Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Mtu wa maana ana sifa zipi ?Mie waliojoin kuanzia 2015 kwenda nyuma huko nawaonaga watu wa maana sana kumbe huwa najidanganya🤦♀️🤦♀️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu wa maana ana sifa zipi ?Mie waliojoin kuanzia 2015 kwenda nyuma huko nawaonaga watu wa maana sana kumbe huwa najidanganya🤦♀️🤦♀️
Mishangazi ndo Noma sasa wanabeba hotpot hadi mapazia wanayatamaniMkiambiwa mdate mishangazi ya miaka 30 inajitambua mnakataa. Ona sasa mnadate watoto wanatamani kila kitu waamishie kwao.
Daaah ila mwamba uliwin hatariPengine alihisi ni yeye kweli maana alikuwa na mahudhurio mazuri tu getoni
Umekataa kunifundisha English course ChaliifranciscoIf you're still dating broke women, you're going to hell. Repent before it's too late
Umekataa kunifundisha English course Chaliifrancisco
Nani anamkatalia mwenzake kati yangu mimi na wewe?Umekataa kunifundisha English course Chaliifrancisco
WeweNani anamkatalia mwenzake kati yangu mimi na wewe?
Si pacha ako!We bibie, huyu mwamba umemuita hapo wa nini tena ?
Kuna sehemu nilisahau JBL headphones, zikataifishwa.Mtu anakuja kwako na kuanza kutamani vitu kisha kuchukua haijakaa poa. Mimi nilikuwa na track suit yangu nzuri sana ya bei mbaya ila tayari wameshachukua.
Mmoja alichukua jacket na mwingine akachukua track ya chini. Ni kama waligawana. Tshirts kadhaa pia zimechukuliwa.
Majuzi hapa nilinunua blender baada ya kuona ni bora nijitengenezee juice. Bahati mbaya kutokana na ratiba zangu za kuondoka mapema na kurudi usiku nikawa sijaitumia kabisa. Mdada alitaka aondoke nayo ikiwa ndani ya box sijafungua. Hii sio sawa.
Ninajua hali ni ngumu ila mjikaze mnapowatembelea watu wenu. Pia mkija njooni na vitu kama tray la mayai, kuku, hata debe la mpunga ni sawa, kinachobebeka kutoka huko kwenu njoo nacho.
Anaokoteza wakina Mwajuma Ndalandefu unategemea nini?Duuh kuondoka na blender tena 😳
Pole sana ndio ukubwa huo lakini ukila lazima na wewe uliwe tu jikaze kiume huo ndio uanamume uanamume sio kusukumia nyama ndani ya nyama tuKuna sehemu nilisahau JBL headphones, zikataifishwa.
Ikabidi ninunue nyingine 🤣🤣🤣
Jomba una uhakika wa milo mitatu kwa siku?Ww jamaa kwa mikogo yako kwenye mada za kuongelea ndoa za watu wengine na kujifanya unawajua sana wanawake ,nikajua umeoa na una familia kumbe na ww ni muhuni tu wa kupishanisha mademu kwenye geto?
Kwanza utaruhusuje mwanamke achukue kitu ambacho umekinunua kwa ajili yako,una mruhusuje mwanamke mlio juana ndani ya miezi 3 au 4 tu achukue nguo yako una jua anaenda kuifanyia nini?
Lakini ww si kushangai maana una wahusudu wanawake kuliko hata Mungu wako.
Hizo nguo anaenda kukurogea.Mtu anakuja kwako na kuanza kutamani vitu kisha kuchukua haijakaa poa. Mimi nilikuwa na track suit yangu nzuri sana ya bei mbaya ila tayari wameshachukua.
Mmoja alichukua jacket na mwingine akachukua track ya chini. Ni kama waligawana. Tshirts kadhaa pia zimechukuliwa.
Majuzi hapa nilinunua blender baada ya kuona ni bora nijitengenezee juice. Bahati mbaya kutokana na ratiba zangu za kuondoka mapema na kurudi usiku nikawa sijaitumia kabisa. Mdada alitaka aondoke nayo ikiwa ndani ya box sijafungua. Hii sio sawa.
Ninajua hali ni ngumu ila mjikaze mnapowatembelea watu wenu. Pia mkija njooni na vitu kama tray la mayai, kuku, hata debe la mpunga ni sawa, kinachobebeka kutoka huko kwenu njoo nacho.