Hata we unaweza kupeleka nyama huko mkuuHizo kampuni utakuta moja ina hisa za msoga by 80% nyengine hisa za Mzee Hassan kwa 80% halafu wabongo mnaimbiwa ngonjera za nchi kufunguka na mnapiga makofi.
Tuwaone mbuzi wa Vingunguti wakipelekwa Oman hapo huenda ika make sense.
Yah manFungua kampuni kaombe tenda, kujiliza pekee hakuto kusaidia
Swali: Kwani soko la nyama ya Tanzania ni Saudi tu? Au ni baadhi ya hayo masoko? Au quality standard ya nyama? Najua middle eastern na maghreb wanahitaji Halal, lakini soko la nyama si haba dunianiBaada ya zuio la miaka 21, Saudi Arabia imeruhusu kampuni mbili za kitanzania kuingiza nyama nchini mwao
Tunaposema Rais Samia anaupiga mwingi tueleweni jamani! Hii ni baada ya jitihada alizofanya kuongea na Serikali ya Saudi kutuondolea zuio hili
Uchumi unafunguka kweli na nchi inafunguka kweli! Poleni sana wale wenye chuki zenu! Madolali yanaenda kuzidi kumiminika kwenye mapato ya nchi!
Hii ndo maana halisi ya kuongoza kwa akili!
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano Tanzania
View attachment 2271110
Ukiona hivyo kuna mambo washayaweka sawaSwali: Kwani soko la nyama ya Tanzania ni Saudi tu? Au ni baadhi ya hayo masoko? Au quality standard ya nyama? Najua middle eastern na maghreb wanahitaji Halal, lakini soko la nyama si haba duniani
Ukiona mtu analeta habari za kipambe namna hii ni chawa mwenye midomo miwili.Baada ya zuio la miaka 21, Saudi Arabia imeruhusu kampuni mbili za kitanzania kuingiza nyama nchini mwao
Tunaposema Rais Samia anaupiga mwingi tueleweni jamani! Hii ni baada ya jitihada alizofanya kuongea na Serikali ya Saudi kutuondolea zuio hili
Uchumi unafunguka kweli na nchi inafunguka kweli! Poleni sana wale wenye chuki zenu! Madolali yanaenda kuzidi kumiminika kwenye mapato ya nchi!
Hii ndo maana halisi ya kuongoza kwa akili!
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano Tanzania
View attachment 2271110
Tulianza na Oman na sasa Saudi kwingine kutafuataSwali: Kwani soko la nyama ya Tanzania ni Saudi tu? Au ni baadhi ya hayo masoko? Au quality standard ya nyama? Najua middle eastern na maghreb wanahitaji Halal, lakini soko la nyama si haba duniani
Kwani akisifiwa we inakuuma nini?Ukiona mtu analeta habari za kipambe namna hii ni chawa mwenye midomo miwili.
Unaowapa pole wameshiba na wana dola zao sio za kichawa.
Rais Samia kufanya juhudi ni sehemu ya majukumu yake na sio lazima asifiwe kwani analipwa pesa ndefu na masurufu ya kufa mtu.
Hana hoja huyo sukuma gang! Kajaa chuki tu dhidi ya SamiaHebu niambie ni wahuni gani wanaendesha Tanzania na ni uhuni gani wamefanya?
Asante Rais kwa Jitihada za kufungua nchi. Kila linalozalishwa Tanzania kingepata soko halisi popote duniani, tungeongeza idadi ya wa-Tanzania wenye uwezo mkubwa wa kununua (relatively high purchasing power) tukaongeza uwezo wa kukusanya kodi, japo kiwango kidogo tu tungeweza kukusanya Tzs. Trilioni 10 kwa mwezi. Kwa mwaka Trilioni 120 tu, automatically hatuhitaji kuomba kokote, bali tungekopesha mataifa mengine baada ya kukamilisha miradi mikubwa ya kimkakati. Ni hilo tuBaada ya zuio la miaka 21, Saudi Arabia imeruhusu kampuni mbili za kitanzania kuingiza nyama nchini mwao
Tunaposema Rais Samia anaupiga mwingi tueleweni jamani! Hii ni baada ya jitihada alizofanya kuongea na Serikali ya Saudi kutuondolea zuio hili
Uchumi unafunguka kweli na nchi inafunguka kweli! Poleni sana wale wenye chuki zenu! Madolali yanaenda kuzidi kumiminika kwenye mapato ya nchi!
Hii ndo maana halisi ya kuongoza kwa akili!
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano Tanzania
View attachment 2271110
Fikra mufilis hizi. Hata angepeleka, kama wananunua sawa tu mbonaSafi, kupeleka nyama home kwa anko na aunts
Mbona nimefurahi, nimesema Safi, yaani vizuri au nimekosea wapi?Fikra mufilis hizi. Hata angepeleka, kama wananunua sawa tu mbona
Mjomba ni mama! Kama ukienda ujombani utakubaliwa tu 😁Sababu ya kuzuia ilikuwa kuenea kwa ugonjwa wa miguu na midomo
Yes! Ni tangu awamu ya Mkapa na unfortunately awamu zote zilishindwa kuishawishi serikali ya Saudi kuondoa zuio. Ni serikali ya awamu ya 6 imefanikiwa kufanya huu ushawishi
Kuhusu kampuni mbili ni kampuni hizo zilizoomba kupitia serikali au unaona wivu?
Mimi namuamini SSH na JPM kwani wote wanatekeleza ilani ile ile.Lord denning wewe ni msalyambweta kabisa. Sisi hatumpingi kabisa Mama Samia na hakuna mtanzania mwenye chuki binafsi na Mama Samia.
Kilichopo Mama kaachia wahuni wamuendeshee nchi. Mama kama Mama ana weledi na Watanzania tunampenda mno ila kwenye kuachia nchi waiongoze wahuni hapo ndipo chuki kubwa ilipo.
Yaani kilichopo kwa sasa tunaheshimu tu mamlaka ya rais lakini kusema eti tuna rais Tanzania, hapana, hayupo kabisa.
Tusubiri sijui lini Mama atabadilika au tutapata Magufuli mwingine.
Labda kwa kiswahili cha kwenu BurundiZinazoongelewa hapa Ni nyama Za pori
Endelea kuishi kwa nadharia wenzako wanapiga kaziHizi ruhusa zina gharama zake ..sio bure bure tu
Nyama nyengine zimejaa Saudia.Nyama tamu tamu.Zinazoongelewa hapa Ni nyama Za pori