ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Nani kivipi sasa?🤣Unanichanganya, wewe ni nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kivipi sasa?🤣Unanichanganya, wewe ni nani?
Au unaishi na huyo mangi siku hizi ndio ananichatisha?Nani kivipi sasa?🤣
Niombe msamaha!Au unaishi na huyo mangi siku hizi ndio ananichatisha?
watu wa hovyo balaa wapo huko wewe wafatilie vizuri kina FaizaFoxy na wengineMie waliojoin kuanzia 2015 kwenda nyuma huko nawaonaga watu wa maana sana kumbe huwa najidanganya🤦♀️🤦♀️
Kwanini tena?Niombe msamaha!
Umeniambia vile wakati mangi yupo Dar mimi nipo MtwaraKwanini tena?
Nimeuliza kama umenisoma vizuri nimesema "au unaishi....." hilo ni swali.Umeniambia vile wakati mangi yupo Dar mimi nipo Mtwara
OdeNimeuliza kama umenisoma vizuri nimesema "au unaishi....." hilo ni swali.
Unazingua.
Kwangu Mimi wanagawana kanga tuMtu anakuja kwako na kuanza kutamani vitu kisha kuchukua haijakaa poa. Mimi nilikuwa na track suit yangu nzuri sana ya bei mbaya ila tayari wameshachukua.
Mmoja alichukua jacket na mwingine akachukua track ya chini. Ni kama waligawana. Tshirts kadhaa pia zimechukuliwa.
Majuzi hapa nilinunua blender baada ya kuona ni bora nijitengenezee juice. Bahati mbaya kutokana na ratiba zangu za kuondoka mapema na kurudi usiku nikawa sijaitumia kabisa. Mdada alitaka aondoke nayo ikiwa ndani ya box sijafungua. Hii sio sawa.
Ninajua hali ni ngumu ila mjikaze mnapowatembelea watu wenu. Pia mkija njooni na vitu kama tray la mayai, kuku, hata debe la mpunga ni sawa, kinachobebeka kutoka huko kwenu njoo nacho.
Kwani "ode" sio neno la kichaga?Unazingua.
NdioKwani "ode" sio neno la kichaga?
Hapana kwa kichaga ni nini?Ndio
Ode/oteHapana kwa kichaga ni nini?