KWELI Baadhi ya Dawa za kutibu Malaria zinaweza kusababisha mzio mwilini, ikiwemo Kuchubuka Uume na Midomo

Taarifa hii imethibitika kuwa ya kweli baada ya kufanya tathmini ya kina
Nakubaliana na hili na huwa linanitokea kila nikitumia dawa hii.
 
Nakubaliana na hili na huwa linanitokea kila nikitumia dawa hii.
Mimi pia ni mhanga wa hizi dawa unachubuka sehemu za siri na muwasho mkononi unatoka kama vishilingi
Mie nikitumia malafin tu hali tete na mwanzo ilikuwa ndo dawa yangu hiyo.
 

Mimi naona cha muhimu ni mtu kuangalia aina ya hizo dawa ambazo zinakufaa. Dawa siku zote huwa zina side effect ambayo huwezi epuka.
 
kila sawa ina side effect kuna mtu alikunywa dawa tatu alivimba macho
 
Kuna uhusiano wowote kati ya dawa za malaria na pumu ya ngozi?
Mwanangu ninapomtibu malaria hutokea vipele {harara mwili mzima} kuna mtu kaniambia mtoto atakuwa na pumu ya ngozi, je ukweli ni nini? na je tiba au msaada wake ni nini? Naomba msaada nimsaidie huyu kiumbe [emoji120][emoji120]

Sent from my 2107113SG using JamiiForums mobile app
 
Ujana kumbe mfupi sana [emoji68]‍🦯
Si muda mrefu nilikuaga na miaka 25 sasaiv miaka 35 duuh .
Ndo basi Tena mie weeh🧎
 
Kuna fomu maalumu ambazo zinatolewa nadhani ni TMDA kama sijasahau ambazo hutumika kuripoti maudhi ya Dawa
 
...hizi zinaleta allergic reaction
 
Asishangae inatakiwa ajue tu kua ana allergy na mchanganyiko huo wa dawa na atumie aina ingine ya dawa ili kupatwa na tatzo hilo.Na asiishangae gov maana sio kazi ya gov kutangaza mzio wa kila mtu kwenye dawa fulani.
 
Hawa pharmacist wa mtaani wanahitaji kuwapa watu dawa kwa kuwauliza na sio Kama wafanyavyo hivi.
 
Kuna ulazima pia wa kujenga Mazowea ya kujua ya kupima kujua kama una mzigo wowote ktk miili yeti sababu muda mwengine kinachokudhuru wewe mwengine hakina shida kwake.

Binafsi niliteseka sana niliumwa kuanzia kuambiwa nina pumu ya ngozi na dalili za saratani ya ngozi kumbe ni mzio wa viungo viwili vya dawa Aspirin na Sulfur toka nimetambua hilo siteseki nikiumwa nikifika zahanati tu najieleza ili nipewe dawa mbadala.

Kuna haja ya kubadilisha mfumo wa maisha kwa kukagua afya zetu na jamii zetu angalau kwa mwaka mara moja au mbili.
 
Dawa nyingi za malaria zinakua na side effect ya skin itching (kuwashwa kwa ngozi), ambayo ni kawaida lakini madhara zaidi hutokea kwa mtu ambaye ana mzio( allergy) ya dawa zinazobeba " sulfonamides".
Habari yako bro, unaufahamu ugonjwa wa korodan kuchoma kama vl kuna m2 anakuchanja na kiwemb na inatokea napotembea nijuz kama wafaham
 
Habari yako bro, unaufahamu ugonjwa wa korodan kuchoma kama vl kuna m2 anakuchanja na kiwemb na inatokea napotembea nijuz kama wafaham
...hizi zinaleta allergic reaction
Nakubaliana na hili na huwa linanitokea kila nikitumia dawa hii.
Mimi pia ni mhanga wa hizi dawa unachubuka sehemu za siri na muwasho mkononi unatoka kama vishilingi
Mie nikitumia malafin tu hali tete na mwanzo ilikuwa ndo dawa yangu hiyo.
Iuokyoupyluiijyi
 
Well said.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…