Baada ya zuio la miaka 21, Tanzania yaruhusiwa rasmi kupeleka bidhaa ya nyama nchini Saudi Arabia!

Samahani ndungu zangu kunakitu kidogo ningependa kujua kuhusu Ayati Magufuli. Kiukweli kipindi anaongoza Magu, mimi sijawai kuepo Tanzania hatasikumoja nilikua namsoma tu kwenye mitandao lakini sidhani kama alikua msafi kupita kiasi ukiwa msafi lazima ukubali kukosolewa hata kidogo lazima ukubali kushauliwa lakini kwajamaa hilo halikuepo sasa nikweli unaweza kutamani mtu kama huyokweli. Mimi sikuepo lakini kulikua hakuna freedom of speech simchukii lakini jamaa alikua mbabe sana
 
Kwa hiyo kufanya biashara ni uhuni. We unafurahi a umaskini aliouhubiri jpm kwa miaka mitano kwamba yeye anaongoza maskini na anawafurahia Sana na kutaka nchi nzima wote tuwa machinga!!! Kazi ipo
 
Acha ubishi wagogo wao wanaangusha ng'ombe hawachinji
 
Umeomba kupitia kampuni yako ukanyimwa? Unaulizia kampuni nyingine kwani unajua kampuni zilikuwa ngapi? Embu tutajie izo nyingine na tupe ushahidi ziliomba lini?
Nimekuuliza wewe uliyesema 2 je mchakato wa kuzipata ulikuwa wa kiushindani
 
Amka
 
Safi sana mama Samia tunakupenda na kukuombea
 
Unajuaga kushabikia upuuzi. Baada ya waarabu wa kupewa loliondo na ngorongoro ndio mmepewa fursa. Pathetic
 
Hongera sana kwake ila cjajua kama hili swala liko kihalisia au ni siasa za majitaka,tujiulize tu leo unawatoa wafugaji maeneo pendwa ya kifugaji kwa kisingizio cha pori tengefu je! hizo nyama unatoa wapi? kwa muda wa miaka mingapi? je! export itakuwa nyama kiasi gani kwa mwaka?
ili mradi wowote ufanikiwe tunapima sustainability ninachokiona hapa ni matumizi ya nyama pori na sio vinginevyo kama tunavyoaminishwa.
Mungu ibariki Tanzania
 
iko siku wanyama sisi tutapangiwa bei ndio mtajua hamjui.
 
Yah man

Maana wabongo ikitokea jambo

Utasikiaa ahh tunapigwa tunapigwa

Tunabakia kulalamikaaa tu

Ova
Kweli mkuu, badala ya kuchangamkia fursa wanakalia kulia lia tu
 
Wewe masikini una nini cha maana zaidi ya kushangilia tu?
Mimi siyo masikini/Mnyonge kama wewe, ndiyo mana sikuwa upande wa yule dhalimu na sera zake za kurudi kwenye ujima. Wanyonge kama wewe ndiyo mlikiwa mtaji wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…