Baadhi ya Brand kubwa za Korea Kusini

Baadhi ya Brand kubwa za Korea Kusini

... akili ya Kiduku eti SK ni jimbo lake lililoasi; similar to Taiwan! Makomunisti ni ya ajabu sana.
Kabla ya kumshambulia Respected Comrade Kim Jong Un rejea Kwanza katiba ya Korea kusini inavyosema kuhusu eneo la ROK,
Ibara ya tatu inasema

"The territory of the Republic of Korea shall consist of the Korean peninsula and its
adjacent islands
."

Kwa haya maelezo serikali ya kiduku(DPRK) Korea kaskazini ni halamu.

Ibara ya nne inasema.

The Republic of Korea shall seek unification and shall formulate and carry out a policy of
peaceful unification based on the free democratic basic order.

Yaani kama nchi zinaungana tena Korea kusini ndio yenye haki ya kuunda muundo WA uwendeshaji WA serikali.

DPRK sio wajinga kujihami na siraha za nyuklia.
 
Haya hapa ni baadhi ya makampuni ya kibabe ya Korea ya KUSINI. Thamani yake ni billions of dollars. Kila kampuni hapo ukiigusa ina brand ya kibabe.

KIDUKU Yuko busy na vi nuclear vyake Saba. Kumbuka haya mataifa yalikuwa maskini sana miaka ya 1950s. Lakini sasahivi ni kama mbingu na ardhi Kwenye uchumi ukiwalinganisha.

NOTE: Ukiacha vi nuclear vyake Saba vya KIDUKU, Korea kaskazini wanazalisha Nini?

View attachment 2326718
Na Koran drama zao zinatazamwa Sana duniani kote hasa na wadada, Hawa majamaa wamewateka Sana dada zetu kwa upande wa tasnia ya uigizaji
 
North Korea wapo vzr nao sema sanctions ndo zinawaficha ila wapo vzr sana kwenye Engineering za kujenga mabarabara, majengo nknk hata Japan akasome kwa NK bado wako vzr kwenye tech zingine
Taja hapa hayo makampuni unayosema ya korea kaskazini ambayo ni bora kuliko ya japan
 
North Korea wapo vzr nao sema sanctions ndo zinawaficha ila wapo vzr sana kwenye Engineering za kujenga mabarabara, majengo nknk hata Japan akasome kwa NK bado wako vzr kwenye tech zingine
Kutengeneza Nyuklia, ambayo alifundishwa na chizi Russia.
 
Mtu anayetengeneza nukes,ballistic missiles,intercontinental missiles na madude kibao ya kijeshi sio wa kumchukulia poa!
Hatuwezi kujua anatengeneza bidhaa gani za kuuza ndani sababu ya sanctions!Ila

Wacha bla bla mkuu

Weka evidence tu ya kuonesha N/korea ni bora kuliko japan

Usi base kwenye assumptions
 
... akili ya Kiduku eti SK ni jimbo lake lililoasi; similar to Taiwan! Makomunisti ni ya ajabu sana.
Hata South Korea ina claim kuwa North Korea ni yake. North Korea wanajiita Democratic People's Republic of Korea (DPRK) na South Korea wanajiita Republic of Korea (ROK). Korea nzima ilikuwa ni Nchi moja kabla haijagawanywa mwaka 1948 wakati wa vita baridi. Na sasa kila Korea inadai yenyewe ndio Korea rasmi kwa Peninsula nzima.

Kwa Taiwan baada ya Chiang Kai Shek kupinduliwa na Wakomunisti mwaka 1949 aliikimbia Mainland China na kukimbilia Taiwan akiamini kwamba Mainland China bado ni eneo lake ambalo siku yoyote watarudi na kulirudisha kwenye mikono yao. Na Wakomunisti nao wanasema Taiwan ni eneo lao na wanaamini ipo siku wataichukua. Wote wanaclaim wao ndio wanawakilisha waChina wote. Mpaka miaka ya 70 mwanzoni nchi za Eastern Bloc na Nchi za Dunia ya tatu zilikuwa zinaitambua People's Republic of China (Wakomunisti) huku nchi za Magharibi (isipokuwa chache tu kama UK ambazo zilishaitambua PRC) zilikuwa zikiitambua Republic of China (Taiwan). Ni mwaka 1971 ndio PRC ilitambuliwa na UN na ROC (Taiwan), ambayo ndio ilikalia kiti cha China, ikaondolewa.

Hivyo hayo mambo bhana tusiyazungumze kiwepesi wepesi tu. Kwamba "wale wapumbavu sana wale", oh "wale hivi wale vile" bila kuangalia historia zao.
 
Korea Kusini wamewazidi sana Korea Kaskazini. Ila ndo hivyo, humu ushabiki mwingi mno.
... SK wamewazidi NK kwenye nini ikizingatiwa NK wana nyuklia na inter-continental ballistic missiles ambazo SK hawana.
 
Alafu eti korea kaskazini wàlivamiaga yaan bila Marekani kuingilia sijui ingekuwaje.

Utasikia mtu anasema Marekani haijawahi shinda vita.
Kaisome tena vizuri Korean War (1950-1953). Naona kama umechukulia kirahisi sana.
 
Kaisome tena vizuri Korean War (1950-1953). Naona kama umechukulia kirahisi sana.
Hawa si ndio GOGUREO JOESUN, NA HUAN au BUYEO ya akina jumong, na damdaeko? Hawawezi kukaa pamoja hao. Kacheki drama zao za akina jumong na muendelezo wake king gwangaetto the authotorian and supreme king.

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
 
... SK wamewazidi NK kwenye nini ikizingatiwa NK wana nyuklia na inter-continental ballistic missiles ambazo SK hawana.
Uchumi, teknologia. Hata hiyo kijeshi SK usimchukulie poa kaangalie katika rankings za nguvu za kijeshi uone anashika namba ngapi. Kuhusu Nyuklia ni kweli hana lakini angalia mwaka jana rais wa SK aliomba US i weke tena Tactical Nuclear Warheads zake pale SK. US aliwahi kuweka Nuclear Warheads zake pale SK wakati wa vita baridi.
 
Back
Top Bottom