Baadhi ya kina dada acheni hii tabia ya kuchukua vitu vya wenza wenu mnapowatembelea

Mama Samia dawa ni kukataa Kama TRUMP

Mfano Mimi naweza ombwa kitu nikakataa frankly speaking be gentleman 😊 πŸ˜…
 
Jinsi ulivyo hauna tofauti na ⏰100.Na hili ukalitazame.
Unatakiwa upigwe makofi ya masikio uache ujinga
 
Zamani sisi tulikua tunahamishia nguo kwa wanaume kisha tunahamia,, kumbe sikuhiz nguo za wanaume zinahamishiwa kwa wanawake kwaio inamaana..........
Mzee mwenzangu kuna shogaako alikuja amevaa pedi nikaitoa nikaitupa chini ya uvungu nikapiga hivohivo alipoondoka nikasahau kuitoa baada ya siku chache akaja mchumba wangu ambae ndio mke wangu kwa sasa akaikuta, akaleta noma lakini mimi nikamlazimishia yeye ndio aliiacha.

Alikubali tu na maisha yakaenda 😁
 
Hahahaha πŸ˜‚ aseeee sema aliamua tu kukupotezea bwan hahahaha nmechekaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…