Baada ya zuio la miaka 21, Tanzania yaruhusiwa rasmi kupeleka bidhaa ya nyama nchini Saudi Arabia!

Baada ya zuio la miaka 21, Tanzania yaruhusiwa rasmi kupeleka bidhaa ya nyama nchini Saudi Arabia!

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Baada ya zuio la miaka 21, Saudi Arabia imeruhusu kampuni mbili za kitanzania kuingiza nyama nchini mwao

Tunaposema Rais Samia anaupiga mwingi tueleweni jamani! Hii ni baada ya jitihada alizofanya kuongea na Serikali ya Saudi kutuondolea zuio hili

Uchumi unafunguka kweli na nchi inafunguka kweli! Poleni sana wale wenye chuki zenu! Madolali yanaenda kuzidi kumiminika kwenye mapato ya nchi!

Hii ndo maana halisi ya kuongoza kwa akili!

Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano Tanzania

Screenshot_20220625-054710_Facebook.jpg
 
Lord denning wewe ni msalyambweta kabisa. Sisi hatumpingi kabisa Mama Samia na hakuna mtanzania mwenye chuki binafsi na Mama Samia.

Kilichopo Mama kaachia wahuni wamuendeshee nchi. Mama kama Mama ana weledi na Watanzania tunampenda mno ila kwenye kuachia nchi waiongoze wahuni hapo ndipo chuki kubwa ilipo.

Yaani kilichopo kwa sasa tunaheshimu tu mamlaka ya rais lakini kusema eti tuna rais Tanzania, hapana, hayupo kabisa.

Tusubiri sijui lini Mama atabadilika au tutapata Magufuli mwingine.
 
21yrs. Ni tangu Mkapa sio. Hujasema sababu ya kuzuia ilikuwa nini na imekuwa solved kivipi?

Hata kusafirisha wanyamapori wakiwa hai i.eTwiga na Tausi kuzwa ilizuiwa kwa maslahi.

Je, sasa hivi imeruhusiwa baada ya kurekebisha nini?
Kwanini kampuni 2 tu

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
21yrs. Ni tangu Mkapa sio. Hujasema sababu ya kuzuia ilikuwa nini na imekuwa solved kivipi? Hata kusafirisha wanyamapori wakiwa hai i.eTwiga na Tausi kuzwa ilizuiwa kwa maslahi. Je sasa hivi imeruhusiwa baada ya kurekebisha nini?
Kwanini kampuni 2 tu

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Sababu ya kuzuia ilikuwa kuenea kwa ugonjwa wa miguu na midomo

Yes! Ni tangu awamu ya Mkapa na unfortunately awamu zote zilishindwa kuishawishi serikali ya Saudi kuondoa zuio. Ni serikali ya awamu ya 6 imefanikiwa kufanya huu ushawishi

Kuhusu kampuni mbili ni kampuni hizo zilizoomba kupitia serikali au unaona wivu?
 
Kama wana access na twiga wa usd 45,000 full sized kwanini wawazuie kuuza mbuzi wa dollar 40😂
Hoja yako haina mashiko! Kipindi cha Mkapa na Kikwete walikuwa na access na hao wanyama maana still tulikuwa tunasafirisha wanyama wafugwao kwenda nje ila bado zuio lilikuwepo

Unapata shida kukubali Rais Samia anaupiga mwingi ila kubali tu ndo uhalisia wenyewe
 
Inanisaidia nini katika maisha yangu ya kawaida? Kungekuwa na impact kama kungeondolewa tozo za kinyonyaji juu ya VAT. Baada ya hio ban kuondolewa.
kwa iyo na maisha yako ya kawaida huendi hospitali? hutembelei barabara za lami? huna mtoto anayesoma bure la kwanza hadi form 6? Unadhani hela ya yote hayo inatokana na nini?

Kweli utakuwa ni msukule na sio binadamu!
 
kwa iyo na maisha yako ya kawaida huendi hospitali? hutembelei barabara za lami? huna mtoto anayesoma bure la kwanza hadi form 6? Unadhani hela ya yote hayo inatokana na nini?

Kweli utakuwa ni msukule na sio binadamu!
Bure ipi hio? Mtoto si analipia ada! Si alifuta elimu bure huyo mama, hao askari waliojazana kuomba rushwa barabarani huwaoni au huna gari ndugu Chawa?
 
Mmmbwaa kweli wewe,

Eti tusubiri sijui lini tutapata maggufulli mwingine!" Yaani nchi hii kamwe haitakuja kuongozwa na shetani wa sampuli hile,

Halafu acha matusi kwa viongozi wa nchi mmmbwa ww, yaani viongozi wa nchi unawaita wahuni we kahaba!? Kwaiyo sampuli ya kina jambazi Sabaya na bashite ndio kwako wewe walikuwa viongozi wazuri chini ya diktea kichaa,,

Kumbe makkahaba hamnaga akili kabisa
Bado ana uchungu wa kufiwa ndugu wa marehemu huyu! Wanaanzisha chama chao cha kumuomboleza marehemu kinaitwa umoja party na mnyarwanda mwenzake Suzy Elias !

Wavumilie tu, ni msongo wa mawazo uliowaletea matatizo ya akili tu
 
Bure ipi hio? Mtoto si analipia ada! Si alifuta elimu bure huyo mama, hao askari waliojazana kuomba rushwa barabarani huwaoni au huna gari ndugu Chawa?
We nawe kumbe ni tahila, shule gani ya serikali wanafunzi wanalipa ada? Au unasemea olympio na diamond school!,
 
Hakuna kitu kigumu kama kumuelewesha UVCCM kuna maswali ya kujiuliza hapo
~kwa nini ni kampuni 2 pekee?
~Uhitaji wao kutoka Tanzania ni kiasi gani?
~Source ya taarifa yako ni ipi maana naona hiyo page wameandika mama anaupiga mwingi so huoni kwamba huenda imeanzishwa na chawa wa UVCCM kumsifia Samia
~Vipi kuhusu mustakabali wa kampuni nyingine
~Mbona media nyingine hawajatangaza
 
Lord denning wewe ni msalyambweta kabisa. Sisi hatumpingi kabisa Mama Samia na hakuna mtanzania mwenye chuki binafsi na Mama Samia. Kilichopo Mama kaachia wahuni wamuendeshee nchi. Mama kama Mama ana weledi na watanzania tunampenda mno ila kwenye kuachia nchi waiongoze wahuni hapo ndipo chuki kubwa ilipo. Yaani kilichopo kwa sasa tunaheshimu tu mamlaka ya rais lakini kusema eti tuna rais Tanzania, hapana, hayupo kabisa. Tusubiri sijui lini Mama atabadilika au tutapata Magufuli mwingine.
Tunaye na si mwingine ni Madam President Samia Suluhu Hassan.Upendi kunywa jiki.Aini mkubwa wewe.
 
Kweli mama anajitahidi kutafuta masoko, mikopo, fursa mbalimbali, tatizo mianya kibao, kujichotea mtindo wa mabilioni, watumishi kujilundikia mipesa bila kazi ya ziada!
 
Hakuna kitu kigumu kama kumuelewesha UVCCM kuna maswali ya kujiuliza hapo
~kwa nini ni kampuni 2 pekee?
~Uhitaji wao kutoka Tanzania ni kiasi gani?
~Source ya taarifa yako ni ipi maana naona hiyo page wameandika mama anaupiga mwingi so huoni kwamba huenda imeanzishwa na chawa wa UVCCM kumsifia Samia
~Vipi kuhusu mustakabali wa kampuni nyingine
~Mbona media nyingine hawajatangaza
Chuki zako zimeshakupa ukichaa!
Nenda page ya East African TV Facebook kuna habari kamili. Jana wamefanya mahojiano na balozi wa Tanzania nchini Saudi Arabia

Kuhusu kampuni mbili shida yako nini? Ulikuwa na kampuni ikanyimwa? Au sonona tu imekujaa unatafuta kichaka? kama una swali kawaulize serikali ya Saudi walioondoa zuio
 
Back
Top Bottom