Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Duh Kairuki na TMJ ndio hospital zilizo karibu na mimi na ndio nazitumiaga kulata huduma za afyaView attachment 2920691View attachment 2920692
View attachment 2920693
Baadhi ya hospital binafsi zimeshaweka matangazo kama yanavyosomeka hapo juu
Nini sulihisho la hili?tiririka ili serikali ipate madini na kuyafanyia kazi inawezekana kabisa hawajui nini cha kufanya kunusuru hilo suala nyeti la afya.
Umewaza kama mimi.Mkuu ni kawaida ya CCM kutengeneza matatizo, ili baadaye waje wayatatue wasifiwe...
Hata hili muda si mrefu utasikia wametatua ili wapate sifa...
Serikali ndio imetufikisha hapa na sidhani kama ina namna ya kujinasua kutoka kwenye hili janga. Huu ujinga wa serikali kuweka bei elekezi kwenye masuala ya msingi kama afya, litatufikisha mahali pabaya sana. Wameweka bei elekezi kwenye sukari watu wameshindwa kunywa chai. Sasa wamehamia kwenye afya ili kuua raia wasiokuwa na hatia. Sijawahi kuona serikali yenye mambo ya kipimbavu kama hii.View attachment 2920691View attachment 2920692
View attachment 2920693
Baadhi ya hospital binafsi zimeshaweka matangazo kama yanavyosomeka hapo juu
Nini sulihisho la hili?tiririka ili serikali ipate madini na kuyafanyia kazi inawezekana kabisa hawajui nini cha kufanya kunusuru hilo suala nyeti la afya.
Kinachouma na kukera zaidi, mbali ya kuwa na huduma za kusuasua kwa watumiaji wa NHIF, pesa zetu hawajaacha kuzichukua.Serikali ndio imetufikisha hapa na sidhani kama ina namna ya kujinasua kutoka kwenye hili janga. Huu ujinga wa serikali kuweka bei elekezi kwenye masuala ya msingi kama afya, litatifikisha mahali pabaya sana. Wameweka bei elekezi kwenye sukari watu wameshindwa kunywa chai. Sasa wamehamia kwenye afya ili kuua raia wasiokuwa na hatia. Sijawahi kuona serikali yenye mambo ya kipimbavu kama hii.
Tatizo lako vyanzo vyako vya habari unavipata kwa Lucas, sasa unategemea Lucas atakupa update gani ya maana inayoendelea kwenye uhalisia wa huu ulimwengu? Kama kila saa anaandika na kumsifia mama anaupiga mwingi na yeye ndio chanzo chako cha kuaminika basi sahau ya dunianiTatizo kwani ni nini, tiririka mleta mada ili tuelewe, umetuwekea mgomo lakni haujasema chanzo ni nini.
Serikali ndio imetufikisha hapa na sidhani kama ina namna ya kujinasua kutoka kwenye hili janga. Huu ujinga wa serikali kuweka bei elekezi kwenye masuala ya msingi kama afya, litatifikisha mahali pabaya sana. Wameweka bei elekezi kwenye sukari watu wameshindwa kunywa chai. Sasa wamehamia kwenye afya ili kuua raia wasiokuwa na hatia. Sijawahi kuona serikali yenye mambo ya kipumbavu kama serikali hii ya CCM.View attachment 2920691View attachment 2920692
View attachment 2920693
Baadhi ya hospital binafsi zimeshaweka matangazo kama yanavyosomeka hapo juu
Nini sulihisho la hili?tiririka ili serikali ipate madini na kuyafanyia kazi inawezekana kabisa hawajui nini cha kufanya kunusuru hilo suala nyeti la afya.
Wakae mara ngapi, if you have no data better keep quietNashauri wafute bandiko lao, waombe kukaa dawati moja na mamlaka, waone wanatatuaje?, kusitisha huduma kwa ghafla, ni uuwaji dhahiri wa waziwazi.
Hapo bila kumtaja Naibu wake Dr Mollel ambaye hana tofauti na Suphian au Mpoto kwa kuwa vuvuzela kazi ni kumsifia Rais Samia badala ya kumsaidia ushauriUmi Mwalimu bado yupo Ofisini tu, hataki kujiuzulu kwa kushindwa na kusababishia serikali lawama Toka kwa wananchi
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Wewe kichwa maji kweli!!Upo nchi hii kweli?Barua yao ya awali inayosema wamekaa meza moja na wameshindwa kupata mwafaka umeisoma???Tatizo lako ni UMALAYA wa KISIASA ulionao .Nashauri wafute bandiko lao, waombe kukaa dawati moja na mamlaka, waone wanatatuaje?, kusitisha huduma kwa ghafla, ni uuwaji dhahiri wa waziwazi.
Hujasaidia kituUko nchi gani ndugu?
Nadhani hapo wametoa huduma ya awali kwa siku mbili.Hiyo ni medical negligence, worst unaweza pewa kesi ya manslaughter, malizia huduma uliyoanza kutoa; na uwezi kukatisha mkataba wa huduma katikati.
Atakuja na mipasho baadaeUmi Mwalimu bado yupo Ofisini tu, hataki kujiuzulu kwa kushindwa na kusababishia serikali lawama Toka kwa wananchi
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hata wewe unaweza kuhusiahwa kwenye mazungumzo lakini usiridhike na maamuzi. Rejea hata kesi zinavyofanyika na matokeo ya hukumu halafu angalia lawama na viliohizi hospitali ni za ajabu wamehusishwa mwanzo mwisho,kwenye mchakato mzima wa kutengeneza kitita hicho
Unafikiri nani anatakiwa aanze kuwajibika?Nashauri wafute bandiko lao, waombe kukaa dawati moja na mamlaka, waone wanatatuaje?, kusitisha huduma kwa ghafla, ni uuwaji dhahiri wa waziwazi.
Na wao walitoa mapendekezo yao, lakini yamepuuzwa na Nhif na serikali, unategemea wafanye nini!!? Wakikaa kimya muda si mrefu watafunga vituo kwa kushindwa kuendesha, ndio maana wameona ni afadhali kuacha kutoa huduma ili iwafanye Nhif na wizara wakubali kukaa chini kuweka sawahizi hospitali ni za ajabu wamehusishwa mwanzo mwisho,kwenye mchakato mzima wa kutengeneza kitita hicho