Serikali ndio imetufikisha hapa na sidhani kama ina namna ya kujinasua kutoka kwenye hili janga. Huu ujinga wa serikali kuweka bei elekezi kwenye masuala ya msingi kama afya, litatufikisha mahali pabaya sana. Wameweka bei elekezi kwenye sukari watu wameshindwa kunywa chai. Sasa wamehamia kwenye afya ili kuua raia wasiokuwa na hatia. Sijawahi kuona serikali yenye mambo ya kipimbavu kama hii.