Baadhi ya kina dada acheni hii tabia ya kuchukua vitu vya wenza wenu mnapowatembelea

Baadhi ya kina dada acheni hii tabia ya kuchukua vitu vya wenza wenu mnapowatembelea

Ww jamaa kwa mikogo yako kwenye mada za kuongelea ndoa za watu wengine na kujifanya unawajua sana wanawake ,nikajua umeoa na una familia kumbe na ww ni muhuni tu wa kupishanisha mademu kwenye geto?

Kwanza utaruhusuje mwanamke achukue kitu ambacho umekinunua kwa ajili yako,una mruhusuje mwanamke mlio juana ndani ya miezi 3 au 4 tu achukue nguo yako una jua anaenda kuifanyia nini?

Lakini ww si kushangai maana una wahusudu wanawake kuliko hata Mungu wako.
 
Mtu anakuja kwako na kuanza kutamani vitu kisha kuchukua haijakaa poa. Mimi nilikuwa na track suit yangu nzuri sana ya bei mbaya ila tayari wameshachukua.

Mmoja alichukua jacket na mwingine akachukua track ya chini. Ni kama waligawana. Tshirts kadhaa pia zimechukuliwa.

Majuzi hapa nilinunua blender baada ya kuona ni bora nijitengenezee juice. Bahati mbaya kutokana na ratiba zangu za kuondoka mapema na kurudi usiku nikawa sijaitumia kabisa. Mdada alitaka aondoke nayo ikiwa ndani ya box sijafungua. Hii sio sawa.

Ninajua hali ni ngumu ila mjikaze mnapowatembelea watu wenu. Pia mkija njooni na vitu kama tray la mayai, kuku, hata debe la mpunga ni sawa, kinachobebeka kutoka huko kwenu njoo nacho.
Kuna sehemu nilisahau JBL headphones, zikataifishwa.

Ikabidi ninunue nyingine 🤣🤣🤣
 
Kuna sehemu nilisahau JBL headphones, zikataifishwa.

Ikabidi ninunue nyingine 🤣🤣🤣
Pole sana ndio ukubwa huo lakini ukila lazima na wewe uliwe tu jikaze kiume huo ndio uanamume uanamume sio kusukumia nyama ndani ya nyama tu
 
Ww jamaa kwa mikogo yako kwenye mada za kuongelea ndoa za watu wengine na kujifanya unawajua sana wanawake ,nikajua umeoa na una familia kumbe na ww ni muhuni tu wa kupishanisha mademu kwenye geto?

Kwanza utaruhusuje mwanamke achukue kitu ambacho umekinunua kwa ajili yako,una mruhusuje mwanamke mlio juana ndani ya miezi 3 au 4 tu achukue nguo yako una jua anaenda kuifanyia nini?

Lakini ww si kushangai maana una wahusudu wanawake kuliko hata Mungu wako.
Jomba una uhakika wa milo mitatu kwa siku?
 
Mtu anakuja kwako na kuanza kutamani vitu kisha kuchukua haijakaa poa. Mimi nilikuwa na track suit yangu nzuri sana ya bei mbaya ila tayari wameshachukua.

Mmoja alichukua jacket na mwingine akachukua track ya chini. Ni kama waligawana. Tshirts kadhaa pia zimechukuliwa.

Majuzi hapa nilinunua blender baada ya kuona ni bora nijitengenezee juice. Bahati mbaya kutokana na ratiba zangu za kuondoka mapema na kurudi usiku nikawa sijaitumia kabisa. Mdada alitaka aondoke nayo ikiwa ndani ya box sijafungua. Hii sio sawa.

Ninajua hali ni ngumu ila mjikaze mnapowatembelea watu wenu. Pia mkija njooni na vitu kama tray la mayai, kuku, hata debe la mpunga ni sawa, kinachobebeka kutoka huko kwenu njoo nacho.
Hizo nguo anaenda kukurogea.

Hata akikurudishia usizivae, choma moto
 
Back
Top Bottom