Baadhi ya kina dada acheni hii tabia ya kuchukua vitu vya wenza wenu mnapowatembelea

Baadhi ya kina dada acheni hii tabia ya kuchukua vitu vya wenza wenu mnapowatembelea

Sio wote tuna Njaa na tamaa kama mademu zenu mkuu
,. By the way sijai enda nyumbani kwa mtu sio tu kubeba chochote wala kukanyaga nyumbani kwa Jamaa yeyote yule sijawahi
Sasa mechi zinachezwa neutral ground kila mara kweli?🤣
 
Kuwa mkali ,inaonekana we mpole Sana,YAANI MPAKA Brenda ujue huko Mbali sana
 
Mtu anakuja kwako na kuanza kutamani vitu kisha kuchukua haijakaa poa. Mimi nilikuwa na track suit yangu nzuri sana ya bei mbaya ila tayari wameshachukua.

Mmoja alichukua jacket na mwingine akachukua track ya chini. Ni kama waligawana. Tshirts kadhaa pia zimechukuliwa.

Majuzi hapa nilinunua blender baada ya kuona ni bora nijitengenezee juice. Bahati mbaya kutokana na ratiba zangu za kuondoka mapema na kurudi usiku nikawa sijaitumia kabisa. Mdada alitaka aondoke nayo ikiwa ndani ya box sijafungua. Hii sio sawa.

Ninajua hali ni ngumu ila mjikaze mnapowatembelea watu wenu. Pia mkija njooni na vitu kama tray la mayai, kuku, hata debe la mpunga ni sawa, kinachobebeka kutoka huko kwenu njoo nacho.
Ungeoa msukuma kama mimi ungekuwa huru kweli kweli tatizo hamtaki kuoa alafu mnaingiza madsmu ndani ili msifiwe na majirani mnapiga pazuri kumbe mnaumizwa vizuri
 
Mtu anakuja kwako na kuanza kutamani vitu kisha kuchukua haijakaa poa. Mimi nilikuwa na track suit yangu nzuri sana ya bei mbaya ila tayari wameshachukua.

Mmoja alichukua jacket na mwingine akachukua track ya chini. Ni kama waligawana. Tshirts kadhaa pia zimechukuliwa.

Majuzi hapa nilinunua blender baada ya kuona ni bora nijitengenezee juice. Bahati mbaya kutokana na ratiba zangu za kuondoka mapema na kurudi usiku nikawa sijaitumia kabisa. Mdada alitaka aondoke nayo ikiwa ndani ya box sijafungua. Hii sio sawa.

Ninajua hali ni ngumu ila mjikaze mnapowatembelea watu wenu. Pia mkija njooni na vitu kama tray la mayai, kuku, hata debe la mpunga ni sawa, kinachobebeka kutoka huko kwenu njoo nacho.
Mimi leo tu asubuhi mwanamke kaondoka na jersey yangu pendwa na ni mara ya pili hii kubeba kitu kwangu. Nilimaindi sema ndio hivyo tena nguvu ya kumkatalia ilikuwa ndogo kuliko ile ya kuonesha "NAJALI"😃😃
 
Kiranga aisee same case kabisa ,ila nimegundua ,ukiwa na vitu unique madem hawaviachi
Hahaa, na wewe JBL ilitaifishwa mkuu?

Ila mimi nilifurahi aliifurahia tu, kwa sababu yeye anapenda sana zile za kuchomekea masikioni, alishaninunulia mpaka za Bose za kuchomekea masikioni (earphones).

Ilikuwa kama hataki kabisa za kuvaa masikioni (headphones).

Ila alivyozikuta zangu akabadilika akazipenda na kuzitaifisha.
 
Mnadate watu wa ajabu ajabu sana kwa kweli.hao ni wale choka mbaya wa mbagala au sijui mwananyamala..typically swahili and uncivilised
 
Hahaa, na wewe JBL ilitaifishwa mkuu?

Ila mimi nilifurahi aliifurahia tu, kwa sababu yeye anapenda sana zile za kuchomekea masikioni, alishaninunulia mpaka za Bose za kuchomekea masikioni (earphones).

Ilikuwa kama hataki kabisa za kuvaa masikioni (headphones).

Ila alivyozikuta zangu akabadilika akazipenda na kuzitaifisha.
Jbl ndio imeenda soon ndio nimeagiza product ingine nikitegemea kuipokea leo au kesho kutwa
 
Back
Top Bottom