Baadhi ya hospitali binafsi zilizotangaza kutotoa huduma kwa wateja wa NHIF kuanzia 1/3/2024

Baadhi ya hospitali binafsi zilizotangaza kutotoa huduma kwa wateja wa NHIF kuanzia 1/3/2024

Yako mambo mengi nyuma ya pazia yanayoendeshwa kisiasa,kwa muda mrefu raia/taasisi binafsi zmeyakalia kimya,now watu wanaamka kui_challenge gavoo,hii ni bad alert kwa mama.Suluhu itafutwe as soon as possible
 
Serikali ndio imetufikisha hapa na sidhani kama ina namna ya kujinasua kutoka kwenye hili janga. Huu ujinga wa serikali kuweka bei elekezi kwenye masuala ya msingi kama afya, litatufikisha mahali pabaya sana. Wameweka bei elekezi kwenye sukari watu wameshindwa kunywa chai. Sasa wamehamia kwenye afya ili kuua raia wasiokuwa na hatia. Sijawahi kuona serikali yenye mambo ya kipimbavu kama hii.
Tatizo sio bei elekezi kwenye hili suala ,tatizo ni malipo ya huduma toka NHIF hayalipwi kwa wakati na ndicho kiini cha tatizo, NHIF ni failure , pesa za mfuko zimekombwa na serikali kwenda kufanya upuuzi wanaojua wenyewe + incompetence ya uendeshaji wa shirika lenyewe
Once a failure always a failure
Hii ni zero

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom