Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo atajifunza.Kuna siku watabeba na kitanda kabisa
Dah! huyo ana njaa kali mno.Ndiyo atajifunza.
Kuna huyo mmoja yeye kila siku anaenda kwa boyfriend wake akiwa kazini kupika chakula kisha anabeba anapeleka kwao wanaenda kula. Ni mwendo wa kupasua mayai na misoseji tu.
Hizi sasa njaa jamani looh😬😂😂😂Ndiyo atajifunza.
Kuna huyo mmoja yeye kila siku anaenda kwa boyfriend wake akiwa kazini kupika chakula kisha anabeba anapeleka kwao wanaenda kula. Ni mwendo wa kupasua mayai na misoseji tu.
Mama Samia dawa ni kukataa Kama TRUMPMtu anakuja kwako na kuanza kutamani vitu kisha kuchukua haijakaa poa. Mimi nilikuwa na track suit yangu nzuri sana ya bei mbaya ila tayari wameshachukua. Mmoja alichukua jacket na mwingine akachukua track ya chini. Ni kama waligawana. Tshirts kadhaa pia zimechukuliwa. Majuzi hapa nilinunua blender baada ya kuona ni bora nijitengenezee juice. Bahati mbaya kutokana na ratiba zangu za kuondoka mapema na kurudi usiku nikawa sijaitumia kabisa. Mdada alitaka aondoke nayo ikiwa ndani ya box sijafungua. Hii sio sawa.
Ninajua hali ni ngumu ila mjikaze mnapowatembelea watu wenu. Pia mkija njooni na vitu kama tray la mayai, kuku, hata debe la mpunga ni sawa... kinachobebeka kutoka huko kwenu njoo nacho.
Njaa +utoto🤣🤣🤣Hizi sasa njaa jamani looh😬😂😂😂
Angekuwa anapika anamwandalia jamaa na yeye anakula anasepa,. Hiyo ya kuwabebea na nyumbani naona haijakaa poa😄😬Njaa +utoto🤣🤣🤣
Jinsi ulivyo hauna tofauti na ⏰100.Na hili ukalitazame.Mtu anakuja kwako na kuanza kutamani vitu kisha kuchukua haijakaa poa. Mimi nilikuwa na track suit yangu nzuri sana ya bei mbaya ila tayari wameshachukua.
Mmoja alichukua jacket na mwingine akachukua track ya chini. Ni kama waligawana. Tshirts kadhaa pia zimechukuliwa.
Majuzi hapa nilinunua blender baada ya kuona ni bora nijitengenezee juice. Bahati mbaya kutokana na ratiba zangu za kuondoka mapema na kurudi usiku nikawa sijaitumia kabisa. Mdada alitaka aondoke nayo ikiwa ndani ya box sijafungua. Hii sio sawa.
Ninajua hali ni ngumu ila mjikaze mnapowatembelea watu wenu. Pia mkija njooni na vitu kama tray la mayai, kuku, hata debe la mpunga ni sawa, kinachobebeka kutoka huko kwenu njoo nacho.
Ndio iko hivyo, utakuja kuingiza jini ndani kwako siku moja.home boy mbona umeamua kuninyea?
Mzee mwenzangu kuna shogaako alikuja amevaa pedi nikaitoa nikaitupa chini ya uvungu nikapiga hivohivo alipoondoka nikasahau kuitoa baada ya siku chache akaja mchumba wangu ambae ndio mke wangu kwa sasa akaikuta, akaleta noma lakini mimi nikamlazimishia yeye ndio aliiacha.Zamani sisi tulikua tunahamishia nguo kwa wanaume kisha tunahamia,, kumbe sikuhiz nguo za wanaume zinahamishiwa kwa wanawake kwaio inamaana..........
Hahahaha 😂 aseeee sema aliamua tu kukupotezea bwan hahahaha nmechekaaMzee mwenzangu kuna shogaako alikuja amevaa pedi nikaitoa nikaitupa chini ya uvungu nikapiga hivohivo alipoondoka nikasahau kuitoa baada ya siku chache akaja mchumba wangu ambae ndio mke wangu kwa sasa akaikuta, akaleta noma lakini mimi nikamlazimishia yeye ndio aliiacha.
Alikubali tu na maisha yakaenda 😁
Pengine alihisi ni yeye kweli maana alikuwa na mahudhurio mazuri tu getoniHahahaha 😂 aseeee sema aliamua tu kukupotezea bwan hahahaha nmechekaa
daah kwaiyo unataka aje na msosi hlf kama haitoshi nayeye umkule au?😇😇😳mkija njooni na vitu kama tray la mayai, kuku, hata debe la mpunga ni sawa, kinachobebeka kutoka huko kwenu njoo nacho.