....Kenyatta ana exposure gan ambayo JPM hana? Umewalinganisha kwa vigezo gan? Ama umetumia Kenyatta kuzungumza kiingereza kingi kuliko Chuma? Mradii wa bomba la mafuta, Kenyatta alishindwaje?? Wakati mwingne mtumie vichwa kufikri sio mioyo!!
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Tatzo lako unadharau watu wako na unajidharau mwenyewe. In short, you are purely brainwashed.....Kenyatta ana exposure gan ambayo JPM hana? Umewalinganisha kwa vigezo gan? Ama umetumia Kenyatta kuzungumza kiingereza kingi kuliko Chuma? Mradii wa bomba la mafuta, Kenyatta alishindwaje?? Wakati mwingne mtumie vichwa kufikri sio mioyo!!
Huyo JPM ndo nani na ni wapi umeona JPM kwenye andiko langu?GTFOH
 
Tanzania: China Is a True Friend of Tanzania
Photo: Daily News Tanzania
President John Magufuli at the ceremony to inaugurate the U.S.$41 million state-of-the-art library at the University of Dar es Salaam,
By George Cleophace Muntu
MOST Tanzanians under the age of 35 do not know the basis of friendship between China and Tanzania.
Most of them know the China that is misinterpreted by some sections of the media and are unaware of the tremendous support that China has given to Tanzania and other African nations.
The little understanding in terms of aid and close relationship between Tanzania and China is largely influenced by the absence of civil society agency that tells Tanzanians about China's aid to Tanzania.
These aids have been in the categories of infrastructure building, education, health, tourism, agriculture, etc. China has made great contributions to promoting our country's economy through investment, assistance and construction of various development projects.

The latest example of China's contribution to Tanzania is the university library - the University of Dar es Salaam Library. Covering an area of 4.7 hectares and a building area of 20,000 square metres, the UDSM Library can store 800,000 books and accommodate 2,100 people at the same time.
It also has a lecture hall with a capacity of 600 seats. Completed in this July, this state-of-the-art library was just inaugurated yesterday with the presence of H.E. Dr John Pombe Magufuli, President of Tanzania and H.E. Ms Wang Ke, Ambassador of China to Tanzania, Hon. Prof Joyce Ndalichako, Minister for Education, Science and Technology of Tanzania and other senior government officials as well as UDSM leaders.


During the inauguration, President Magufuli praised China as a true friend of Tanzania, and spoke highly of China's aid to Tanzania, which has no conditions attached. He also said that the new library will make students to learn better.
The relationship between Tanzania and China began in the 1960s when these two countries initiated diplomatic relations on 9 December 1961. China went shoulder to shoulder with Tanzania and helped us in many aspects from political, military and development levels.
China has been providing various development services and has continued to help Tanzania in various sectors, all of which aim at developing and promoting political and economic development of Tanzania.
The Chinese Embassy has initiated the internship programme, which focuses on fostering talents for the future development of Tanzania. The contractor of the UDSM Library project had been conducting an all-round joint venture with UDSM with a view to providing more internship opportunities for college students in architecture, civil engineering and other related fields.

Each student was assigned to Chinese instructor of which 20 students underwent a two month internship in the Chinese aided library construction for UDSM. You and I can imagine a number of benefits Tanzanian students received during their internships.
Some of these include but not limited to one-to-one student-instructor relations, access to modern construction and engineering tools, receiving first-hand construction and engineering information as well as learning multiple skills in engineering and construction which in the end will help them develop their careers, and to take on multitasks in both engineering and construction.

Apart from the construction of this library building, Tanzania has been receiving a lot of support in recent years.
One of China's greatest support in recent years is the great and modern International Conference Centre named after the first President and founding Father of the Tanzania - Julius Nyerere International Convention Centre.
This conference centre is one of the biggest and modern conference centres in Africa and many international conferences are held there. In addition, China has built a modern building for the Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation, the building was completed in 2018.

All these buildings are located at the junction of avenue garden and Shaaban Roberts street of Dar es Salaam. China also constructed the Jakaya Kikwete Cardiac Surgery Institute in Muhimbili area.
This institution has greatly helped many Tanzanians, especially low income earners, to access heart surgery and treatment, a privilege that used to be for the prestigious few. But it has also helped eliminate the cost of sending people out of the country for cardiac related treatment.
This building is modern and has modern and affordable equipment. China still plans to build a huge Cardiac Treatment and Training Centre on the outskirts of Dar es Salaam.
This construction will help make it easier for Tanzanians to get cardiac related treatment services within minimal time and procedure. China has also been sending expert specialists to assist with surgical operations and treat various diseases in different hospitals.

The donations offered by China to Tanzania basically are too many, however, China continues with its strategies to support the African nations. China has committed to facilitating the construction of 5 universities of transportation in Africa, one of which is to be constructed in the eastern and central African countries whereby Tanzania was given the largest opportunity if we would have been smart enough to "go get" the opportunity!
In order to ensure that the promise is fulfilled, China has planned to convert the National Institute of Transport (NIT) college into a major university of transport in East and Central Africa.


