Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Mboru tiki.Mkukunde mnu☺️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mboru tiki.Mkukunde mnu☺️
mshamba_hachekwi naomba tafsiri hapaMboru tiki.
sipendi kuingilia mapenzi ya watu.mshamba_hachekwi naomba tafsiri hapa
Nimekuita kuingilia au kunitafsiria?sipendi kuingilia mapenzi ya watu.
chapa hiyo mamzi mpaka ipige nduru chaliangu.Mboru tiki.
Uka hia..!chapa hiyo mamzi mpaka ipige nduru chaliangu.
Inaruka ruka kama popcornchapa hiyo mamzi mpaka ipige nduru chaliangu.
Sasa mechi zinachezwa neutral ground kila mara kweli?🤣Sio wote tuna Njaa na tamaa kama mademu zenu mkuu
,. By the way sijai enda nyumbani kwa mtu sio tu kubeba chochote wala kukanyaga nyumbani kwa Jamaa yeyote yule sijawahi
Kuna sehemu nilisahau JBL headphones, zikataifishwa.
Ikabidi ninunue nyingine 🤣🤣🤣
Ungeoa msukuma kama mimi ungekuwa huru kweli kweli tatizo hamtaki kuoa alafu mnaingiza madsmu ndani ili msifiwe na majirani mnapiga pazuri kumbe mnaumizwa vizuriMtu anakuja kwako na kuanza kutamani vitu kisha kuchukua haijakaa poa. Mimi nilikuwa na track suit yangu nzuri sana ya bei mbaya ila tayari wameshachukua.
Mmoja alichukua jacket na mwingine akachukua track ya chini. Ni kama waligawana. Tshirts kadhaa pia zimechukuliwa.
Majuzi hapa nilinunua blender baada ya kuona ni bora nijitengenezee juice. Bahati mbaya kutokana na ratiba zangu za kuondoka mapema na kurudi usiku nikawa sijaitumia kabisa. Mdada alitaka aondoke nayo ikiwa ndani ya box sijafungua. Hii sio sawa.
Ninajua hali ni ngumu ila mjikaze mnapowatembelea watu wenu. Pia mkija njooni na vitu kama tray la mayai, kuku, hata debe la mpunga ni sawa, kinachobebeka kutoka huko kwenu njoo nacho.
Mimi leo tu asubuhi mwanamke kaondoka na jersey yangu pendwa na ni mara ya pili hii kubeba kitu kwangu. Nilimaindi sema ndio hivyo tena nguvu ya kumkatalia ilikuwa ndogo kuliko ile ya kuonesha "NAJALI"😃😃Mtu anakuja kwako na kuanza kutamani vitu kisha kuchukua haijakaa poa. Mimi nilikuwa na track suit yangu nzuri sana ya bei mbaya ila tayari wameshachukua.
Mmoja alichukua jacket na mwingine akachukua track ya chini. Ni kama waligawana. Tshirts kadhaa pia zimechukuliwa.
Majuzi hapa nilinunua blender baada ya kuona ni bora nijitengenezee juice. Bahati mbaya kutokana na ratiba zangu za kuondoka mapema na kurudi usiku nikawa sijaitumia kabisa. Mdada alitaka aondoke nayo ikiwa ndani ya box sijafungua. Hii sio sawa.
Ninajua hali ni ngumu ila mjikaze mnapowatembelea watu wenu. Pia mkija njooni na vitu kama tray la mayai, kuku, hata debe la mpunga ni sawa, kinachobebeka kutoka huko kwenu njoo nacho.
Hahaa, na wewe JBL ilitaifishwa mkuu?Kiranga aisee same case kabisa ,ila nimegundua ,ukiwa na vitu unique madem hawaviachi
Mimi nilikuta prova amevaa kidume mwingine..Me nilibebewa ma prova yote
Jbl ndio imeenda soon ndio nimeagiza product ingine nikitegemea kuipokea leo au kesho kutwaHahaa, na wewe JBL ilitaifishwa mkuu?
Ila mimi nilifurahi aliifurahia tu, kwa sababu yeye anapenda sana zile za kuchomekea masikioni, alishaninunulia mpaka za Bose za kuchomekea masikioni (earphones).
Ilikuwa kama hataki kabisa za kuvaa masikioni (headphones).
Ila alivyozikuta zangu akabadilika akazipenda na kuzitaifisha.
ANko tulia kwanza,. Mie nlikua nataka nimzingue kwanza huyo jamaa na mihasira yake😄😄😄Sasa mechi zinachezwa neutral ground kila mara kweli?🤣