KWELI Baadhi ya Dawa za kutibu Malaria zinaweza kusababisha mzio mwilini, ikiwemo Kuchubuka Uume na Midomo

Taarifa hii imethibitika kuwa ya kweli baada ya kufanya tathmini ya kina
Hiyo dawa nimeitumia mara nying sana sijawah pata athari YOYOTE
 
Asanteeee
 
Tatizo kama hili liliwahi kunipata,,Baadhi ya Dawa Zina kemikali inaitwa #Sulphur...watu wengi wana mzio nayo ukigundua una mzio na hii kemikali waambie madaktari kuwa una mzio utapewa dawa stahiki
 
Naprescribe hiyo dawa na kwakweli sio kila mtu anaweza pata matatizo hayo inategemea na mapokeo ya seli nyeupe za mwili.

Mfano mzuli ni wamama wajawazito kila wanapokuja kliniki wanapata dawa hiyo SULPHADOXINE +PYRIMETHAMINE kama kinga ya malaria na ukweli ni kua sijawahi pokea malalamiko.

Ila ukweli ni kua kuna baadhi ya watu wapo allergic na madawa yenye Sulphur hivyo sema kwa daktari wako kila unapokua umeenda kimatibabu.
[emoji170]
 
Binafsi dawa zenye sulpher huwa nikitumia huwa zinaniletea vidonda....

Maranyingi hapo nyuma nimekuwa nikitumia SP's drugs sana sana Malafini napo patwa na malaria.....na kila nikitumia natokewa na kidonda kwenye lips za mdomo

Hivyo kwa upande wa malaria napendelea kutumia Artimether Lumefantrine (MSETO/ALU)
 
Hili lilinikuta mwaka 2022 mwezi wa tano nikimeza hizo Ekelfin, baada ya siku kama mbili hivi nikasikia kubabuka sehemu za juu na chini mdomoni na uume nikawa nasikia kama umeungua hivi na mwili kuwashwa. Niliteseka mnooooo! Hiyo dawa na mimi tena ni basi
 
Ni kweli anaweza kua na allergy na Moja ya ingredient ya hio dawa ambayo probably ni sulphur. Elekelfin ni brand name ya dawa aina ya sp sulphadoxine+ pyrimethamine ni kundi la dawa zinazokinga maralia
 
jamani tuache kununua dawa kiholela twendeni vituo sahihi vya afya tukapate vipimo sahihi, ushauri na tiba bora.
 
Dawa nyingi sana zinaleta shida, juzi nlitumia DICLOPA nikapata homa nyngne kabisa yaani badala ya kuondoa maumivu nikawa mgonjwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…