The college aims to provide young East African people with expertise to help the country with qualified technical knowledge to manage modern infrastructure after they have completed their studies.
The construction of this college will also help reduce the costs of sending Tanzanians to study abroad, and will also help increase the number of professionals who will manage all technical activities, especially in the modern electrical infrastructure built in eastern Africa such as railways, road infrastructure, marine and air transport.
This is a clear evidence of how China is a true partner to African nations and intends to eliminate poverty. Apart from the plan to build a transportation university, China plans to build a Tanzania Vocational Training Centre in Kagera Region. The contract to construct the Vocational Training institute was signed on 26th November 2018.
This technical training centre is expected to cost more than $10 million. The centre will be built in two different areas where the first pilot will be able to accommodate 400 students and the second one will take up 400 students as well. Once ready the vocational institute will be able to attract 800 students. China also intends to build a huge and modern Geopark in the Ngorongoro Park.
The construction of this Geopark, aims to help increase more tourists that will invest more in our nation.
After completion of the construction of all infrastructures, a strategy will be set to market all tourist attractions especially the Ngorongoro crater considering that one of the largest tourist attractions in the world.
 
Hawa ndio tunaambiwa marafiki wazuri? Hawana masharti! Mwenzako akinyolea wewe tia maji, ..
 
Tatzo lako unadharau watu wako na unajidharau mwenyewe. In short, you are purely brainwashed.....Kenyatta ana exposure gan ambayo JPM hana? Umewalinganisha kwa vigezo gan? Ama umetumia Kenyatta kuzungumza kiingereza kingi kuliko Chuma? Mradii wa bomba la mafuta, Kenyatta alishindwaje?? Wakati mwingne mtumie vichwa kufikri sio mioyo!!
Wabongo tunajidharau sana mwanangu, hilo nimeshtukia kitambo.
Hapo kwenye moyo na kichwa, rumours has it, that it's the heart (spirit) (roho) that thinketh right than the brain (soul) (nafsi)
Kwa iyo jamaa anamdiss kwa kutumia kichwa, ila moyoni anajua magu ni jembe, when we use tangible results oriented facts.
 
Hujui unachokiongea wewe! inaelekea unasikia tu ila huna ulewa na hayo mambo! kuna tofauti kubwa sana kati ya kukopesheka na kukosa mkopo! kama hujui omba msaada uelekezwe mkuuu kuliko kujidhalilisha....!!
Huu sio mtihani kwamba nijue kwa details zote.

Kama unajua nieleweshe.
Ila kama unaleta taarabu man yake hujui
 
Kenya assets risk seizure by Chinese — Moody's

A large segment of Kenya's Chinese debt is linked to construction of the Standard Gauge Railway (SGR).

Chinese debt stood at Ksh554.88 billion (5.4 billion) or 73.4 percent of total bilateral debt of Ksh756.28 billion (7.3 billion) at the end of September.

Kenya is among countries at the highest risk of losing strategic assets to China over the pile of debt it owes Beijing, global ratings firm Moody’s Investor Service has said in a newly-released report that has raised eyebrows in public finance circles.

Moody’s says in the report that China’s response to sub-Saharan Africa countries facing liquidity pressure has not been uniform or transparent - meaning predictability of credit implications are less clear.

“Countries rich in natural resources, like Angola, Zambia, and Republic of the Congo, or with strategically important infrastructure, like ports or railways such as Kenya, are most vulnerable to the risk of losing control over important assets in negotiations with Chinese creditors,” Moody’s warns.

Mali za Kenya hatarini kutaifishwa na China sababu ya madeni
Hata chips mayai hupelekea wabinti kubeba mimba zisizo tarajiwa, always no free lunch! Tanzania watch out mwenzio akinyolewa nawewe tia maji. So TZ be prepared
 
Halafu wakivchukua watavhamishia kwao China au?
Waksema waviendeshe wao hapa nchini kwe2 tutawapa masharti magumu balaa....ka wakivtaka wang'oe ma sgr yao na wanyonye maji yote wapeleke kwao....
Ovaaa
Unaongea usicho kijua! Jielimishe na mikataba ya kimataifa, itakuepusha kuonekana juha.
 
Asante kwa ushaur Mkuu,
Vipi unaweza kunipa reference za hiyo mikataba ya kimataifa niisome,ili kuondoa upopoma kichwan mwangu?
Pia nina swali,kwanini mataifa ya magharibi yamesaidia nchi zetu kwa mikopo mikubwa na kwa miaka mingi lakn hatukuwah kusikia kuhusu hizi mambo za kuchukua natural resources and other infrastructers,hii mikataba imeanza kuwa applied na China 2?
Na je kipindi wanatoa mikopo,(waChina),wanaweka na masharti hayo wazi kwenye mikataba yao?...kama ndivyo inamaana Rais wetu kadanganywa kwa kuaminishwa kwamba mikopo ya China ni 'conditionfree'?
Nawasilisha.
Unaongea usicho kijua! Jielimishe na mikataba ya kimataifa, itakuepusha kuonekana juha.
 
Back
Top Bottom